Mbowe: Kilichofanyika kwa kina Mdee ni Uhuni. Rais wasitishie mishahara

Mbowe: Kilichofanyika kwa kina Mdee ni Uhuni. Rais wasitishie mishahara

Wale wabunge hawakilishi mtu wanawakilisha familia zao, bunge na spika wameamua kuwalinda.

Wewe Rais ndio unayeidhinisha mishahara yao, liangalie hili uepushe matumizi mabaya ya kodi za wananchi kwa wabunge wale wasiomuwakilisha mtu.
Wakifukuzwa wakapelekwa kina mukya ndio watakuwa wanawakilisha wananchi? Mbunge wa viti maalum na uwakilishi wapi na wapi!
 
Kama wamekubali ruzuku waliyoikataa kwa hoja ileile iliyowafanya wasipeleke viti maalumu basi ni ujuha kuendelea kushupaza shingo kweli hili.

Au wanataka nafasi zile wawape dada na mademu zao kama ilivyo ada
Point ya msingi hapo ni kuwa mbowe alikuwa amewaandaa watu wake wa kuchukua hiyo nafasi
 
Does haramu mean kuwa watu hawakupiga kura? Kura zilipigwa zikaibwa nyingi......... zikavurugwa na kuufanya uchaguzi kuwa haramu, lakini kura zilipigwa ingawa kwa kwa mbinde. Hicho kilichoachwa kudanganyia watu ndicho hicho wanachotumia kupatia ruzuku baada ya MARIDHIANO. na maridhiano hayaondoi haramu bali yanaleta amani na kupunguza uhasama. maridhiano hayatafanya vitabu visiandikwe kumhusu ukatili , uuaji wa Magufuli!
Porojo tu
 
Back
Top Bottom