Tetesi: Mbowe kujiuzulu mwezi Novemba

Tetesi: Mbowe kujiuzulu mwezi Novemba

Status
Not open for further replies.
"Wana Daresalama hakyamungu Ukawa tusipoingia Ikulu mwaka huu 2015 mimi Freeman Aikaeli Mbowe nitajiuzulu siasa."- Mbowe.

Sasa tunashangaa nini akijiuzulu kutekeleza ahadi yake kwa vitendo? Tuache unaaa bhana!
 
wanawake wanajua sana mambo ambayo wanaume zao wanaplan kuyafanya ilatatizo lao hawana siri
 
Wakati fulani nilipopata habari hizi, nilijua ni muendelezo wa siasa zetu zisizo na afya njema.

Ila nilipata kusikia pia kuwa hivi sasa Meya wa Kinondoni, rafiki yangu Jacob pamoja na mameya wengine wa Jiji mama la Dar es salaam wamekuwa watu wa karibu na familia ya Mhe Lowassa.

Nyumbani kwa Mhe Lowassa ni ofisi ya pili ya Meya huyo wa Kinondoni, mwanzoni sikuwa naamini sana maana maneno maneno ni mengi, ila thread hii inanipa picha nyingine ambayo inakaribia kuondoa ule walakini niliyokuwa nayo hapo kabla.

Lisamwalo lipo, tusubiri hiyo Novemba.
Naona mzee bado anaendeleza tabia ya kutengeneza makundi kila anakokwenda! Bundi ameondoka CUF, sasa anaelekea CHADEMA!
 
Kuna Taarifa zinazoenea kwenye Mitandao ya Kijamii zisemazo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Anatarajia kujiuzulu Mwezi wa Novembe na kuainisha sababu Lukuki zisizo na ukweli wowote. Nipropaganda za watu wasiokitakia chama mema

Habari hizo nizakuzipuza hazina ukweli wowote ni upotoshaji wakiwango kikubwa.

Nimatumaini yetu mamlaka husika mtachukuwa hatua stahiki kwa mtu aliyeanzisha habari hizo za kupotosha

Chadema
Mkuu wewe ni msemaji wa CHADEMA siku hizi??? Hii habari yako naona imekaa kiudaku udaku wa JF vile. Nilidhani statements kama hizi huwekwa rasmi katika heded paper za chama.
 
Taarifa za kuaminika kutoka katika vyanzo nyeti katika chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mhe Freeman Aikael Mbowe yuko mbioni kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kutokana na kile kinachodaiwa kuchoshwa kunyooshewa vidole na kutuhumiwa kukiuza Chama hicho kwa Lowassa.

Tangu Ndugu Lowassa alipoamua kujiunga na Chama hicho mwishoni mwa mwezi October mwaka 2015, tuhuma za moja kwa moja zilielekezwa kwa Mhe Mbowe kutoka kwa washirika wake wa karibu akiwemo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Dr Wilbroad Slaa kuwa amepokea hongo ya takribani bilioni 20 ili kumpoitishia mgombea huyo aiyekatwa CCM kwa tuhuma za ufisadi.

Mwenyekiti Mbowe, amefikia hatua hiyo baada ya katibu Mkuu wa sasa na viongozi wote walioteuliwa na kuchaguliwa ndani ya chama hicho kuelekeza utii wao kwa Lowassa na kuacha kumtii Mhe Mbowe, imethibitika ndani ya chama hicho kuwa center of power imehama kutoka kwa Mwenyekiti na kuhamia kwa Mhe Lowassa ambapo Wabunge, Madiwani na Mameya wote wanasikiliza kauli na maelekezo ya Mhe Lowassa.
Kwa hiyo ulipoona kwa mwanahalisi kuwa Katibu Mkuu wa Lumumba anataka kumwaga manyanga ndipo ukaja maneno ya kusadikika ili upoteze watu na kuwatoa kwenye hoja ya kuchafuka kwa hali ya hewa Lumumba?
 
Propaganda kwenye siasa haziishi nchi hii.
 
Alafu ruzuku ata achiwa nani awe anaziwasilisha kwa mwenyewe, Mmmmmm. Tei
 
Kwa hiyo Mbowe ni Mwenyekiti wa maisha hapo Chadema?

Mnalilia Demokrasia huku nyie ni wabakaji wa Demokrasia.!
 
Kha! kwa hiyo jamaa hang'atuki wala kujiuzulu mpaka nchi ibomoke sasa mbona shida hapo

kwa mana hiyo cheo chake ndo atakifa nacho toka 2003 loh kweli kazi ipo
 
Taarifa za kuaminika kutoka katika vyanzo nyeti katika chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mhe Freeman Aikael Mbowe yuko mbioni kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kutokana na kile kinachodaiwa kuchoshwa kunyooshewa vidole na kutuhumiwa kukiuza Chama hicho kwa Lowassa.

Tangu Ndugu Lowassa alipoamua kujiunga na Chama hicho mwishoni mwa mwezi October mwaka 2015, tuhuma za moja kwa moja zilielekezwa kwa Mhe Mbowe kutoka kwa washirika wake wa karibu akiwemo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Dr Wilbroad Slaa kuwa amepokea hongo ya takribani bilioni 20 ili kumpoitishia mgombea huyo aiyekatwa CCM kwa tuhuma za ufisadi.

Mwenyekiti Mbowe, amefikia hatua hiyo baada ya katibu Mkuu wa sasa na viongozi wote walioteuliwa na kuchaguliwa ndani ya chama hicho kuelekeza utii wao kwa Lowassa na kuacha kumtii Mhe Mbowe, imethibitika ndani ya chama hicho kuwa center of power imehama kutoka kwa Mwenyekiti na kuhamia kwa Mhe Lowassa ambapo Wabunge, Madiwani na Mameya wote wanasikiliza kauli na maelekezo ya Mhe Lowassa.
Itakuwa vema sana maana atakuwa anatimiza ahadi ya kujiuzulu Siasa UKAWA ikishindwa Uchaguzi! Nitamsifu kwa Mara ya kwanza akifanya hivyo!!
 
Sasa suala la Uenyekiti wa Maisha linakujaje? Alichaguliwa Tarehe 14 Septemba,2014

Katiba inasema atakua Mwenyekiti kwa kipindi cha Miaka 5.

Sasa leo mtu anazusha kuwa atajiuzulu Novemba.Taarifa inakanushwa kisha mtu anasema kwa hiyo atakua mwenyekiti wa Maisha?

Hivi ni kutokuelewa au ni kujitoa ufahamu?
 
Sasa suala la Uenyekiti wa Maisha linakujaje? Alichaguliwa Tarehe 14 Septemba,2014

Katiba inasema atakua Mwenyekiti kwa kipindi cha Miaka 5.

Sasa leo mtu anazusha kuwa atajiuzulu Novemba.Taarifa inakanushwa kisha mtu anasema kwa hiyo atakua mwenyekiti wa Maisha?

Hivi ni kutokuelewa au ni kujitoa ufahamu?
Kwani UKAWA imeshinda Uchaguzi?? Si alisema atajiuzulu hilo lisipotokea?
 
Itakuwa vema sana maana atakuwa anatimiza ahadi ya kujiuzulu Siasa UKAWA ikishindwa Uchaguzi! Nitamsifu kwa Mara ya kwanza akifanya hivyo!!
Sisi hatuitaj sifa zako kwa kiongozi wetu. Afu sio kila ukionacho mtandaoni kina TBS zingine ni figisufigisu tu viva UKAWA
 
Sisi hatuitaj sifa zako kwa kiongozi wetu. Afu sio kila ukionacho mtandaoni kina TBS zingine ni figisufigisu tu viva UKAWA
UKAWA IPI? Ile ya kwanza ilishafariki kitambo mbona! Hujui hilo? Watakucheka watu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom