Mbowe kakata tamaa kabisa. CHADEMA haina malengo wala muelekeo

Mbowe kakata tamaa kabisa. CHADEMA haina malengo wala muelekeo

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Nilikuwa namsikiliza mwenyekiti wa maisha wa chadema anaongea na wazee wa chadema huko Unguja. Nimecheka na kusikitika sana, yaani anawapiga porojo tu, hakuna sera kabisa.

Amesema wao ni vitu viwili wanavyotaka ni "katiba mpya na tume huru ya uchaguzi", hapohapo akasema "hatuwezi kuzipata kwa kuwa hatuko kwenye vitongoji. CCM wapo huko kwenye vitongoji vyote"

Nikangoja nisikie wana sera zipi na plan ipi, masikini ya mungu, hana kabisa. Mwisho mwenyewe akasema sisi hata miaka 100 hatuwezi kupata katiba mpya.

Ikiwa Mwenyekiti kaishiwa fikra kiasi hicho na hana ubunifu wala maono ya nini chama cheke kifanye, ni hatari kubwa sana.

Ni hatari kubwa sana kuishiwa kisiasa, mwisho anaanza kumlaumu mama Samia eti "muongo". Nikacheka sana, nikaona huyu mtu kaishiwa kabisa kisiasa, yaani unamlaumu Mwenyekiti wa chama unachokipinga kuwa ni "muongo"! Khaaa, kama si kuishiwa huko ni nini?

Mbowe ameshindwa kuelewa kuwa Samia kafanya kazi yake kama Rais kamaliza. Sasa asitegemee Samia atakuwa ni kiongozi wa chadema, ingawa kafanya hivyo, kawapa sapoyti kubwa sana hata walipokuwa na mkutano wa kina shangazi wa chadema, mama Samia akaenda kuwapa tafu.

Chadomo nawapeni pole sana. Piaa chadomo na serikali nawatahadharisha sana, mtu ambae kaishiwa kabisafikra namna hii anakuwa "suicidal", anakuwa kisaikolojia hana zaidi cha kukikosa, anaweza kufanya maamuzi ya hatari bila kujali usalama wake wala wa mwengine yeyote.

Tafadhali mtazameni huyu jamaa, hatumii madawa ya kulevya? Maana madawa ya kulevya kwanza yanaanza kuathiri uwezo wa mtu wa kufikiri.

Poleni sana chadema mwenyekiti wenu kaishiwa kabisa.
 
Truth must told, chadema inamuumiza sana akili mwenyekiti, maana kila mtu ni mjuaji zaidi (much know) kazi kubwa mno ameifanya mwenyekiti lakini baadhi ya viongozi wa ngazi za chini wanaona hajafanya lolote, wanachadema waheshimu kiongozi mkuu, masemango miongoni mwao waache mara moja.
 
Truth must told, chadema inamuumiza sana akili mwenyekiti, maana kila mtu ni mjuaji zaidi (much know) kazi kubwa mno ameifanya mwenyekiti lakini baadhi ya viongozi wa ngazi za chini wanaona hajafanya lolote, wanachadema waheshimu kiongozi mkuu, masemango miongoni mwao waache mara moja.
Chadema mwenyekiti anabania ruzuku yote juu huko, chini huku hazifiki. Vipi watu wajitolee pesa zao mifukoni wakati serikali inatowa ruzuku zinaishia hukohuko kwa mwenyekitu? Fikiri.
 
Chadema mwenyekiti anabania ruzuku yote juu huko, chini huku hazifiki. Vipi watu wajitolee pesa zao mifukoni wakati serikali inatowa ruzuku zinaishia hukohuko kwa mwenyekitu? Fikiri.
Kwa mujibu wa CAG Faizafox au?
 
Kwaheri, tunafahamu huna uwezo wa kuelewa, hatuna muda wa kukusomesha hapa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwanza wewe kama mwana CCM tulitegemea mtazamo kama huo juu yamkutano wa Chadema, Ila pia unaonyesha dharau juu elimu yetu nchini kwasababu unajua ukweli juu ya elimu ya Hapa tanzania.
 
Akili zako ndogo utamuelewaje.wenye akili wamemuelewa.Kama hujamuelewa jua haikumaanishwa kwako.
 
Chadema mwenyekiti anabania ruzuku yote juu huko, chini huku hazifiki. Vipi watu wajitolee pesa zao mifukoni wakati serikali inatowa ruzuku zinaishia hukohuko kwa mwenyekitu? Fikiri.
Siasa ni fedha,
Mfumo wake hakutofautiani na mfumo wa makanisa ya upako!
 
Tatizo mbowe hataki kuachia uenyekiti, nafikili hataki kuamini kama wenzie wanaweza. Hili ni tatizo, lakini pia mbowe angekua mwenyekiti mwenye maono na nia njema na chama chake asingeruhusu watu kama kina tundulisu, rema kupanda majukwaani kuongea maana ni walopokaji tu.
Nafikili chadema watafute mtu makini anaejua farusafa ya siasa na muhariri wa kupitia wanayozungumza kwenye majukwaa kutokana na wakati huo au msimu huo, ili kuwadhibiti hawa wanaoropokaropoka hovyo. Wanatakiwa waandaliwe maneno ya kuongea na sio kuongea kwa utashi wa mtu.
Bado chadema kina uhovyo fulani.
 
Kwanza wewe kama mwana CCM tulitegemea mtazamo kama huo juu yamkutano wa Chadema, Ila pia unaonyesha dharau juu elimu yetu nchini kwasababu unajua ukweli juu ya elimu ya Hapa tanzania.
Yeye mwenyewe hajiwezi zaidi ya kujikomba kwa watawala apate chochote
 
Kwaheri, tunafahamu huna uwezo wa kuelewa, hatuna muda wa kukusomesha hapa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Nilikuwa nasikia ukizeeka unakuwa kama mtoto nikawa siamini, sasa nimemini kabisa.
 
Nchi inawatu wajinga sana, unamuona Mbowe tu hawa wanaofilisi Nchi hamuwaoni? Hivi kwa akili ya kawaida Mbowe anashida gani? Sisi ndio wenye shida kukaa hapa na kumjadili Mbowe badala ya kujadili namna gani tutajikomboa kutoka kwenye makucha ya Ccm ni ujinga uliopitiliza.
 
Point za Mwamba ni kwamba dhalimu Magufuli alitumia mabilioni ya fedha za walipakodi pamoja na Dola ku Demage CHADEMA kwa zaidi ya ta miaka mitano.

Huu muda ni muda ku repair ile damage kwenda mashinani kwenye grassroots kukiijenga na kukiimarisha Chama.
 
Back
Top Bottom