Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Kuna taarifa zinazoenea kwenye mitandao ya kijamii zisemazo Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatarajia kujiuzulu Mwezi wa Novembe na kuainisha sababu Lukuki zisizo na ukweli wowote. Nipropaganda za watu wasiokitakia chama mema.
Habari hizo nizakuzipuza hazina ukweli wowote ni upotoshaji wa kiwango kikubwa.
Nimatumaini yetu mamlaka husika mtachukuwa hatua stahiki kwa mtu aliyeanzisha habari hizo za kupotosha.
CHADEMA
Habari hizo nizakuzipuza hazina ukweli wowote ni upotoshaji wa kiwango kikubwa.
Nimatumaini yetu mamlaka husika mtachukuwa hatua stahiki kwa mtu aliyeanzisha habari hizo za kupotosha.
CHADEMA