Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Mataga wa kijani mmeishiwa kweli ,kwa huu upuuzi ulioandika utalipwa kabisa buku saba zako .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda vumilia dawa iingieHuo upuuzi wako wapelekee watoto wa chekechea au watu wenye akili kama zako ambao hupatikana Lumumba
Jikite kwenye hojaMataga wa kijani mmeishiwa kweli ,kwa huu upuuzi ulioandika utalipwa kabisa buku saba zako .
Its logic, ni kwa sababu raisi na mwenyekiti wa ccm alikuwa bado yupo madarakani. Asingeweza kumkabidhi Magufuli uenyekiti wakati yeye bado hajaachia uraisi.Magufuli hakuwa Mwenyekiti wakati anagombea, mwaka 2005 Mbowe akiwa Mwenyekiti alikuwa mgombea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu,
Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.
Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"
Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.
"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."
Sent using Jamii Forums mobile app
I seeNdugu zangu,
Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.
Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"
Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.
"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatengeneza swali na jibu lako kama Lissu alivyokuwa HardtalkIts logic, ni kwa sababu raisi na mwenyekiti wa ccm alikuwa bado yupo madarakani. Asingeweza kumkabidhi Magufuli uenyekiti wakati yeye bado hajaachia uraisi.
Diamond si bado hajatoa wimbo mpya
Mbaya zaidi, pale kwao musoma nyakato, nyumba hazieleweki! Ni za zamani, aje walau afanye maintenance! Mzee wake analalamika hamtumii hela za matumizi nyumbaniSijui kama wana mpagangiaga hata kazi za kufanya kwa kuhofia weredi wake
Nje ya madaMbaya zaidi, pale kwao musoma nyakato, nyumba hazieleweki! Ni za zamani, aje walau afanye maintenance! Mzee wake analalamika hamtumii hela za matumizi nyumbani
Pole kamandaHizi ni dalili za kuvimbiwa maji ya bendera.
MHUBIRI 4:13 SUV
"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
Mbona unahasira hivyo...Hii ni zaidi ya tetesi, kwakuwa hata tetesi zina source! Kitu ambacho watanzania tunatakiwa kupongezwa sio tu kupenda ujinga, bali hata wajinga wenyewe huwa tunakuwa na interest nao.
Sio jambo la kushangaza ukaona mtu aliyekuwa anapita amesimama kumwangalia mwendawazimu anachofanya au anachosema wakati anajua huyo ni mwendawazimu!
Jana kuna bandiko toka wadau wa chadema wakidai angeongea na vyombo vya habari yeye na matiko.Ndugu zangu,
Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.
Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"
Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.
"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu,
Mara kadha wa kadha watu walitaadharisha wanaotaka kumpindua Mbowe uenyekiti Chadema.
Sasa mambo yametimia sasa kata funua hiyo kuwakumba hadi baadhi ya wabunge,viongozi waandamizi na wale waliokuwa wakimpigia Tundu Lissu chapuo la uenyekiti na nafasi ya kugombea urais bila ruksa ya "kamanda wa anga"
Kazi imeanza mara baada ya kuachiwa kutoka mahabusu,baadhi ya wafuasi wa Chadema wamekemewa kama watoto wadogo hakika "mkono wa chuma" sasa hautawaacha.
"Chadema ina mwenyewe na mwenyewe ni..................."
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaingia mitini ila huko Njombe viongozi wawili wameondolewa uanachama na haki zao zote ndani ya ChademaJana kuna bandiko toka wadau wa chadema wakidai angeongea na vyombo vya habari yeye na matiko.
Vipi walisemaje kwwnye hiyo press?