Mbowe kwa aliyopitia na aliyofanya, naumizwa na kejeli dhidi yake LAKINI ni Muhimu sana atumie Hekima


Kina Museveni, alafu wapambe waliokuzunguka ndio wabaya sana, wanakujaza ujinga tu, hawaoni hata katika football, Sir Alex Ferguson alistaafu wakati mashabiki wa Man utd bado wanamuitaji, ila leo bado ni hero kwa UTD Fans
 
Prof Shivji: Tanzania ingekuwa na Wanaharakati wa Ukweli ingejinasua, dunia ya sasa Wanasiasa wanaangalia matumbo ya familia zao
 
Mbowe usiipe nafasi CCM kukutumia wewe katika kuleta mfarakano ndani ya chama. Mbinu inayotumika sasa ya kuonesha kuwa wewe ni kipenzi cha CCM na Serikali ya CCM, ni silaha mbaya sana dhidi yako.
Nimependa hapo
 
There was an interference from ‘bi-tozo’ remember that was the bases of his freedom.
We all know the whole things politicaly motivated, court couldnt not prove nor convict him
Interference was there but is that used as maridhiano?
 
Kama alikua sahihi kwa nini baadae alikili kuwa aliingizwa chaka na MA CCM.?.
 
Kilichobaki km wapenda maendeleo ya Tz ni kumuomba Mungu tu km ikimpendeza mapenzi yake yatimie Mbowe atufai na mbowe hafai ata mkijarb kumtetea
Mungu ikikupendeza fanya mambo km ulivyofanya kwa jiwe
 
Soma ushauri wangu wote.

Mimi siafiki Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti ndiyo maana nimeshauri ajitoe na aunge mkono upatikanaji wa Mwenyekiti mpya, wala asisubiri kuondolewa kwa kukataliwa. Akiondolewa kwa kukataliwa, hata mazuri yake yatasahaulika.
 
Negotiation lazima ujue who has the upper hand na uende nae vipi
Mbowe amefanya hili limesaidia nini so far mbona hakuna reforms? ACT pia wamefanya hili mbona halijazaa matunda? Hakuna nchi ilipata mabadiliko kwa negotiations wengi walitwangana kwanza ndio kuheshimiana. Unadhani Odinga bila yale mauaji ya 2007 wangekua wanamheshimu hivi? Afrika siasa za kistaarabu hazina matokeo maana watawala wako kwenye position of power so lazima wahofie kupoteza kiti ndio watakuita mezani.
 
Lissu hana mikakati zaidi ya akili ya social disobedience tu, wakati he is not the demagogue he think he
Diplomacy ya Mbowe imefeli, ndio maana tunataka kujaribu social disobedience ili tuone kama itazaa matunda. Hatuwezi kutumia diplomasi mwaka wa 10 sasa na haileti majibu, mwakani nako CCM watapora majimbo yote na tutaishia kwenye "maridhiano".

Enough is enough
 
Mleta mada umeona matusi ya wanaojiita wanachadema kwenye huu uzi wanavyomtukana MBOWE? kwa hali kama hii bado unataka atumie hekima? kwa kifupi tu team Lissu watafute chama chao
 
Anachokifanya Mbowe kwangu mimi naona ni usanii mtupu, kaja na mbwembwe eti wananchi walimvamia nyumbani kwake wakimuomba agombee nafasi ya mwenyekiti Taifa. Watanzania wakudanganywa hivyo hawapo Tanzania tena.
Hayo maturubai yalifungwa saa ngapi, hivyo viti vililetwa saa ngapi au siku hizi unafanya biashara ya kukodisha viti na maturubai, kaa na timu yako mjitafakari. Miaka 20 ilikutosha kabisa kutogombea. Kwa hiki kinachoendelea ndani ya chama namuona Zitto Kabwe kwa mbali akipiga mluzi tu kwa furaha, jiondoe kulinda hadhi yako.
 
Lissu hataki maradhiano, yeye ana unyielding demands.

Huo sasa ni utoto kuendekezwa, maridhiano ni give and take (Mbowe kaelezea kwa kina).

Anachotaka Lissu at whim na ilo aliwezekani kwa CCM tu, bali popote kwengine duniani mambo sio rahisi hivyo.
Give and take? What did we take so far?
 
Mbowe hastahili kupoteza muda wake kusikiliza ushahri au pongezi kutoka kwa machawa ya CCM. Machawa ya CCM kamwe hayawezi kuwa na dhamira njema kwa CHADEMA, kwakwe Mbowe binafsi, Lisu au kwa kiongozi mwingine yeyote wa CHADEMA.

CCM imedhihirisha kwa uwazi pasipo shaka kuwa ni chama kisicho na dhamira njema kwa CHADEMA, viongozi wake, wala Mtanzania yeyote anayeweza kukosoa na kuukemea uovu.
 
Mleta mada umeona matusi ya wanaojiita wanachadema kwenye huu uzi wanavyomtukana MBOWE? kwa hali kama hii bado unataka atumie hekima? kwa kifupi tu team Lissu watafute chama chao
Mkuu hatutoki ila tutahakikisha huyo Dikteta anaondoka. Subiri muhongwe mumchague, sisi huku Kigoma tunasubiri tu mumrudishe huyo fisadi tuone mtafanyia wapi mikutano yake!! Na wala hatutopiga kura wala kuchanga chochote tena.

Hao wanachama elfu 50 ambao Lissu anasema wamejiondoa ni mwanzo tu mwakani mbowe atabaki mwenyewe kama hatomleta.

Unajua hata Trump walimuona hafai ila ndio aliku anakubalika hivyo republican hawakushindana na upepo wakawaachia ila wangeweka mwingine wangepigwa na Democrats
 
binafsi naipongeza sana mitandao ya kijamii kwa kazi kubwa wanayoifanya na kwa namna inavyompumbaza kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi asiejitambua na asie na maono.

wale watu wa mipango,
ambao wanafanya kazi ya kutafuta kura za wajumbe kwa bidii nao ninawatakia kila la kheri,

ni muhimu sana,
Jan 22, 2025 kibaraka apate fundisho ambalo litawasaidia wenye midomo na makelele wengine kua na adabu na waache tamaa kama kibaraka 🐒
 
Kilichobaki km wapenda maendeleo ya Tz ni kumuomba Mungu tu km ikimpendeza mapenzi yake yatimie Mbowe atufai na mbowe hafai ata mkijarb kumtetea
Mungu ikikupendeza fanya mambo km ulivyofanya kwa jiwe
Huna akili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…