Ninachoota ni kwamba chezo la ccm-serikali kimdeal mh. Mbowe kwenye businesses zake lazima akubali kupoteza kimoja kimoja na kupata kimoja kati POLITIW ROYALTIES na BUSINESS ROYALTIES. bila shaka mbowe ni mchagga kwa pesa humwambii kitu lazima achague pesa na kukidampo chadema.