Tetesi: Mbowe kufanya kata funua CHADEMA. Apanga Kuwaita wabunge na wafuasi wa Lissu

Tetesi: Mbowe kufanya kata funua CHADEMA. Apanga Kuwaita wabunge na wafuasi wa Lissu

Mataga wa kijani mmeishiwa kweli ,kwa huu upuuzi ulioandika utalipwa kabisa buku saba zako .
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app

mtei
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app
I see
tapatalk_1548448386150.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • tapatalk_1549615604087.jpeg
    tapatalk_1549615604087.jpeg
    20 KB · Views: 19
  • tapatalk_1551347129941.jpeg
    tapatalk_1551347129941.jpeg
    77.6 KB · Views: 15
Sijui kama wana mpagangiaga hata kazi za kufanya kwa kuhofia weredi wake
Mbaya zaidi, pale kwao musoma nyakato, nyumba hazieleweki! Ni za zamani, aje walau afanye maintenance! Mzee wake analalamika hamtumii hela za matumizi nyumbani
 
Hizi ni dalili za kuvimbiwa maji ya bendera.

MHUBIRI 4:13 SUV

"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
 
Hii ni zaidi ya tetesi, kwakuwa hata tetesi zina source! Kitu ambacho watanzania tunatakiwa kupongezwa sio tu kupenda ujinga, bali hata wajinga wenyewe huwa tunakuwa na interest nao.
Sio jambo la kushangaza ukaona mtu aliyekuwa anapita amesimama kumwangalia mwendawazimu anachofanya au anachosema wakati anajua huyo ni mwendawazimu!
 
Hii ni zaidi ya tetesi, kwakuwa hata tetesi zina source! Kitu ambacho watanzania tunatakiwa kupongezwa sio tu kupenda ujinga, bali hata wajinga wenyewe huwa tunakuwa na interest nao.
Sio jambo la kushangaza ukaona mtu aliyekuwa anapita amesimama kumwangalia mwendawazimu anachofanya au anachosema wakati anajua huyo ni mwendawazimu!
Mbona unahasira hivyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app
Jana kuna bandiko toka wadau wa chadema wakidai angeongea na vyombo vya habari yeye na matiko.
Vipi walisemaje kwwnye hiyo press?
 
Umerudi lini kutoka monduli
Ndugu zangu,

Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.

Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"

Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.

"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom