Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mbona ulichoandika hakifanani na Wewe Kabisa?! Usijishushe Kiasi hikiNimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.
Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni
Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!
Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka