Tetesi: Mbowe kufanya kata funua CHADEMA. Apanga Kuwaita wabunge na wafuasi wa Lissu

Tetesi: Mbowe kufanya kata funua CHADEMA. Apanga Kuwaita wabunge na wafuasi wa Lissu

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app
Mmesha anza chokochoko
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app

Mbinu zako za kizamani sana.huwezi kuchonganisha chama kwa sababu mna akili fupi sana nyie watu wa ccm.halafu uwache kujipendekeza kwa sababu hutakaa upate hata ubalozi wa nyumba kumi..Ongea mambo ya kulisaidia taifa lako juu.Usiongee ushuzi.
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hueleweki?
Au ulikuwa umelala?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naibu Waziri....I see
Hilo ndilo nilitaka kulisema baada ya kusoma tuu thread na kuona mleta mada.
Halafu nchi ikikwama kuendelea tunwtafuta mchawi wakati tuna viongozi bogus wa aina hii ya majungu, uzandiki na ufitini?
Mtu tunamlipa fedha za kutosha, Nyumba na marupurupu kibao na heshima kubwa lakini maneno na vitendo hana tofauti na Ambaruti au Dudubaya?
Acha tuwasikie tuu Kenya wakisonga mbele na sie tukisotea makalio chini. Kanuni za JF ndio zinalinda majina ya watu kuyaweka hadharani vinginevyo tungewavua nguo hivi vi short chassis hadi basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo ndilo nilitaka kulisema baada ya kusoma tuu thread na kuona mleta mada.
Halafu nchi ikikwama kuendelea tunwtafuta mchawi wakati tuna viongozi bogus wa aina hii ya majungu, uzandiki na ufitini?
Mtu tunamlipa fedha za kutosha, Nyumba na marupurupu kibao na heshima kubwa lakini maneno na vitendo hana tofauti na Ambaruti au Dudubaya?
Acha tuwasikie tuu Kenya wakisonga mbele na sie tukisotea makalio chini. Kanuni za JF ndio zinalinda majina ya watu kuyaweka hadharani vinginevyo tungewavua nguo hivi vi short chassis hadi basi

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kulialia,upo upande wa Tundu au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: UCD
"Sielewi mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu ilitumia kifungu gani cha sheria kuwataka washtakiwa kuripoti polisi kila wiki, kwa sababu shauri likishafika mahakamani haliwezi tena kurudi polisi kabla halijafanyiwa maamuzi. Ni dhahiri kuwafutia dhamana kulijenga hisia kuwa mahakama ilishindwa kufanya kazi yake inavyopasa. Na hii ni aibu. Kungekuwa na maneno mengine ya kisheria ya kuelezea hali hiyo ningeyatumia lakini niseme ni aibu" - Jaji Sam Rumanyika,
 
Back
Top Bottom