Tetesi: Mbowe kufanya kata funua CHADEMA. Apanga Kuwaita wabunge na wafuasi wa Lissu

Tetesi: Mbowe kufanya kata funua CHADEMA. Apanga Kuwaita wabunge na wafuasi wa Lissu

"Sielewi mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu ilitumia kifungu gani cha sheria kuwataka washtakiwa kuripoti polisi kila wiki, kwa sababu shauri likishafika mahakamani haliwezi tena kurudi polisi kabla halijafanyiwa maamuzi. Ni dhahiri kuwafutia dhamana kulijenga hisia kuwa mahakama ilishindwa kufanya kazi yake inavyopasa. Na hii ni aibu. Kungekuwa na maneno mengine ya kisheria ya kuelezea hali hiyo ningeyatumia lakini niseme ni aibu" - Jaji Sam Rumanyika,
Nje ya mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app

FAKE NEWS!!! shame on you. hilooo!!!
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu mimi sina chama lakini nielewavyo ni kuwa kwa ccm ni lazima mgombea uraisi awe mwenyekiti wa chama, lakini kwa upande wa chadema sijasikia kuwa mgombea uraisi lazima awe mwenyekiti wa chama. Mkuu kwa hiyo wewe ni muongo umetoa stori kwa kuangalia muktadha wa ccm. Mkuu hangaikeni kujibu tuhuma alizo zitoa Lisu tutawaelewa toeni majibu.
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app
Propaganda za kike peleka lumumba fisad limerudi nyumban nenda kalisherehekee.
 
Mkuu mimi sina chama lakini nielewavyo ni kuwa kwa ccm ni lazima mgombea uraisi awe mwenyekiti wa chama, lakini kwa upande wa chadema sijasikia kuwa mgombea uraisi lazima awe mwenyekiti wa chama. Mkuu kwa hiyo wewe ni muongo umetoa stori kwa kuangalia muktadha wa ccm. Mkuu hangaikeni kujibu tuhuma alizo zitoa Lisu tutawaelewa toeni majibu.
Magufuli hakuwa Mwenyekiti wakati anagombea, mwaka 2005 Mbowe akiwa Mwenyekiti alikuwa mgombea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa
 
Huo upuuzi wako wapelekee watoto wa chekechea au watu wenye akili kama zako ambao hupatikana Lumumba
 
Back
Top Bottom