Pre GE2025 Mbowe: Lissu kusema hajui nilichozungumza na Rais ni Umbea

Pre GE2025 Mbowe: Lissu kusema hajui nilichozungumza na Rais ni Umbea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa wajumbe unafki wao ni upi? Unadhani hawa wapiga domo hapa kuna mpiga kura? Wenye shughuri yao wapo kimya.

Hivi kwa akili yako unaona Mbowe hana akili aingie kwenye uchaguzi bila research?

Uchaguzi ulianza mikoani na majimboni, tarehe 21 ni hitimisho tu huwezi kubadili mitandao ya watu waliotengeneza mpango kazi wao kitambo.
Naheshimu sana maoni yako! Na umenifungua macho.

Nitaitunza hii ... Maana Kuna hoja nzito umeweka hapa! Ikitokea Mbowe ameshinda huu uchaguzi nitahitaji maelezo yako ya kina ili kujifunza zaidi juu ya hii hoja yako ya msingi.

Kama unalosema ni kweli na litatokea! Basi nitakuwa nimejifunza kuwa hakuna maana na faida kuwana ushindi na wafuasi wa mtandaoni kuliko kwenye box la Kura!

This is so fascinating ... Nimeipenda ulivyo argue kwa hoja.

Natunza hii! Japo Bado Nina amini Lissu anatashida
 
Kama unaenda Ikulu unaongea na Rais halafu ukiulizwa unasema ni siri yako sasa unataka makamu wako apige ramli.🤔
Bowe kaishapoteana.. Bowe anachezea mziki wa TL 😅😅
Kaingia kwenye 18 za Lisu mazima mazima
 
Lemma huko uliko leo piga kichwani kabisa bado analeta mipasho huku.
 
Wakuu,

Wakiwa kwenye vikao wanatabasamu na kucheza pamoja, wakitoka hapo ni spana kwa kwenda mbele! Ni huzuni! :PepeHands: :KEKLaugh:


"Taarifa kwamba sikusema nilichozungumza na Rais ni umbea, na unapoona kiongozi mwandamizi kama kweli amesema..mimi sijasikikia ila kama kweli amesema inanishangaza kwasababu nimezungumza na Rais, tumezungumza na vyombo vya habari, nimeleta taarifa kamati kuu, kamati kuu imepeleka taarifa baraza kuu, baraza kuu lina wajumbe 500 kutoka mikoa na wilaya zote, wamekubaliana tuingie kwenye maridhiano, akisema hajui kilichozungumzwa wala hakuwa na taarifa ni umbea.

"Hiyo ni moja, mbili mimi nikiwa gerezani Rais alikwenda Brussels (Nchini Ubelgji) Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya na akiwa huko alikutana na Makamu wangu, Mhe. Lissu wakazungumza na Lissu akamtaka Rais azungumze na CHADEMA, amuondoe Mwenyekiti gerezani na kadhalika, sasa yeye kuzungumza na Rais ilikuwa haki lakini Mwenyekiti wake kuzungumza na Rais imekuwa ni nongwa, hii siyo vizuri"

Pia soma: Uchaguzi 2025 - Lissu apinga tuzo aliyopewa Samia na kusema kuwa huo haukuwa uamuzi wa Chama bali maamuzi binafsi ya Mwenyekiti, ataka ahojiwe

"Mimi ni Mwenyekiti wa chama yaani nikitaka kuzungumza na Rais wa taifa ni lazima niite mkutano mkuu, wajumbe wote kutoka kila jimbo nizungumze kuomba kibali cha Rais? Hapana, na katiba ya chama imenipa mimi mamlaka ya kuwa kiunganishi kati ya chama na serikali, ni majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa katiba ya chama, na mimi ndiye msemaji mkuu wa chama, hatuwezi kuwa na wasemaji wa chama kumi, lazima kiongozi mkuu ashike bendera na ndiye anakuwa msemaji mkuu wa chama"- Mbowe.

Mbowe ameyasema hayo akizungumza leo Ijumaa Januari 17, 2025 katika kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na chaneli ya runinga ya UTV.
Lisu hana karama ya uongozi.Akishinda Lisu kwa mara ya kwanza mwaka huu kura yangu kwa CCM diwani ,mbunge Hadi Rais
 
Wakuu,

Wakiwa kwenye vikao wanatabasamu na kucheza pamoja, wakitoka hapo ni spana kwa kwenda mbele! Ni huzuni! :PepeHands: :KEKLaugh:


"Taarifa kwamba sikusema nilichozungumza na Rais ni umbea, na unapoona kiongozi mwandamizi kama kweli amesema..mimi sijasikikia ila kama kweli amesema inanishangaza kwasababu nimezungumza na Rais, tumezungumza na vyombo vya habari, nimeleta taarifa kamati kuu, kamati kuu imepeleka taarifa baraza kuu, baraza kuu lina wajumbe 500 kutoka mikoa na wilaya zote, wamekubaliana tuingie kwenye maridhiano, akisema hajui kilichozungumzwa wala hakuwa na taarifa ni umbea.

"Hiyo ni moja, mbili mimi nikiwa gerezani Rais alikwenda Brussels (Nchini Ubelgji) Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya na akiwa huko alikutana na Makamu wangu, Mhe. Lissu wakazungumza na Lissu akamtaka Rais azungumze na CHADEMA, amuondoe Mwenyekiti gerezani na kadhalika, sasa yeye kuzungumza na Rais ilikuwa haki lakini Mwenyekiti wake kuzungumza na Rais imekuwa ni nongwa, hii siyo vizuri"

Pia soma: Uchaguzi 2025 - Lissu apinga tuzo aliyopewa Samia na kusema kuwa huo haukuwa uamuzi wa Chama bali maamuzi binafsi ya Mwenyekiti, ataka ahojiwe

"Mimi ni Mwenyekiti wa chama yaani nikitaka kuzungumza na Rais wa taifa ni lazima niite mkutano mkuu, wajumbe wote kutoka kila jimbo nizungumze kuomba kibali cha Rais? Hapana, na katiba ya chama imenipa mimi mamlaka ya kuwa kiunganishi kati ya chama na serikali, ni majukumu ya Mwenyekiti kwa mujibu wa katiba ya chama, na mimi ndiye msemaji mkuu wa chama, hatuwezi kuwa na wasemaji wa chama kumi, lazima kiongozi mkuu ashike bendera na ndiye anakuwa msemaji mkuu wa chama"- Mbowe.

Mbowe ameyasema hayo akizungumza leo Ijumaa Januari 17, 2025 katika kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na chaneli ya runinga ya UTV.
Kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake. Wajumbe endeleeni kupeleka moto. Bado anapumua😀
 
Mbowe na Samia wamekutana. Wameongea. Hakuna hata mjumbe mwingine wa CDM aliyekuwepo. Unatoka (kama usemavyo) unawambia wenzako sehemu ndogo ktk yale mliyoongea. Mengine unasema ni siri yako na raisi. Ghafla tabia yako inabadilika. Unataka nani akuamini wewe Yuda.
 
Upinzani wa kweli nchi hii ni simba na yanga tu,,, huyo lissu kweli ni mbea ila mbowe nae wale wale tu wa amdala kumwita dula
 
Huyu anafikiri watanzania wajinga! Kama anajiona yupo sawa na mkweli kwa nini anakimbia mdahalo?
 
Back
Top Bottom