Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni muoga sana wa kuwachukulia watu(The sleeping GIANT) poa!Ujinga hapa ndio nyumbani....😂
Dharau zinamponza TL big time...Mimi ni muoga sana wa kuwachukulia watu(The sleeping GIANT) poa!
Kwamba hao wajumbe wakibadili mawazo Mbowe atawafanya nini?Dharau zinamponza TL big time...
Angetulia awe mstaarabu as a gentleman... Mbona future ni bright?
Hizi blabla za sijui Rushwa, Uzalendo, sijui Nini, hazimsaidii chochote..
Siasa ni timing... Hao wajumbe 1200 FAM anawamudu.
Anawamudu kwa kufanya nnDharau zinamponza TL big time...
Angetulia awe mstaarabu as a gentleman... Mbona future ni bright?
Hizi blabla za sijui Rushwa, Uzalendo, sijui Nini, hazimsaidii chochote..
Siasa ni timing... Hao wajumbe 1200 FAM anawamudu.
Itafahamika Jan 21Anawamudu kwa kufanya nn
Chama cha siasa kinategemea kura za wateja unlike companies ambazo zina leverage kwenye various business lines not necessarily the entire population. Kwahiyo umepotosha.
Anawaza kwamba FAM atawapa hela/rushwa.Anawamudu kwa kufanya nn
Organization ni organization na customer base tunaangalia taste ya last consumer .
It doesnt matter level ya sales kama last consumer hana taste na product yako hufanyi lolote.
CDM inafanya level zote hizo... B2B (Other political parties) B2G(Mambo ya Ruzuku,Maridhiano, Dolla etc) B2C ambayo ndio wapiga kura ambao sio issue tena kwa CDM.
Na Wameprove significantly kwa miaka 20 bila kushuka (ukiacha 2020 wa udikteta wa Marehemu).
Hakuna chama cha upinzani kinaweza fikia wananchi wengi kwa muda mfupi kwa sasa kama CDM ..hakuna .
Porojo za TL zinazimwa Jan 21 na kura za huruma kwa Mwamba kwa haya anyofanya TL ya kumdharau mwenyekit wao.
Kuhusu Financia resources za kuendesha chama, kushawish wajumbe TL hana back up yeyote ya kufanya hivyo ..
He is not going to make it, na hata Elites (B2G) hawamuamini.
Thr poor man going nowhere.
Mbowe anaona vijana wake anao walea na kuwaleta mjini wana dharau. Lakini kwanini uongelee mambo ya kutoa nyumba kwa Lissu?
Wastaarabu, ukimfadhili mtu, that is charty, haupaswi kusema!. Kwa taarifa tuu, wako wana CCM wengi tuu wameifadhili Chadema, lakini hawasemi. Tenda wema uende zako, watu wengine hawana shukrani!. Huyo Abdul mwenyewe sasa hivi anajuta!. Hili somo la kuwa na shukrani Chadema tumewafundisha sana!. CHADEMA kuweni na shukrani, punguzeni kulalamika, shukuruni kwa yote. Ile kesi mbaya! Shukuruni mahakama, Mashinji, CCM, Magufuli na Watanzania au wafadhil wa Chadema nao watoke waseme?.Wanaukumbi.
Halafu mtu anachukua form kukupinga Eti ni Demokrasia,hiyo siyo Demokrasia huo ni uchimbi kabisa, Lissu katumwa.
---
“Nimetoka mbali na Lissu. Nilikuwa ninamlipia Lissu tiketi za ndege ninamgharamia safari zake kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji Wadogo. Wakati huo hakua hata Mwanachama wa CHADEMA na nilikuwa nina mfadhili kwa mfuko wangu”.
View attachment 3194365
Hayo ni matutusa yetu hapa ccm,huwa hayajui kitu,yasamehe tu mkuu.We
wewe ni Moja ya wajinga wasio jua nini maama Customer services/ importance ya feedback hufai hata kuongoza Balozi nyumba kumi Tunza ujinga wako.
Hili saga usiliangalie kwa jicho kavu la nyama.Mbowe ameamua kukinajisi Chama.
Baada ya Jan 21...CDM inajizika rasmi kwenye siasa za nchi hii
Akili hana halafu anataka kujionyesha ni smart, eti Nokia ilikufa kwa sababu ya kutowasikiliza wateja, ingewasikiliza isingekufa, hii sijui kaitoa wapi?Yaani nilivyomsoma Huyu nimecheka kweli. Naye huko sehemu anajiita great thinker 🤣🤣🤣
Hata shahawa zilizokuzaa zilikuwa hasara Kwa Taifa,Bora ungezaliqa mihogo tuchama
Elites ndio kina nani? Mbona JPM alikua mropokaji namba moja na akapewa urais. Acheni kuleta siasa za USA hapa, Tanzania hakuna cha elites ni kura za mwananchi ndio kila kitu mkiweza kuzilinda mbona mnapindua meza. Mlisema hata Lowassa system imemkataa mbona bado aliwapiga na upinzani ukazoa viti vya kihistoria?Ndugu yenu TL hawezi, na wala haaminiki na Elites kwa tabia zake za kuropoka chochote bila mpangilio..
ACT wamezifanya je wamepata nini serikali za mitaa? Mbowe pia amefanya? Odinga alifanya hii je alipata nini? Tusidanganyane tukipata aggressive politicians wakadai mabadiliko hadi kura ya kila mtu iwe ina matter basi tutaona mabadiliko. Hayo ya Elites sijui blah blah Trump alipingwa na Elites wengi mnoo na bado akapiga white wash had ikulu.Back office politics kwenye corridorr of power ni muhim sana ...