Mbowe Kalamba Asali Asibishe. Toka Ukaribisho wake Ikulu Watu Walisema

Mbowe Kalamba Asali Asibishe. Toka Ukaribisho wake Ikulu Watu Walisema

Kama Mbowe kalamba asali. Shaka atakuwa kalamba nn sasa?
 
Mbowe kwenye Familia yao hawajaanza life jana, wewe wakati huo Wazazi wako wana lala na ng'ombe ndani,
Sijui umeelewa nilichoandika au ume comment tu hapa, nimetaka nikutukane lakini kwa sababu kuna watu wananiheshimu humu ngoja nitumie busara kukujibu

Mimi sijatoka familia masikini , babu yangu ali hustle sana na alikuwa vizuri ujanani mpka leo yeye sio masikini, Mzee wangu pia ali Hustle mno na ana maisha mazuri mpaka leo,mimi nimekulia maisha naweza kuita mazuri,mimi born town nimezaliwa nyumba ina umeme wa bure wa serikali unaelewa ? Kwetu nje mzee mpaka leo kapaki gari nyingi na ana cheo kikubwa tu serikalini anaramba asali hivo basi wazazi wa Mbowe na babu yangu walikuwa wafanya biashara, baba yangu na hata mimi tumesoma private school
 
Humu kumekuwa na utoto sana, mtu una comment alafu anakuja kichaa anakujibu vitu havieleweki, muwe mnasoma comments za watu mnazielewa kabla ya kuleta stress zenu huku
 
Back
Top Bottom