Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Hapana mzee, FAM amewaachia watoto wembe wauchezee kwanza, wakishajeruhiwa watamrudishia na samahani nyingi, anajua tu wataurudisha soon, kwa sasa tupo na Lissu.Anaweza maana mahali pakulia pameshaota nyasi
We humjui mbowe.Hapana mzee, FAM amewaachia watoto wembe wauchezee kwanza, wakishajeruhiwa watamrudishia na samahani nyingi, anajua tu wataurudisha soon, kwa sasa tupo na Lissu.
Hili halitatokeaNimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe atandoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
"Ya Kibingwa Sana Hii"✊Isipotokea urudi basi kuja kutuomba radhi mkuu
Vitega uchumi vipi?Yule ni bussiness man! Ana vitega uchumi vyake ndani na nje ya nchi.
Sasa anatamani kwenda huko kufanya nini?
Hata kwenye uchaguzi kuna watu humu waliamini hawezi kushindwa na Lissu.Hili halitatokea
Yote yanawezekana ila sidhani kama itakuwa move nzuri kwa chama tawala. Kuhama kwake kukitokea basi kutampa nguvu TAL. Ila ni ngumu kwa muasisi kuhama chama chake labda ionekane wazi wamemuondoaHata kwenye uchaguzi kuna watu humu waliamini hawezi kushindwa na Lissu.
Yule wakili mliekuwa mnamuita shujaa na mdai bandari sasaivi anapiga kampeni kwa kwenda mbele...Yaani ninaomba usiku na mchana afanye hivyo ili tujue wanaccm waliokuqa wanaihujumu cdm. Halafu wapewe jukwaaa moja na Msigwa kuhutubia. Ahakikishe anaenda na Covid19.
Roho imekupasuka!Isipotokea urudi basi kuja kutuomba radhi mkuu
Sio propaganda. Ni upuuzi tu.
Wafanyabiashara ndiyo pesa mbele,lolote linawezekana kama kuna pesa huko.Yule ni bussiness man! Ana vitega uchumi vyake ndani na nje ya nchi.
Sasa anatamani kwenda huko kufanya nini?