Mahundi L
Member
- May 23, 2022
- 25
- 27
[emoji23]Kwa kweli nilishasahau. Siku hizi niko mbali sana na siasa! Muda mwingi busy kwenye jukwaa la michezo, na pia lile la kutafuta wachumba.
Hivyo uniwie tu radhi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Kwa kweli nilishasahau. Siku hizi niko mbali sana na siasa! Muda mwingi busy kwenye jukwaa la michezo, na pia lile la kutafuta wachumba.
Hivyo uniwie tu radhi.
Kama uchaguzi ulikuwa haramu, iweje CDM ipate kura halali za Kuhalalisha kupokea RUZUKU?Una kera, ruzuku ni kura zilizopatikana kwenye uchaguzi
Amesema wabunge hao walikuwa ni viongozi wao, hata hivyo mchakato wa kuwapeleka bungeni haukuwa mchakato wenye baraka za chama. Wale walikuwa sehemu yetu, lakini waliowasaidia kuingia bungeni ni wenzako (Rais Samia).Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kilichofanyika kwa wabunge 19 waliopelekwa bungeni bila idhini ya chama ilikuwa ni uhuni, na ni kuvunja Katiba.
Amesema wabunge hao walikuwa ni viongozi wao, hata hivyo mchakato wa kuwapeleka bungeni haukuwa mchakato wenye baraka za chama. Wale walikuwa sehemu yetu, lakini waliowasaidia kuingia bungeni ni wenzako (Rais Samia).
Baadhi ya vyombo vya habari vilipotosha kusema kuwa CHADEMA iliridhia kuwapeleka wabunge wale bungeni. Wale wabunge hawakilishi mtu wanawakilisha familia zao, bunge na spika wameamua kuwalinda.
Wewe Rais ndio unayeidhinisha mishahara yao, liangalie hili uepushe matumizi mabaya ya kodi za wananchi kwa wabunge wale wasiomuwakilisha mtu.
Mbowe ameyasema hayo akiongea na wanawake wa CHADEMA katika Siku ya Wanawake Duniani, ambayo Mgeni Rasmi alikuwa Rais Samia.
Kwa sababu Chadema wamefanya maridhiano na Samia.Kama uchaguzi ulikuwa haramu, iweje CDM ipate kura halali za Kuhalalisha kupokea RUZUKU?
Then maridhiano yanaweza fanyika na Covid wakarudi kundini.Kwa sababu Chadema wamefanya maridhiano na Samia.
Uchaguzi haramu uliwezaje Kutoa kura HALALI za kufaa kuwapa RUZUKU CDM?Hivi hata wewe ni kweli hujui kama ruzuku zinatokana na kura za mgombea Urais?
Watu hawaamini kile wanachokipigania.Nilisikitika kuona Rais anasema suala lipo mahakamani hawezi kuingilia na waliokuwepo kama wakanuna ila alipomfutia kesi Lema ambazo pia zilikuwa mahakamani wanachadema wakasifia na kusema haki imetendeka.Tz siasa zetu ni kushangilia kile kinacho kunufaisha tu.
Tumia akili(kama unazo) na utaweza kutofautisha kati ya kesi halisi(halali) na kesi za kimagumashi, kesi zenye mrengo wa kisiasa walizobambikiwa watu kwa sababu za kisiasa ndiyo anaziingilia kimaamuzi kwa kuwa ana resources za kila aina kumfahamisha details za kila kesi na kwa zile kesi halisi hadhubutu kutia mkono labda kuja kuwasamehe wakishahukumiwa.Nilisikitika kuona Rais anasema suala lipo mahakamani hawezi kuingilia na waliokuwepo kama wakanuna ila alipomfutia kesi Lema ambazo pia zilikuwa mahakamani wanachadema wakasifia na kusema haki imetendeka.Tz siasa zetu ni kushangilia kile kinacho kunufaisha tu.
WabajifarijiWengine wanaimba "amelamba asali".View attachment 2543723View attachment 2543724
Does haramu mean kuwa watu hawakupiga kura? Kura zilipigwa zikaibwa nyingi......... zikavurugwa na kuufanya uchaguzi kuwa haramu, lakini kura zilipigwa ingawa kwa kwa mbinde. Hicho kilichoachwa kudanganyia watu ndicho hicho wanachotumia kupatia ruzuku baada ya MARIDHIANO. na maridhiano hayaondoi haramu bali yanaleta amani na kupunguza uhasama. maridhiano hayatafanya vitabu visiandikwe kumhusu ukatili , uuaji wa Magufuli!Kama uchaguzi ulikuwa haramu, iweje CDM ipate kura halali za Kuhalalisha kupokea RUZUKU?
Rais hajawahi kufuta kesi yoyote na hana mamlaka hayo, kwakuwa akili yako imegoma kufanya huwezi kuelewa hilo.Nilisikitika kuona Rais anasema suala lipo mahakamani hawezi kuingilia na waliokuwepo kama wakanuna ila alipomfutia kesi Lema ambazo pia zilikuwa mahakamani wanachadema wakasifia na kusema haki imetendeka.Tz siasa zetu ni kushangilia kile kinacho kunufaisha tu.
Ruzuku hutolewa kwa wingi ya kura za rais. Ndio maana Zitto anao wabunge ila hana ruzuku.
We ndo mwehu kweli. Mbowe anamwabia rais we inakuja na ngonjera za chadema tena. Au rais anayeambiwa ndo juhaMbowe anajua chadema ni majuha, anayazungusha tu
Ww ndo juha , Tena sio juha tu , ww ni sawa na yule polisi wa ZanzibarMbowe anajua chadema ni majuha, anayazungusha tu
Na hawakijuiWatu hawaamini kile wanachokipigania.
Unaweza kujiona unazo akili ukashindwa kuelewa maana ya kesi kuwa registered Mahakamani,ni mahakama gani nchini huwa inatofautisha kesi Kwa namna hiyo,kwamba hizi ni political related na hizi ni makosa kweli,ukiniletea kesi hata moja tu nitajua unaakili kweliTumia akili(kama unazo) na utaweza kutofautisha kati ya kesi halisi(halali) na kesi za kimagumashi, kesi zenye mrengo wa kisiasa walizobambikiwa watu kwa sababu za kisiasa ndiyo anaziingilia kimaamuzi kwa kuwa ana resources za kila aina kumfahamisha details za kila kesi na kwa zile kesi halisi hadhubutu kutia mkono labda kuja kuwasamehe wakishahukumiwa.
Hiyo Zero unayowewe Kwa kuwa unashangilia kila jambo kama zuzu tu,Na mantinki hapa ni Kesi za Lema ambazo mnashangilia Rais kusema hadharani kuwa amemfutia huku mkinuna mnaposikia Kesi ya kina mdee akisema Mahakama itaamuaRais hajawahi kufuta kesi yoyote na hana mamlaka hayo, kwakuwa akili yako imegoma kufanya huwezi kuelewa hilo.
Anayeshtaki kesi za jinai ni DPP na ana mamlaka ya kufuta kesi hizo.
Halima na Mzee na wenzake wao ndio wameishtaki Chadema mahakamani na siyo DPP.
Tokomeza ziro.