OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
kuwa mwana cdm mbona raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh! mufa wi bwebwePole kwa ndugu zangu wanya Gasulo,hivi kweli nanyi mnakubali kutawaliwa kifikra na watu kutoka Kanda Kaskazini kweli???????????????
Chadema waliwafukuza KAFULILA,wakataka kumfukuza ZITO na wengineo kwa kuwa walionyesha uwezo wa kutawala na jamaa hawa wa KASKAZINI hawakuwa tayari kuonyesha DEMOKRASIA leo hii wanakuja KASULU,KIBONDO na bado mnawapa ushirikiano kiasi hicho,IMANI inanitoka na inaonyrsha ni kiasi gani sisi watu wa KGM hatuwezi kupambanua MAMBO ndo MAANA TUNALALAMIKA tuko nyuma kwa kuwa hata MAADUI ZETU AMBAO WAMEONYESHA KUTUFITINI na bado tumewawakaribisha kama WASHINGATAHE,KWA KWELI tutaendelea kuwa usingizini mpaka DUNIA ifikie mwisho mm nilidhani tumeanza kuamka,TULAHEZE KABISA