Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
- Thread starter
- #21
SAna. Alishaona ni Waganga njaa tu... Wananunulika.ndo kisa cha wao kumchukia sana. Baada ya kufunga mirija....Shujaa Magufuli aliwadharau sana wapinzani 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAna. Alishaona ni Waganga njaa tu... Wananunulika.ndo kisa cha wao kumchukia sana. Baada ya kufunga mirija....Shujaa Magufuli aliwadharau sana wapinzani 🐼
Najua basi? Mi huwa siangalii tofauti za watu nasikiliza points wanazoongea.Hata kama ni kweli lakini Dr Slaa ana tofauti gani na Mbowe?
Mwisho ndio ule wa Meddy Tegeta Kibo 🐼Mwisho ikawaje? Heshimu watu mjini
Kuna maswali alikuwa anaulizwa mambo kadhaa. Halalamiki alikuwa anaelezea issue yake nzima kuhusu Lowassa na akaamua kutoka na aliyokuja yasikia baadaye aliporudi mwendelezo wa yaliyotokea. Ana kiri kwa kula halisi alishinda Lowassa. Ana kiri walipoteza ukaribu na Lowassa kwa kushindwa kuelewana mambo kadhaa
Mjinga sana we mzee😀😀Mwisho ndio ule wa Meddy Tegeta Kibo 🐼
😂😂😂Mjinga sana we mzee😀😀
Mtanzania mwana CCM hawezi kuongea Jambo la kuijenga CHADEMAHata sikumuuliza. Ila mpaka muda huu nlikuwa najua bado ni Mtanzania. Na Mtanzania hahitaji kuwa Mwanachama kuongea.
Yes. Mbowe hapo namsifu umri unaenda bwashee....Mnafiki huyo, alikimbia kabla ya uchaguzi akakimbilia Canada .
sema mbowe akaona asikose vyote.
Mbona tunaweza na tunaongea sana msome Tlaatlaah ,chiembe Lucas Mwashambwa hawa wana ushauri mzuri sana kwa Chadema kuhusu nani anafaa kuwa mwenyekiti.Mtanzania mwana CCM hawezi kuongea Jambo la kuijenga CHADEMA
Wengine wakizeeka wanakuwa na akili ya kupatanisha watu, huyu akizeeka anakuwa na akili ya kuwachonganisha watu. Kwa umri wake angekuwa ndiye mjenzi wa upinzani wa kweli kwa kuwa'support' na siyo kuwaandama baadhi ya wapinzani ili waonekane hawafai mbele ya watu wengine. Kwani yeye amesahau maneno aliyokuwa akiyasema wakati alipokuwa upande wa pili wa barabara, 'alipolamba asali'?Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.
Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.
Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.
Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.
Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Mithali 18Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.
Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.
Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.
Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.
Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Wapambe wana nia ya mpambe wao apite bila kupingwa au awe na watu watajaoambulia kura chache tu. Ingawa na mimi ningependa kama inawezekana, Mbowe amwachie Lissu, lakini approach aliyotumia siyo effective Kwa sababu itafanya wale wa upande wa Mbowe wasimpigie kura wakati wa uchaguzi ndani na nje ya chama, wakati kama angetumia approach nyingine angeungwa mkono na Mbowe na wote walio upande wake. Ingawa hadi mwezi uliopita wote wawili walikuwa wakituaminisha kuwa wako pamoja na Wana mitazamo tofauti tu ya mambo, lakini mwezi huu wa Desemba imeonekanana kwamba tulikuwa tukilishwa matangopori. Kuna clip moja You Tube Lissu anaongelea hii hali kwamba uhusiano wao ulianza kupunguza muda tu, na kwamba hata hawawasiliani Kwa simu kama ilivyokuwa zamani, bali wanakutana tu kwenye vikao. Maneno mengine aliyoyasema 'more serious' (Kwa maoni yangu) tafuteni hiyo clip wenyewe muyasikilize. Kumbe tulikuwa tukilishwa matangopori.Mithali 18
18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu, hofu ya nini?
Umeambiwa ni kitabuVideo clip au audio clip akiyasema hayo iko wapi??
Huyu mmachame kwa hela ni balaa.Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5.
Mbowe ni muhuni toka zamani nimesema siku nyingi hapaAiseee, ndo maana ccm wengi wanataka aendelee maana ni mtu wao,kazi yake kuigiza mapichapicha ya kihindi ila ukweli ni msaliti w wapinzani kwa ajili ya masrahi binafsi,mbele y macho ya wengi anaonekana anajitolea kwa ajili ya chama kumbe ni wizi mtupu
Huu sasa umbea, tabia za kina mama au watoto wa kikeAliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.
Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.
Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.
Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.
Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Nasemajeeee! Chama hawezi achiwa LissuMtasema kila neno lkn Lissu hamshindi Mbowe