Mbowe kuna baadhi ya wana Ukawa mpaka leo hawazungumzi naye. Aliwauza Dr. Slaa

Mbowe kuna baadhi ya wana Ukawa mpaka leo hawazungumzi naye. Aliwauza Dr. Slaa

Mnafiki huyo, alikimbia kabla ya uchaguzi akakimbilia Canada .

sema mbowe akaona asikose vyote.
Kuna maswali alikuwa anaulizwa mambo kadhaa. Halalamiki alikuwa anaelezea issue yake nzima kuhusu Lowassa na akaamua kutoka na aliyokuja yasikia baadaye aliporudi mwendelezo wa yaliyotokea. Ana kiri kwa kula halisi alishinda Lowassa. Ana kiri walipoteza ukaribu na Lowassa kwa kushindwa kuelewana mambo kadhaa
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Wengine wakizeeka wanakuwa na akili ya kupatanisha watu, huyu akizeeka anakuwa na akili ya kuwachonganisha watu. Kwa umri wake angekuwa ndiye mjenzi wa upinzani wa kweli kwa kuwa'support' na siyo kuwaandama baadhi ya wapinzani ili waonekane hawafai mbele ya watu wengine. Kwani yeye amesahau maneno aliyokuwa akiyasema wakati alipokuwa upande wa pili wa barabara, 'alipolamba asali'?
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Mithali 18
18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu, hofu ya nini?
 
Mithali 18
18 Kura hukomesha mashindano; Hukata maneno ya wakuu, hofu ya nini?
Wapambe wana nia ya mpambe wao apite bila kupingwa au awe na watu watajaoambulia kura chache tu. Ingawa na mimi ningependa kama inawezekana, Mbowe amwachie Lissu, lakini approach aliyotumia siyo effective Kwa sababu itafanya wale wa upande wa Mbowe wasimpigie kura wakati wa uchaguzi ndani na nje ya chama, wakati kama angetumia approach nyingine angeungwa mkono na Mbowe na wote walio upande wake. Ingawa hadi mwezi uliopita wote wawili walikuwa wakituaminisha kuwa wako pamoja na Wana mitazamo tofauti tu ya mambo, lakini mwezi huu wa Desemba imeonekanana kwamba tulikuwa tukilishwa matangopori. Kuna clip moja You Tube Lissu anaongelea hii hali kwamba uhusiano wao ulianza kupunguza muda tu, na kwamba hata hawawasiliani Kwa simu kama ilivyokuwa zamani, bali wanakutana tu kwenye vikao. Maneno mengine aliyoyasema 'more serious' (Kwa maoni yangu) tafuteni hiyo clip wenyewe muyasikilize. Kumbe tulikuwa tukilishwa matangopori.
 
Mzee ni mpiga dili huku anawahadaa wananchama!!!
Mchaga tena mbele ya pesaaa.
 
Aiseee, ndo maana ccm wengi wanataka aendelee maana ni mtu wao,kazi yake kuigiza mapichapicha ya kihindi ila ukweli ni msaliti w wapinzani kwa ajili ya masrahi binafsi,mbele y macho ya wengi anaonekana anajitolea kwa ajili ya chama kumbe ni wizi mtupu
Mbowe ni muhuni toka zamani nimesema siku nyingi hapa
 
Aliyasema hayo Dr. Slaa kuhusiana na Uchaguzi 2015 na issue ya kile kituo cha kukusanyia matokeo. Kile kituo kilikuwa cha siri na watu waliofahamu wachache Mbowe akiwepo.

Inasemekana yeye ndo alitoa siri kwa akinq Jan Makamba akapokea Bil 5. Ili asaliti mapambano.akatoa siri ya wapi hicho kituo kilikuwepo maelezo ya hiyo Bilion 5 alikuja mweleza Magufuli, January Makamba . Ndo kisa cha Magufuli kuona wapinzani ni wezi tu.

Hayo yalisema na Dr. Slaa akijibu maswali kuhusiana na kitabu chake na yaliyojiri Mwaka 2015 na baada ya hapo. Anasema wapo baadhi ya watu waliokuwa Ukawa walishaacha hata kuongea na Mbowe. Anakumbukwa siku ambayo ilikuwa wakaonane na wenzie kupanga mikakati akazima simu siku nzima asipatikane kukwamisha juhudi.

Ni mambo ambayo yalimfanya Lowassa anyamaze tu baada ya kugundua msaliti alikuwa katikati yao akimega mkate nao na kunywa divai. Akawasaliti kwa kuwabusu. Kwa vipande vya fedha hivyo.

Haya maneno aliyazungumza Dr. Slaa aka Dr. Mihogo akielezea na kisa cha Abs. Mwang'onda aliyekuwa Mkurugenzi wa Tiss ambaye baadaye alikufa kwa kifo tatanishi akiwa amekata tamaa na kuchoka na kusalitiwa. Mwaka 2015 hadi Tiss walikuwa tayari kuibadilisha nchi.
Huu sasa umbea, tabia za kina mama au watoto wa kike
 
Back
Top Bottom