Pre GE2025 Mbowe kajisahau sasa anaweka hasira na sio uzalendo

Pre GE2025 Mbowe kajisahau sasa anaweka hasira na sio uzalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini anasahau inawezekana kabisa wana nia njema ya kuiokoa Chadema na Tanzania. Kwa Watanzania wengi wnakubaliana na Lissu na wengine kwamba ni lazima mabadiliko yafanyike kwa manufaa ya umma.

Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?

Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi
 
Hakuna organization inayoongozwa kwa kusikiliza maoni ya wateja mkuu.

Ingekuwa hivyo NOKIA ingekuwa sokoni mpaka leo.

Vivyo hivyo na siasa za chama cha siasa kufuata upepo wa wanaharakati wa mtandaoni.

Wiki mbili baada ya uchaguzi wanasahau.

Huyo jamaa yenu anatembelea mitandao ya kijamii anavimba kichwa, wananchi wengi wala hawajui kama kuna uchaguzi CDM.
 
Hakuna organization inayoongozwa kwa kusikiliza maoni ya wateja mkuu.

Ingekuwa hivyo NOKIA ingekuwa sokoni mpaka leo.

Vivyo hivyo na siasa za chama cha siasa kufuata upepo wa wanaharakati wa mtandaoni.

Wiki mbili baada ya uchaguzi wanasahau.

Huyo jamaa yenu anatembelea mitandao ya kijamii anavimba kichwa, wananchi wengi wala hawajui kama kuna uchaguzi CDM.
Kwa hiyo Yericko na Ntobi wanaompigia debe Mbowe wao wako mtaani hawako mitandaoni?

Kwa maoni yako Mbowe anakubalika zaidi mitaani kuliko mitandaoni?
 
We
Hakuna organization inayoongozwa kwa kusikiliza maoni ya wateja mkuu.

Ingekuwa hivyo NOKIA ingekuwa sokoni mpaka leo.

Vivyo hivyo na siasa za chama cha siasa kufuata upepo wa wanaharakati wa mtandaoni.

Wiki mbili baada ya uchaguzi wanasahau.

Huyo jamaa yenu anatembelea mitandao ya kijamii anavimba kichwa, wananchi wengi wala hawajui kama kuna uchaguzi CDM.
wewe ni Moja ya wajinga wasio jua nini maama Customer services/ importance ya feedback hufai hata kuongoza Balozi nyumba kumi Tunza ujinga wako.
 
Mbowe asipoachia chama kwa ustarabu tutamtoa kwa nguvu kwa mapanga na marungu
 
We
wewe ni Moja ya wajinga wasio jua nini maama Customer services/ importance ya feedback hufai hata kuongoza Balozi nyumba kumi Tunza ujinga wako.
Ngoja Mjinga mmoja nikwambie kuhusu Customer feedback.

Kwenye marketing strategy customer feedback sio kwa ajili ya ku develop new product na ndio maana kuna kitengo cha Research, Product Development and marketing intelligence.

Huchukui feedback ili ku develop new Product, unachukua Feedback ili ku improve customer experience.

Ingekuwa customer anasikilizwa Kusingekuwa na Mobile Money- hizi ni creativity za Product Development... Customer knows nothing about...

Ndio maana Yas wanakuja wanawapiga shule mnawaelewa alafu kuna kuwa na desk la kuchukua maoni for service and customer satisfactory improvement.

Upo hapo ticha
 
Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini anasahau inawezekana kabisa wana nia njema ya kuiokoa Chadema na Tanzania. Kwa Watanzania wengi wnakubaliana na Lissu na wengine kwamba ni lazima mabadiliko yafanyike kwa manufaa ya umma.

Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?

Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi
Awakasirikie waliomuingiza chaka
 
Kwa hiyo Yericko na Ntobi wanaompigia debe Mbowe wao wako mtaani hawako mitandaoni?

Kwa maoni yako Mbowe anakubalika zaidi mitaani kuliko mitandaoni?
Na hapa ndipo CCM wanawachapa raba wapinzani daily.

Daily Internet User kwa Tanzania ni wachache sana, na wengi hawaelewi hizi drama, na mara nyingi hizi drama zinaenda na upepo alafu zinakata.

Watanzania wengi wapo kwenye football, Music na Kamari hasa vijana .

Influence ya Kina Maria Sarungi kwenye Uchaguzi mkuu huwa ni peanuts na ndio maana vyama vinatumia Bilions kwenye General election kufikia watanzania walio wengi.

Siasa ni pesa kaka.

Huyo mbelgiji wenu anaeomba mpaka nauli na lunch kwa jina la political asylum hatoboi Jan 21 and the future is tinting.
 
Hakuna organization inayoongozwa kwa kusikiliza maoni ya wateja mkuu.

Ingekuwa hivyo NOKIA ingekuwa sokoni mpaka leo.

Vivyo hivyo na siasa za chama cha siasa kufuata upepo wa wanaharakati wa mtandaoni.

Wiki mbili baada ya uchaguzi wanasahau.

Huyo jamaa yenu anatembelea mitandao ya kijamii anavimba kichwa, wananchi wengi wala hawajui kama kuna uchaguzi CDM.
Yaani nilivyomsoma Huyu nimecheka kweli. Naye huko sehemu anajiita great thinker 🤣🤣🤣
 
Ngoja Mjinga mmoja nikwambie kuhusu Customer feedback.

Kwenye marketing strategy customer feedback sio kwa ajili ya ku develop new product na ndio maana kuna kitengo cha Research, Product Development and marketing intelligence.

Huchukui feedback ili ku develop new Product, unachukua Feedback ili ku improve customer experience.

Ingekuwa customer anasikilizwa Kusingekuwa na Mobile Money- hizi ni creativity za Product Development... Customer knows nothing about...

Ndio maana Yas wanakuja wanawapiga shule mnawaelewa alafu kuna kuwa na desk la kuchukua maoni for service and customer satisfactory improvement.

Upo hapo ticha
Umeandika kituko cha mwaka mkuu... wala hata usijaribu kujitetea zaidi maana utazidi kuharibu.

Kwamba ........ "Huchukui feedback ili ku develop new Product, unachukua Feedback ili ku improve customer experience"

Embu rudia kwa sauti ulichoandika hapo, kisha jipige kifua, sema kwa sauti, "mimi ni mujinga"
 
Hakuna organization inayoongozwa kwa kusikiliza maoni ya wateja mkuu.
Chama cha siasa kinategemea kura za wateja directly unlike companies ambazo zina leverage kwenye various business lines not necessarily the entire population. Mfano inaweza uza kupitia B2B yaani inauzia biashara au viwanda, au ikaamua tu kufanya manufacturing ila ikaacha distribution kwa kampuni zingine hivyo kutohitaji kudeal na mteja moja kwa moja.

Kwahiyo umepotosha.
 
Ngoja Mjinga mmoja nikwambie kuhusu Customer feedback.

Kwenye marketing strategy customer feedback sio kwa ajili ya ku develop new product na ndio maana kuna kitengo cha Research, Product Development and marketing intelligence.

Huchukui feedback ili ku develop new Product, unachukua Feedback ili ku improve customer experience.

Ingekuwa customer anasikilizwa Kusingekuwa na Mobile Money- hizi ni creativity za Product Development... Customer knows nothing about...

Ndio maana Yas wanakuja wanawapiga shule mnawaelewa alafu kuna kuwa na desk la kuchukua maoni for service and customer satisfactory improvement.

Upo hapo ticha
Haujui marketing kabisa, feedback ni customer experience na sio New Product Development? Kwamba feedback kuwa bidhaa hii sio convenient au compatible haiwezi pelekea NPD?

Mbowe supporters kuwa na low iq zina correlation kubwa sana!! No wonder alipata Division 0 form 6
 
Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini anasahau inawezekana kabisa wana nia njema ya kuiokoa Chadema na Tanzania. Kwa Watanzania wengi wnakubaliana na Lissu na wengine kwamba ni lazima mabadiliko yafanyike kwa manufaa ya umma.

Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?

Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi


Huyu mbowe ni mtu wa hovyo sana.
Hana tofauti na yule mtu wa CCM aliyeanzisha uchafuzi wakati wa kutafuta wawakilishi wa wananchi.
Alisema siwezi kukupa gari ,nyumba na cheo cha ukurugenzi halafu upinzani ushinde kwenye uchaguzi .


Kwa hali hii hata Mbowe akipata urais zitageuka na kuwa dikteta mbaya sana kwa maana ile ile ya kutaka siasa iwe ni sehemu ya fadhila na anayeteuliwa anatakiwa afuate matakwa ya aliyemteua na sio sheria za nchi.
 
Haujui marketing kabisa, feedback ni customer experience na sio New Product Development? Kwamba feedback kuwa bidhaa hii sio convenient au compatible haiwezi pelekea NPD?

Mbowe supporters kuwa na low iq zina correlation kubwa sana!! No wonder alipata Division 0 form 6
Subir kwanza
Zero form six PCB.

Wewe ulisoma nini kaka.

Usiwe so blind kias kwamba unaruka important details .

Umeelewa kitu nimeandika kwanza au umesoma na poor attention.

Low IQ? Hahaha... Rudi tena
 
Chama cha siasa kinategemea kura za wateja directly unlike companies ambazo zina leverage kwenye various business lines not necessarily the entire population. Mfano inaweza uza kupitia B2B yaani inauzia biashara au viwanda, au ikaamua tu kufanya manufacturing ila ikaacha distribution kwa kampuni zingine hivyo kutohitaji kudeal na mteja moja kwa moja.

Kwahiyo umepotosha.

Organization ni organization na customer base tunaangalia taste ya last consumer .

It doesnt matter level ya sales kama last consumer hana taste na product yako hufanyi lolote.

CDM inafanya level zote hizo... B2B (Other political parties) B2G(Mambo ya Ruzuku,Maridhiano, Dolla etc) B2C ambayo ndio wapiga kura ambao sio issue tena kwa CDM.

Na Wameprove significantly kwa miaka 20 bila kushuka (ukiacha 2020 wa udikteta wa Marehemu).

Hakuna chama cha upinzani kinaweza fikia wananchi wengi kwa muda mfupi kwa sasa kama CDM ..hakuna .

Porojo za TL zinazimwa Jan 21 na kura za huruma kwa Mwamba kwa haya anyofanya TL ya kumdharau mwenyekit wao.

Kuhusu Financia resources za kuendesha chama, kushawish wajumbe TL hana back up yeyote ya kufanya hivyo ..

He is not going to make it, na hata Elites (B2G) hawamuamini.

Thr poor man going nowhere.
 
Umeandika kituko cha mwaka mkuu... wala hata usijaribu kujitetea zaidi maana utazidi kuharibu.

Kwamba ........ "Huchukui feedback ili ku develop new Product, unachukua Feedback ili ku improve customer experience"

Embu rudia kwa sauti ulichoandika hapo, kisha jipige kifua, sema kwa sauti, "mimi ni mujinga"
Andika unachojua wewe.

Feedback zinasaidia vip kudevelop new product?

Jenga hoja yako yenye maana.... Nifute kituko cha mwaka
 
Back
Top Bottom