Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mbona ulichoandika hakifanani na Wewe Kabisa?! Usijishushe Kiasi hikiNimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.
Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
Sababu ya Mboweeee.. hamuwajui wanasiasa nyie...Msigwa yuko mbioni kurudi, aliondoka sababu ya Mbowe ila CCM haipo moyoni kabisa na hata amani hana kabisa.
Na alisema kabisa huu ni muda wa kutafuta mafekeche.Yule ni bussiness man! Ana vitega uchumi vyake ndani na nje ya nchi.
Sasa anatamani kwenda huko kufanya nini?
Ikitokea uje utuombe radhi wana JF.Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..
FAM is way above this nonsense..
Hakuna mtu atafanya investment CDM miaka mingine 20 ijayo zaid ya FAM..
Kama pesa za abduly ni za bure na nyie mchukue muendeshe chama...
64M is the lowest kwenye fundraising za CDM kwa miaka yote tangu ianzishwe...
You dont like him, at least respect him
Isipotokea urudi basi kuja kutuomba radhi mkuu
Unajuwa?Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.
Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
😆Isipotokea urudi basi kuja kutuomba radhi mkuu
Itasikitisha zaidi kwa Mbowe kufanya hivyo, kama ilivyo sikitisha kwake kushindwa kusoma alama za nyakati na kung'ang'ania kutaka kuendelea kuwa kwenye uongozi!Isipotokea urudi basi kuja kutuomba radhi mkuu
Halafu mkiambiwa mtoa ushahidi hamtoi,mnawekwa lupango na siku mkiachiwa kwa huruma za kibinaadam mnasema mnanmwachia Mungu.Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.
Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka