Pre GE2025 Mbowe: Kuna Watu wanasema Nina mgogoro na Tundu Lissu nawaambia Watasubiri sana, Chopa inaanza operation Karatu na Nitakuwa na Tundu Lissu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana.

Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na ndani ya Chopa atakuwemo yeye Mbowe na Tundu Lissu.

Mlale Unono πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ”₯

======
Your browser is not able to display this video.

Freeman Mbowe akikanusha kuhusu tuhuma za yeye kugombana na Lissu
"Halafu niseme kitu kingine kimoja, unajua kuna watu wanafikiri wanasema Mbowe na Lissu wanagombana, Mbowe na Lissu Eee, Sasa nawaambia mimi na Lissu yule ni Makamu wangu mimi ni Mwenyekiti, Siwezi kugombana na Makamu wangu, kama nilivyosema siwezi kugombana na yoyote na chuki za milele ndani ya Chama hiki nakwambia kwamba Ziara ya Karatu tutaifanya na Lissu".

"Kwa hiyo tutafanya Ziara, nilikuwa najaribu kupanga ratiba, naiangalia ratiba wamenipangia ziara ya Karatu, najaribu kujiuliza hii Ratiba tunaipangaje, kwa hiyo wanaongojea chama hiki kipasuke watangojea sana, labda wasubiri Masta Mbowe mwenyewe afe, nikifa labda, Hiki chama hakifi anayesubiri Chama hiki kife anapoteza muda wake".

Pia soma:
 
Swali zuri .Lisu ana shida ya ulemavu wa miguu anazungukwa nchi nzima hivyo hivyo Kwa kuchechemea hawampi helicopter

Mbowe mtu mzima ndiye Helkopta inataka yeye akitaka kuzunguka

Kweli hiyo helikopta ni Kwa akili ya Mbowe
Mbowe na Mrema ndio wanapendelea Chopa 🐼
 
Hizi chopa hizi zinazodondoka hizi? Halafu wakaemo Mbowe na Lisu kwa pamoja? Ikizidiwa na ukungu na kudondoka itakuwaje?

Not a good idea AT ALL!

Kila mmoja asafiri kivyake tena wahakikishe wanatumia chopa mpya na za kisasa zenye rada inayoonyesha hali ya hewa vizuri na siyo haya mabati ya zamani yaliyoliwa na kutu kama ya hii ndege aliyoanguka nayo makamu wa rais wa Malawi!

Na wahakikishe wana marubani wazoefu na wanaowaamini!

 
Wewe ni miongoni mwa mamluki mliokuwa mnasambaza huo Ujinga, unasikiaje leo?

 
Kwenye hii picha sio chopper, the late alitia fixed wing aircraft
 
Tunaanza na Mungu tunamaliza na Mungu
 
Kwana makamu wa Rais wa Malawi alianguka na chopa? Au ndege ya jeshi? Ilishindwa kutua uwanja wa ndege Mzuzu. Ingekua chopa ingetua popote hatauwanja wa mpira au barabarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…