Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini anasahau inawezekana kabisa wana nia njema ya kuiokoa Chadema na Tanzania. Kwa Watanzania wengi wnakubaliana na Lissu na wengine kwamba ni lazima mabadiliko yafanyike kwa manufaa ya umma.
Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?
Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi
Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?
Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi