Pre GE2025 Mbowe kajisahau sasa anaweka hasira na sio uzalendo

Pre GE2025 Mbowe kajisahau sasa anaweka hasira na sio uzalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini anasahau inawezekana kabisa wana nia njema ya kuiokoa Chadema na Tanzania. Kwa Watanzania wengi wnakubaliana na Lissu na wengine kwamba ni lazima mabadiliko yafanyike kwa manufaa ya umma.

Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?

Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi
Mbowe anafanya logical non sequitur fallacy.

Sisemi Mbowe kalamba asali au hajalamba.

Ila, hoja ya kusema Mbowe ni tajiri hivyo hawezi kulamba asali haina mashiko.

Watu wanasema kutoa ni moyo, usambe utajiri. Kinyume chake pia, kupenda pesa ni moyo, usambe umasikini.

Kuna watu masikini na hawapendi rushwa.
Kuna watu masikini wanapenda rushwa.
Kuna watu matajiri hawapendi rushwa.
Kuna watu matajiri wanapenda rushwa.

Kwani ukiwa tajiri ndiyo huwezi kulamba asali?

Hoja ya kusema Mbowe tajiri hivyo hawezi kulamba asali haina mashiko.

Unavyozidi kupata hela ndiyo matumizi yako yanazidi.

Elon Musk kawa tajiri namba moja hapa duniani, kaona dunia haimtoshi anatafuta hela za kuhamisha watu kuwapeleka Mars.

Sasa kama Elon Musk, tajiri namba moja duniani, bado anatafuta hela, Mbowe ana utajiri gani wa kusema hawezi kupenda hela zaidi kwa sababu yeye tajiri?

That is a poor argument.

And it shows why Mbowe cannot lead, he is not sharp, he does not have logical argument.

This is a logical fallacies, several fallacies actually.

There is a non sequitur, as well as argument from authority.
 
Umeelewa kitu nimeandika kwanza au umesoma na poor attention.
Umedai kampuni ikitegemea feedback ya wateja imekufa
Hakuna organization inayoongozwa kwa kusikiliza maoni ya wateja mkuu.

Ingekuwa hivyo NOKIA ingekuwa sokoni mpaka leo.
Unashindwa kuelewa Nokia ilikufa sababu waligoma kwenda na mabadiliko ya teknolojia wao wakabaki kutegemea loyal customers wao.

Ingekuwa customer anasikilizwa Kusingekuwa na Mobile Money- hizi ni creativity za Product Development... Customer knows nothing about...
Same problem kwenye NPD kuna kitu kinaitwa Idea generation na ndio step ya kwanza na humu kuna market trends, customer needs analysis etc. Meaning lazima ujue mteja anakwama kwenye nini ili uboreshe bidhaa au huduma. Mfano wa M pesa waliona ilivyo changamoto kwa mteja kutuma cash mpaka benki au posta ndio unakuja na mobile money huwezi buni kitu ambacho hakiongezi thamani kwa mteja.

Na sijui why tunabishana wakati chama cha siasa kinategemea KURA pekee kushinda uchaguzi hakuna option zaidi ya kuwasikilizs wapiga kura.
 
Bsc Economics Makerere
MA International Business ya UDSM.

Mimi nimeshafundisha na kwa sasa nina publish paper za marketing kwahiyo kwa authority kabisa nasema umeongea pumba. Kajifunze kwanza consumer behavior ya form 1 kabisa.
Na mimi nahitaji kusema nimesoma nini, au hii yakwako inatosha?

Umewahi fanya biashara yeyote mkuu ukiacha kufundisha😂
 
Hakuna organization inayoongozwa kwa kusikiliza maoni ya wateja mkuu.

Ingekuwa hivyo NOKIA ingekuwa sokoni mpaka leo.

Vivyo hivyo na siasa za chama cha siasa kufuata upepo wa wanaharakati wa mtandaoni.

Wiki mbili baada ya uchaguzi wanasahau.

Huyo jamaa yenu anatembelea mitandao ya kijamii anavimba kichwa, wananchi wengi wala hawajui kama kuna uchaguzi CDM.
Na wewe unakuja mitandaoni kutoa maoni yako??? Watu mnavituko sana. Hivi huko mitandaoni wanao comment ni kunguru?
Nchi zinazoanzisha cyber army na makampuni yanayoanzisha cyber services kumbe ni mafala tu? Hata seriksli zinapokuwa na handles huko online kumbe zinakurupuka?
Mpaka leo mtu unajitutumia kupuuza nguvu za mitandao ili tu upate kichake cha kum downplay mtu ili wewe umpaishe wa unayemtaka?

SI mlikuwa na maistream media, siku hizi zipo wapi? Si zimepunguza wafanyakazi na zenyewe zimejikita zaidi huko mitandaoni? Halafu mtu anajipfua kwa kuouuza nguvu za mitandao, ni bahati mbaya tu huko mpo kwenye jungle life la serikali kujaribu kudhibiti mitandao, jaribio ambalo mwaka huu linakufa rasmi.
 
Organization ni organization na customer base tunaangalia taste ya last consumer
Hapana, unaweza nunua hata hisa tu za kampuni nyingine. Mfano Ferrari can buy Aston Martin's shares itaingiza billions bila kuhitaji ku engage na soko la mwisho. Au wanaweza Acha uza magari wakaanza uza to spare parts au music system ya magari kwa makampuni mengine na yaka make millions hata kama hawa interact na final consumer.

Vyama vya siasa havina alternative zaidi ya kudeal na wateja moja kwa moja. Kwahiyo ni lazima wasikilize feedback kwa wateja maana ili ruzuku au viti maalum viwe vingi ni lazima kura ziwe nyingi.

So usilinganishe haya mambo mawili a business can survive without dealing with the final consumer unlike political parties.
 
Na mimi nahitaji kusema nimesoma nini, au hii yakwako inatosha?

Umewahi fanya biashara yeyote mkuu ukiacha kufundisha😂
Ndio mkuu nafanya biashara ya kukopesha, stationery, uwakala wa benki na research consultancy/project evaluations.

Wala hatushindanishi elimu mimi najiamini, sihitaji vyeti kuprove kuwa naelewa nachosema.
 
Umedai kampuni ikitegemea feedback ya wateja imekufa

Unashindwa kuelewa Nokia ilikufa sababu waligoma kwenda na mabadiliko ya teknolojia wao wakabaki kutegemea loyal customers wao.


Same problem kwenye NPD kuna kitu kinaitwa Idea generation na ndio step ya kwanza na humu kuna market trends, customer needs analysis etc. Meaning lazima ujue mteja anakwama kwenye nini ili uboreshe bidhaa au huduma. Mfano wa M pesa waliona ilivyo changamoto kwa mteja kutuma cash mpaka benki au posta ndio unakuja na mobile money huwezi buni kitu ambacho hakiongezi thamani kwa mteja.

Na sijui why tunabishana wakati chama cha siasa kinategemea KURA pekee kushinda uchaguzi hakuna option zaidi ya kuwasikilizs wapiga kura.
Chama cha siasa sio kura pekee...
Ingekuwa kura pekee CCM ingedhatiloka madarakani muda mrefu sana.

Kuna elements nyingi sana kabla ya kwenda kwenye box la kura.... Back office politics kwenye corridorr of power ni muhim sana ...

Ndugu yenu TL hawezi, na wala haaminiki na Elites kwa tabia zake za kuropoka chochote bila mpangilio..

Kuhusu Product development na customer satisfaction nadhan we can reserve this for another day... Ila jua customer hajui lolote kuhusu Product na ndio maana ni kazi ya Entrepreneur kujua gaps na ku develop solutions of the problem.... Kama viatu, Levy jeans, Television, Car etc. na logic ni kwamba, the day you get the answers from your customers some one has already developed the product..
 
Na hapa ndipo CCM wanawachapa raba wapinzani daily.

Daily Internet User kwa Tanzania ni wachache sana, na wengi hawaelewi hizi drama, na mara nyingi hizi drama zinaenda na upepo alafu zinakata.

Watanzania wengi wapo kwenye football, Music na Kamari hasa vijana .

Influence ya Kina Maria Sarungi kwenye Uchaguzi mkuu huwa ni peanuts na ndio maana vyama vinatumia Bilions kwenye General election kufikia watanzania walio wengi.

Siasa ni pesa kaka.

Huyo mbelgiji wenu anaeomba mpaka nauli na lunch kwa jina la political asylum hatoboi Jan 21 and the future is tinting.
Neno 'mbelgiji' linaelezea mlengo wa post yako!
 
Na wewe unakuja mitandaoni kutoa maoni yako??? Watu mnavituko sana. Hivi huko mitandaoni wanao comment ni kunguru?
Nchi zinazoanzisha cyber army na makampuni yanayoanzisha cyber services kumbe ni mafala tu? Hata seriksli zinapokuwa na handles huko online kumbe zinakurupuka?
Mpaka leo mtu unajitutumia kupuuza nguvu za mitandao ili tu upate kichake cha kum downplay mtu ili wewe umpaishe wa unayemtaka?

SI mlikuwa na maistream media, siku hizi zipo wapi? Si zimepunguza wafanyakazi na zenyewe zimejikita zaidi huko mitandaoni? Halafu mtu anajipfua kwa kuouuza nguvu za mitandao, ni bahati mbaya tu huko mpo kwenye jungle life la serikali kujaribu kudhibiti mitandao, jaribio ambalo mwaka huu linakufa rasmi.
Wapi nimesema mitandao haina nguvu mkuu?

Tanzania ina registration ya watumiaji wa X 621000... Ambapo hizi kampeni zimeanzia na zinaendeshwa.

Clubhouse Tanzania ni Illegal. (banned/Restricted).

Hao ndio unaita wengi?
 
Neno 'mbelgiji' linaelezea mlengo wa post yako!
Yes, mimi siamini kwenye usalit na kudharau mkono unaokulisha.

Moral authentication inaanza na namna unavyowa treat watu waliokubeba.

Bila FAM huyo jamaa leo angekuwa kalala Ikungi..... Ungrateful soul.
 
Yes, mimi siamini kwenye usalit na kudharau mkono unaokulisha.

Moral authentication inaanza na namna unavyowa treat watu waliokubeba.

Bila FAM huyo jamaa leo angekuwa kalala Ikungi..... Ungrateful soul.
Tarehe 21 sio mbali
 
Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini anasahau inawezekana kabisa wana nia njema ya kuiokoa Chadema na Tanzania. Kwa Watanzania wengi wnakubaliana na Lissu na wengine kwamba ni lazima mabadiliko yafanyike kwa manufaa ya umma.

Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?

Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi
Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi
 
Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini anasahau inawezekana kabisa wana nia njema ya kuiokoa Chadema na Tanzania. Kwa Watanzania wengi wnakubaliana na Lissu na wengine kwamba ni lazima mabadiliko yafanyike kwa manufaa ya umma.

Nimeona Leo Mbowe akimkaripia mwandishi kwamba yeye anajua ana Hotel nje yenye thamani ya mamilioni ya dollar huko uwingereza sasa anamuulizaje maswali kwamba yeye kalamba asali. Lissu hajawahi kuhoji Mbowe kuwa na uwezo yeye nia yake kubwa ni kuokoa taifa na kuamini tunahijahi kuamsha watu kupambana na katiba. Mbowe anatakiwa kujitoa kwenye dhana kwamba mawazo tofauti ya mwenendo wa chama ni dharau kama sio hivyo kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?

Wakati cha msingi ni mwenendo wa nchi kwa ujumla. Heche na Lissu wanaogopea nchi na hawana nia yeyote ya dharau kwa Mbowe lakini Mbowe kwa kukataa kukaa pembeni hawana namna zaidi ya kushindana naye kwa manufaa ya nchi
Hivi mnamuamini Mbowe kweli?
 
Back
Top Bottom