Tetesi: Mbowe kujiuzulu mwezi Novemba

Tetesi: Mbowe kujiuzulu mwezi Novemba

Status
Not open for further replies.
Hahaha, Lumumba sio wabunifu ksbisa! Baada ya kuona thread kuhusu Kinana kujiuzulu nawe ukaamua kjs na counter yhread ya Mbowe kujiuzulu! Ubunifu finyu sana huu!
 
Maelezo yako yana mapungufu! Upande mmoja Mbowe amechoka kunyooshewa vidole kutokana na kumleta Lowassa! Katika hali ya kawaida, kama tatizo ni Lowassa basi tusingetarajia Lowassa huyo huyo awe na influence ndani ya chama kwavile hatakiwi!

Kwa upande mwingine, unadai center of power ipo kwa EL kiasi kwamba Wabunge, Madiwani na Mameya utii wao ni kwa EL. Hao watu ni muhimu sana kwa chama!! Suala la utii wao kuwa kwa EL inaonekana wanamkubali EL!!

Sasa Mbowe ana sababu gani ya kutaka kususa kutokana na kauli za watu wa nje kuhusu kumleta EL ikiwa watu wa ndani wenyewe hawana tatizo na EL hadi kufikia kumtii?
Wewe ni baadhi ya great thinkers wachsche tyliobaki nao hapa JF. Huyu kapanikishwa na uzi wa kinana kijiuxulu ndio maana maelezo yake yanakosa internal consistency!
 
Taarifa za kuaminika kutoka katika vyanzo nyeti katika chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mhe Freeman Aikael Mbowe yuko mbioni kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kutokana na kile kinachodaiwa kuchoshwa kunyooshewa vidole na kutuhumiwa kukiuza Chama hicho kwa Lowassa.

Tangu Ndugu Lowassa alipoamua kujiunga na Chama hicho mwishoni mwa mwezi October mwaka 2015, tuhuma za moja kwa moja zilielekezwa kwa Mhe Mbowe kutoka kwa washirika wake wa karibu akiwemo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho Dr Wilbroad Slaa kuwa amepokea hongo ya takribani bilioni 20 ili kumpoitishia mgombea huyo aiyekatwa CCM kwa tuhuma za ufisadi.

Mwenyekiti Mbowe, amefikia hatua hiyo baada ya katibu Mkuu wa sasa na viongozi wote walioteuliwa na kuchaguliwa ndani ya chama hicho kuelekeza utii wao kwa Lowassa na kuacha kumtii Mhe Mbowe, imethibitika ndani ya chama hicho kuwa center of power imehama kutoka kwa Mwenyekiti na kuhamia kwa Mhe Lowassa ambapo Wabunge, Madiwani na Mameya wote wanasikiliza kauli na maelekezo ya Mhe Lowassa.
Katibu mkuu CCM Kinana anatarajia kujiuzulu Novemba 2016
 
succos yake mbowe hiyo wataondoka wao ila yeye atadunda mwanzo mwisho.
 
Natembea .............................................................. toka Tandika mpaka Bilicanas
 
Watu wanafungua account mpya ili wapate ruzuku halafu utegemee Mbowe (msaka noti) ajiudhulu, dhubutu yako, mtamnyooshea vidole hadi mtavishusha na mtampigia kelele hadi makoo yakauke, hajiudhulu mtu hapa.
 
Una mil 7 tutakutoa sadaka ujue we unazani upo safe
Sheria ya mitandao walitungiwa wapinzani wanaoikosoa serikali mkuu, huyu hawezi kukamatwa hata iweje, akitoka humu anaenda kukinga mkono na kupokea buku 7,niamini mimi.
 
CCM wanaombea kila siku Mbowe asiwe Mwenyekiti CHADEMA ili wajitengenezee Lipumba wao mwingine ndani ya CHADEMA. Nafasi hiyo haipo na haitapatikana. Mbowe ataendela kuwa mwenyekiti alimradi wana-Chadema wanaridhia.

Chama chohote cha upinzani wa kweli lazima kiwe makini sana katika kuwapata viongozi maana huko ndiko wanakoingilia na kuuua upinzani.
 
"Wanadarisalama, hakyamungu mwaka huu tusipoing'oa CCM na kuingia Ikulu nitajiuzulu siasa,"- Freeman Mbowe Okt 2015.
 
Aliekutuma mwambie hatupo....

Taarifa imekosa mashiko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom