Mbowe kakodi muziki ,kafunga matenti ,kajaza viti nyumbani ili wanachadema wakamuombe kugombea Tena ! Anafikirisha sana

Mbowe kakodi muziki ,kafunga matenti ,kajaza viti nyumbani ili wanachadema wakamuombe kugombea Tena ! Anafikirisha sana

Mwaka 2014 alifanya drama hizi tena. Wakati ule alienda kuombwa na akina mama. Mwaka 2009 wakati Zitto Kabwe amemshika Pabaya, aliwapanga wazee wa chama wakaenda kumuomba kugombea. Ni drama kulia na kushoto.
🤣🤣🤣
 
Hata kama angekuwa kaombwa kweli.

Kiongozi hasubiri kuombwa agombee uongozi, akishaombwa huyo si kiongozi huyo anaongozwa.
🙋‍♂️✍️🤝🙏
 
Sawa.

Ninachosema ni kwamba, hata kama angeombwa kweli, si kwa maigizo, mtu kuombwa kuongoza inaonesha huyo mtu hajitambui, hawezi hata kujiongoza mwenyewe mpaka aongozwe na watu, hawezi kuwaongoza watu.
🙋‍♂️✍️🎯 🤝🙏
 
Back
Top Bottom