Mbowe kakata tamaa kabisa. CHADEMA haina malengo wala muelekeo

Akili yako kila nafasi ya kuzungumza na jamii ni sera tu. Hovyo kabisa!
Hata hivyo kwako wewe hiyo katiba mpya siyo sera.
Ukitaka kujitoa akili uwe na kumbukumbu,
Yule katiri alisema " katiba mpya siyo sera ya ccm na kipaumbele chake" hapo vipi?
 
Kwa kweli haya majukwaa yanatuponya sana, Kuna wakati unaweza fikiri jambo kuwa ni mapepo Yako lakini ukija kwenye room unakuta kumbe hata wewe uko sahihi, asanteni Kwa kutuelimisha.
 
Huyu ajuza anashinda kwenye mkeka hajui hata anachofanya
 
Chama kinamtegemea mtu kama Lema unategemea nini?
 
CCM ni wezi wa mali za Watanzania👇
Your browser is not able to display this video.
 


Kama ambavyo wewe huna muelekeo wa kulea Mume na kuandika ujinga wa ccm humu
 
Yaliyoandikwa hayafanani kabisa na tabia nzuri na uchamungu wa Faiza.
Faiza ni muadilifu na anayo hofu ya ALLAH,tuache kumlisha maneno.....kumbukeni kila nafsi itaonja umautì.
 
Unajuwa makao makuu mapya ya chadomo yamegharimu billion ngapi, kujengwa?

Sasa sema wewe, kijumba kile cha mabilioni?
Pesa za CHADEMA zinawahusu wanachama wao tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…