Tetesi: Mbowe kutimuka CHADEMA

Tetesi: Mbowe kutimuka CHADEMA

Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.

Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!

Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
Akifanya hivyo Mbowe atakuwa amejishushia hadhi yake kisiasa
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.

Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!

Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
Km serikali na vyombo vya dola vinampa support wanawezaje kuanguka???
 
Yule wakili mliekuwa mnamuita shujaa na mdai bandari sasaivi anapiga kampeni kwa kwenda mbele...

Dr Slaa kaungana na CDM iliyokuwa inateka watu, na sasa tatizo kubwa kwake ni kuendelea kupambana na FAM.

Maombi yako kwa kias flani yanajibiwa kaka
Hiyo utajua ww. Kama alitaka kufia madarakani cdm, basi mwambie atafia pengine.
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.

Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!

Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
Ndoto kubwa.
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.

Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!

Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
Siamini hili.
Ikiwa ni kweli:
1. Ataturahisishia kazi cdm
2. Watu watafunguka jinsi alivyotafuna chama
3. Ndio mwisho wa kaheshima chake.

Note: nitakuwa wa mwisho kuamini
 
Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..

FAM is way above this nonsense..

Hakuna mtu atafanya investment CDM miaka mingine 20 ijayo zaid ya FAM..

Kama pesa za abduly ni za bure na nyie mchukue muendeshe chama...

64M is the lowest kwenye fundraising za CDM kwa miaka yote tangu ianzishwe...

You dont like him, at least respect him
Investment alifanya kwa ajili ya familia yake ndio maana;
1. Michango yote ya wadau kupitia kwake aliziita mkopo kwa cdm ( huu ni utakatishaji pesa) kwani pesa hizi alizopewa na wadau na kuikopesha cdn zilirudi kwake tena kwa riba...kutoka pesa za ruzuku.

2. Pesa za cdm alizitumia kwa kujikodia Chopa na kujipambia majukwaa ilhal akina Lissu wanakula vumbi kwa kutembea na gari na majukwaa ya kienyeji.

Ukweli Mbowe aliifaidi chadema zaidi kuliko chadema ilivyofaidi.
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.

Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!

Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
Labda angekuwa "mbangaizaji" tungekubali! Mwenzio yuko Dubai kwenye Hoteli yake baadaye anapaa kwenda US kwenye biashara kama hizo! HANA MUDA
 
Investment alifanya kwa ajili ya familia yake ndio maana;
1. Michango yote ya wadau kupitia kwake aliziita mkopo kwa cdm ( huu ni utakatishaji pesa) kwani pesa hizi alizopewa na wadau na kuikopesha cdn zilirudi kwake tena kwa riba...kutoka pesa za ruzuku.

2. Pesa za cdm alizitumia kwa kujikodia Chopa na kujipambia majukwaa ilhal akina Lissu wanakula vumbi kwa kutembea na gari na majukwaa ya kienyeji.

Ukweli Mbowe aliifaidi chadema zaidi kuliko chadema ilivyofaidi.
Atadai Billions zake halafu muanze kunya ovyo kama bata! Let him BE bhana kwani ni lazima aendelee nawe?
 
Atadai Billions zake halafu muanze kunya ovyo kama bata! Let him BE bhana kwani ni lazima aendelee nawe?
ni chama gani kiliwahi kudaiwa michangi?

CHama ni sawa na kanisa huwezi dai sadaka.

Mwisho watu pia wanajua wizi wake nao watamdai
 
Nimezidaka ili kuendelea kula pesa za Abdul mbowe ataondoka chadema na kwenda kwenye tawi moja la chama chakavu ili avute pesa ya mama Abdul.

Unaambiwa kapangwa ili kupewa wabunge kadhaa ili awe mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni

Soon movie zinaanza wacha maji yajitenge na mafuta!!

Nawaonya waliopo kwenye mkakati huu wote wataanguka
Maybe FAM ana madhaifu yake but hajafika level hizo, he is not lipumba
 
Aondoke Chadema aende wapi,
Ruzuku lazima ipite kwake ije kwenu.
 
Wacha hizi propaganda za kijinga kaka..

FAM is way above this nonsense..

Hakuna mtu atafanya investment CDM miaka mingine 20 ijayo zaid ya FAM..

Kama pesa za abduly ni za bure na nyie mchukue muendeshe chama...

64M is the lowest kwenye fundraising za CDM kwa miaka yote tangu ianzishwe...

You dont like him, at least respect him
Uelewa wao ni mdogo sana
 
Investment alifanya kwa ajili ya familia yake ndio maana;
1. Michango yote ya wadau kupitia kwake aliziita mkopo kwa cdm ( huu ni utakatishaji pesa) kwani pesa hizi alizopewa na wadau na kuikopesha cdn zilirudi kwake tena kwa riba...kutoka pesa za ruzuku.

2. Pesa za cdm alizitumia kwa kujikodia Chopa na kujipambia majukwaa ilhal akina Lissu wanakula vumbi kwa kutembea na gari na majukwaa ya kienyeji.

Ukweli Mbowe aliifaidi chadema zaidi kuliko chadema ilivyofaidi.
Sasa CDM si mnayo?

Hizo fedha za bure na nyie kwanini hamzipati mnapata vipesa mbuzi havijai hata kidole?

Kama ku kodi chopa rahis sana na CDM ni tishio kwa CCM ndio maana wanapewa hela huo ukwel bado haujabadilika na nyie mpewe muache kujidhalilisha kwa kuomba mia mia...

Propaganda za kishamba sana
 
Back
Top Bottom