Mbowe Kalamba Asali Asibishe. Toka Ukaribisho wake Ikulu Watu Walisema

Mbowe Kalamba Asali Asibishe. Toka Ukaribisho wake Ikulu Watu Walisema

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Upinzani imara ndio hufanya Serikali ya CCM yenye utendaji imara na wenye hofu Kwa Umma na tija Kwa wananchi. Pia usikivu na uwajibikaji wa haraka na majibu haraka ya kero mbalimbali

Kimsingi imani iliyopo ya hayo maridhiano ambayo ni maridhiano uchwara, pengine msingi wake ni kumponya Mbowe mwenyewe na majeraha ya kukaa Jela Kwa kesi ya Kihuni na ya kubuni ili kumkomoa yeye, katika hali ya kawaida sioni muktadha wa maridhiano ukiwa hata na hisia za machungu Kwa akina Adamoo, Ling"wenya na wengineo. Mbowe hata kwa lugha yake ya mwili na sauti alishasaliti wanachadema na upinzani kama iliyo kwa kale kajini uchwara toka Kigoma kale ka ACT wazagamba.

Hapiganii tena yafuatayo:

1. Katiba mpya
2. Tume huru
3. Haki za kisiasa hususani mikutano ya hadhara
4. Wabunge feki 19 akina Mdee

Chadema mnaotarajia kushiriki chaguzi zijazo mjipange Kwa haraka zenu kukubalika kwenu na mitaji yenu, leadership ya mwenyekiti wenu haipo. Mbowe hajawahi kuwa mpambanaji kamwe Kwa hio miaka 30 anayojisabu. Hata katika kumbukumbu ya wapinzani na wapambanaji hayupo na hata kuwepo.

Ni hayo tu mlipuko mtulie yote yenu za kichwa lazima tuambiane ukweli upinzani ukilala nchi inaoza mazima.

Wadiz na mawazo huru, fikra huru Chadema Mfuu ndio iliyopo Sasa.
 
Upinzani imara ndio hufanya Serikali ya CCM yenye utendaji imara na wenye hofu Kwa Umma na tija Kwa wananchi. Pia usikivu na uwajibikaji wa haraka na majibu haraka ya kero mbalimbali...
Urambishwe asali halafu upewe Masharti ya kuendeleza harakati za kuitoa CCM madarakani!

Upewe asali na uruhusiwe kuendeleza harakati za kudai Katiba mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA!

Asali hiyo ni nzuri na aendelee kuramba😃😃😃
 
1-3 you are less informed 1000%

hiyo ya wabunge feki, kesi iko mahakamani, unataka akaishurutishe mahakama ifanye maamuzi?
Ujinga mtupu ni kesi ya kuwa mahakamani Acheni Utopolo wa fikra na katiba hayo Mazuzu ya nununa hayafai hata kuwepo Kwa Bunge
 
Upinzani imara ndio hufanya Serikali ya CCM yenye utendaji imara na wenye hofu Kwa Umma na tija Kwa wananchi. Pia usikivu na uwajibikaji wa haraka na majibu haraka ya kero mbalimbali

Kimsingi imani iliyopo ya hayo maridhiano ambayo ni maridhiano uchwara, pengine msingi wake ni kumponya Mbowe mwenyewe na majeraha ya kukaa Jela Kwa kesi ya Kihuni na ya kubuni ili kumkomoa yeye, katika hali ya kawaida sioni muktadha wa maridhiano ukiwa hata na hisia za machungu Kwa akina Adamoo, Ling"wenya na wengineo. Mbowe hata kwa lugha yake ya mwili na sauti alishasaliti wanachadema na upinzani kama iliyo kwa kale kajini uchwara toka Kigoma kale ka ACT wazagamba.

Hapiganii tena yafuatayo:

1. Katiba mpya
2. Tume huru
3. Haki za kisiasa hususani mikutano ya hadhara
4. Wabunge feki 19 akina Mdee

Chadema mnaotarajia kushiriki chaguzi zijazo mjipange Kwa haraka zenu kukubalika kwenu na mitaji yenu, leadership ya mwenyekiti wenu haipo. Mbowe hajawahi kuwa mpambanaji kamwe Kwa hio miaka 30 anayojisabu. Hata katika kumbukumbu ya wapinzani na wapambanaji hayupo na hata kuwepo.

Ni hayo tu mlipuko mtulie yote yenu za kichwa lazima tuambiane ukweli upinzani ukilala nchi inaoza mazima.

Wadiz na mawazo huru, fikra huru Chadema Mfuu ndio iliyopo Sasa.
Ni Mpumbavu tu ndio Anaweza kuwa na Mawazo ya Kijinga kama yako
 
Maalim seif sharrif Hamad amewahi kusema kuwa -hatuwezi kukubaliana kwa Kila kitu, wakat mwingine tuangalie maslahi tuu-+
 
Upinzani imara ndio hufanya Serikali ya CCM yenye utendaji imara na wenye hofu Kwa Umma na tija Kwa wananchi. Pia usikivu na uwajibikaji wa haraka na majibu haraka ya kero mbalimbali

Kimsingi imani iliyopo ya hayo maridhiano ambayo ni maridhiano uchwara, pengine msingi wake ni kumponya Mbowe mwenyewe na majeraha ya kukaa Jela Kwa kesi ya Kihuni na ya kubuni ili kumkomoa yeye, katika hali ya kawaida sioni muktadha wa maridhiano ukiwa hata na hisia za machungu Kwa akina Adamoo, Ling"wenya na wengineo. Mbowe hata kwa lugha yake ya mwili na sauti alishasaliti wanachadema na upinzani kama iliyo kwa kale kajini uchwara toka Kigoma kale ka ACT wazagamba.

Hapiganii tena yafuatayo:

1. Katiba mpya
2. Tume huru
3. Haki za kisiasa hususani mikutano ya hadhara
4. Wabunge feki 19 akina Mdee

Chadema mnaotarajia kushiriki chaguzi zijazo mjipange Kwa haraka zenu kukubalika kwenu na mitaji yenu, leadership ya mwenyekiti wenu haipo. Mbowe hajawahi kuwa mpambanaji kamwe Kwa hio miaka 30 anayojisabu. Hata katika kumbukumbu ya wapinzani na wapambanaji hayupo na hata kuwepo.

Ni hayo tu mlipuko mtulie yote yenu za kichwa lazima tuambiane ukweli upinzani ukilala nchi inaoza mazima.

Wadiz na mawazo huru, fikra huru Chadema Mfuu ndio iliyopo Sasa.
Sikiliza wewe Komata, Mbowe ana maisha kabla enzi hizo wazazi wako wanalala na mbuzi ndani.
 
Upinzani imara ndio hufanya Serikali ya CCM yenye utendaji imara na wenye hofu Kwa Umma na tija Kwa wananchi. Pia usikivu na uwajibikaji wa haraka na majibu haraka ya kero mbalimbali

Kimsingi imani iliyopo ya hayo maridhiano ambayo ni maridhiano uchwara, pengine msingi wake ni kumponya Mbowe mwenyewe na majeraha ya kukaa Jela Kwa kesi ya Kihuni na ya kubuni ili kumkomoa yeye, katika hali ya kawaida sioni muktadha wa maridhiano ukiwa hata na hisia za machungu Kwa akina Adamoo, Ling"wenya na wengineo. Mbowe hata kwa lugha yake ya mwili na sauti alishasaliti wanachadema na upinzani kama iliyo kwa kale kajini uchwara toka Kigoma kale ka ACT wazagamba.

Hapiganii tena yafuatayo:

1. Katiba mpya
2. Tume huru
3. Haki za kisiasa hususani mikutano ya hadhara
4. Wabunge feki 19 akina Mdee

Chadema mnaotarajia kushiriki chaguzi zijazo mjipange Kwa haraka zenu kukubalika kwenu na mitaji yenu, leadership ya mwenyekiti wenu haipo. Mbowe hajawahi kuwa mpambanaji kamwe Kwa hio miaka 30 anayojisabu. Hata katika kumbukumbu ya wapinzani na wapambanaji hayupo na hata kuwepo.

Ni hayo tu mlipuko mtulie yote yenu za kichwa lazima tuambiane ukweli upinzani ukilala nchi inaoza mazima.

Wadiz na mawazo huru, fikra huru Chadema Mfuu ndio iliyopo Sasa.
Kwa hio wewe ni Mwanamke ba Mbowe mwanaume kazaliwa kuja kutetea Katiba mpya na tume ya uchaguzi? Wewe ni ke au me?
 
Hata ningekuwa mimi ni Mbowe asali ningeilamba unadhani kukaa prison na kuharibiwa biashara ni kitu kidogo
Mbowe kwenye Familia yao hawajaanza life jana, wewe wakati huo Wazazi wako wana lala na ng'ombe ndani,
 
Nini kinazuia wewe kuchukua nafasi ya Mbowe? Kama wewe hujalamba asali mbona hatuoni ukipambana kama alivyokuwa anapambana Mbowe?
Yeye ni ke sasa anataka Mwanaume Mbowe ndio adai katiba, hii nchi uje kuna Pimbi wanazania kuna Watu wamezaliwa special waje kuwatetea
 
Wewe kakuzuia nani kupigania hayo ambayo unaona Mbowe ameacha kuyapigania? Kwani ikipatikana Katiba bora itakuwa ni faida kwa wapinzani au Watanzania wote?
Atakuw ni Ke sasa anataka Mwanaume Mbowe ndio adai katiba kwa niaba yake
 
Back
Top Bottom