Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunashukuru kwa taarifa ila kumbuka iyo tarehe ya kwenye camera kibadilisha mkuu.
Huku ni kupoteza pesa tu BURE na kuiba hela za Posho.
Maoni yameshakusanywa na Tume ya Katiba. Haya mengine ni magumashi tu ya kupiga hela.
Hivi kila chama kikifanya UHUNI huu, pesa ngapi za walipa kodi zitapotea?
huyo asp anaonekana mwelewa, tofauti na the shilogiles.
nimependa hawa akina mama na ile picha ya masudi,kaijage na ocs! Polisi walionesha weredi wa hali ya juu. Kuna watu kwenye mkutano huu walikuwa wamevaa jezi za ccm ila hawakuzurika.Kasulu tunadumisha mila yetu, akinamama wakiwa wamebeba NDUMANE(local hotpot) kuwaaga Mbowe,Lissu, MnyikaView attachment 107939
Pole kwa ndugu zangu
wanya Gasulo,hivi kweli nanyi mnakubali kutawaliwa kifikra na watu
kutoka Kanda Kaskazini kweli???????????????
Chadema waliwafukuza KAFULILA,wakataka kumfukuza ZITO na wengineo kwa
kuwa walionyesha uwezo wa kutawala na jamaa hawa wa KASKAZINI hawakuwa
tayari kuonyesha DEMOKRASIA leo hii wanakuja KASULU,KIBONDO na bado
mnawapa ushirikiano kiasi hicho,IMANI inanitoka na inaonyrsha ni kiasi
gani sisi watu wa KGM hatuwezi kupambanua MAMBO ndo MAANA TUNALALAMIKA
tuko nyuma kwa kuwa hata MAADUI ZETU AMBAO WAMEONYESHA KUTUFITINI na
bado tumewawakaribisha kama WASHINGATAHE,KWA KWELI tutaendelea kuwa
usingizini mpaka DUNIA ifikie mwisho mm nilidhani tumeanza
kuamka,TULAHEZE KABISA
Pole kwa ndugu zangu wanya Gasulo,hivi kweli nanyi mnakubali kutawaliwa kifikra na watu kutoka Kanda Kaskazini kweli???????????????
Chadema waliwafukuza KAFULILA,wakataka kumfukuza ZITO na wengineo kwa kuwa walionyesha uwezo wa kutawala na jamaa hawa wa KASKAZINI hawakuwa tayari kuonyesha DEMOKRASIA leo hii wanakuja KASULU,KIBONDO na bado mnawapa ushirikiano kiasi hicho,IMANI inanitoka na inaonyrsha ni kiasi gani sisi watu wa KGM hatuwezi kupambanua MAMBO ndo MAANA TUNALALAMIKA tuko nyuma kwa kuwa hata MAADUI ZETU AMBAO WAMEONYESHA KUTUFITINI na bado tumewawakaribisha kama WASHINGATAHE,KWA KWELI tutaendelea kuwa usingizini mpaka DUNIA ifikie mwisho mm nilidhani tumeanza kuamka,TULAHEZE KABISA
huku ni kupoteza pesa tu bure na kuiba hela za posho.
maoni yameshakusanywa na tume ya katiba. Haya mengine ni magumashi tu ya kupiga hela.
hivi kila chama kikifanya uhuni huu, pesa ngapi za walipa kodi zitapotea?
Huku ni kupoteza pesa tu BURE na kuiba hela za Posho.
Maoni yameshakusanywa na Tume ya Katiba. Haya mengine ni magumashi tu ya kupiga hela.
Hivi kila chama kikifanya UHUNI huu, pesa ngapi za walipa kodi zitapotea?
Ubhonekala ubwenge bwawe ni bhutoyi! Sisi watu wa Kasulu siyo wajinga kama unavyotaka tuwe. Ninasikitika sana kuwa bado tunao wapuuzi kama wewe. Akina Mbwliza, Mpambije, nsanzugwanko walitusaidia nini? Hivi ccm yako(au whatever) bado mnataka tuwape thamani? Muha unaleta ubaguzi wa kijinga? Kasulu ina madiwani wangapi wa Chadema? Hao ni wa kaskazini? Uheze ulumwe cane!