Mbowe kuna baadhi ya wana Ukawa mpaka leo hawazungumzi naye. Aliwauza Dr. Slaa

Mbowe kuna baadhi ya wana Ukawa mpaka leo hawazungumzi naye. Aliwauza Dr. Slaa

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Video clip au audio clip akiyasema hayo iko wapi??
 
Mwang'onda alikua upinzani 2015!?..usiwaamini majasusi,kifo chake kilikuaje?
 
Aiseee, ndo maana ccm wengi wanataka aendelee maana ni mtu wao,kazi yake kuigiza mapichapicha ya kihindi ila ukweli ni msaliti w wapinzani kwa ajili ya masrahi binafsi,mbele y macho ya wengi anaonekana anajitolea kwa ajili ya chama kumbe ni wizi mtupu
 
Porojo tupu,mlikuwa wapi!?hizi sio kampeni za kutafuta kura,Dr Slaa ana zuri gani la kumzidi Mbowe,yeye si ndio alikuwa wa kwanza kukimbia chadema!?
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Ingekuwa zamani basi huenda ningetafuta bunduki ili nikupige risasi kwa kumsingizia Mbowe wetu, ila kwa ninayoyaona sasa, hili linaweza kuwa lina ukweli.
 
Porojo tupu,mlikuwa wapi!?hizi sio kampeni za kutafuta kura,Dr Slaa ana zuri gani la kumzidi Mbowe,yeye si ndio alikuwa wa kwanza kukimbia chadema!?
Inakuwaje kila anayetoka CHADEMA anamsema Mbowe vibaya? Yaani manguli wote waliotoka CHADEMA walimtaja Mbowe kama chanzo! Zamani tulikuwa tunamtetea sana lakini siku hizi tumeona kuna ukweli.
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.
Kwa hiyo Dr. Slaa anamlalamikia Mbowe kutoa siri za wizi wa kura? Kwamba Dr. Slaa alikuwa anataka Lowassa awe Rais hata ikibidi kwa kura za wizi, ila amechukizwa sana na Mbowe kutoa siri za huo wizi, au sio? Yaani huyu huyu Slaa aliyejitoa CHADEMA kwa kuona Lowassa ameletwa CHADEMA, leo achukizwe kuonaa Lowassa kaukosa urais kutokana na Mbowe kutoa siri za wizi?
 
Kwa hiyo Dr. Slaa anamlalamikia Mbowe kutoa siri za wizi wa kura? Kwamba Dr. Slaa alikuwa anataka Lowassa awe Rais hata ikibidi kwa kura za wizi, ila amechukizwa sana na Mbowe kutoa siri za huo wizi, au sio? Yaani huyu huyu Slaa aliyejitoa CHADEMA kwa kuona Lowassa ameletwa CHADEMA, leo achukizwe kuonaa Lowassa kaukosa urais kutokana na Mbowe kutoa siri za wizi?
Kuna maswali alikuwa anaulizwa mambo kadhaa. Halalamiki alikuwa anaelezea issue yake nzima kuhusu Lowassa na akaamua kutoka na aliyokuja yasikia baadaye aliporudi mwendelezo wa yaliyotokea. Ana kiri kwa kula halisi alishinda Lowassa. Ana kiri walipoteza ukaribu na Lowassa kwa kushindwa kuelewana mambo kadhaa.
 
Kuna maswali alikuwa anaulizwa mambo kadhaa. Halalamiki alikuwa anaelezea issue yake nzima kuhusu Lowassa na akaamua kutoka na aliyokuja yasikia baadaye aliporudi mwendelezo wa yaliyotokea. Ana kiri kwa kula halisi alishinda Lowassa. Ana kiri walipoteza ukaribu na Lowassa kwa kushindwa kuelewana mambo kadhaa.
Anaongea kama mwanachama wa CCM au CHADEMA?
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Hata kama ni kweli lakini Dr Slaa ana tofauti gani na Mbowe?
 
Back
Top Bottom