Hakuna hoja inayokuja toka hewani bila tukio. Endelea na maumivu ya kichwa, nyoka mumewafuga wenyeweHakuna mlengwa ndugu mkaanga mbuyu. Mada iko wazi. Hoja hupingwa kwa hoja.
Habari ndiyo hiyo.
Muhimu tusichanganye kati ya ukosefu wa nidhamu na uhuru wa kutoa maoni, vinginevyo tunaweza kufurahia unatibu tatizo moja, kumbe tunaenda kutengeneza tatizo lingine la chama kuwa makondoo na chawa tupu, wawe watu wa kuwasifia viongozi tu hata pale watapoona mambo hayaendi vizuri.
Hakuna hoja inayokuja toka hewani bila tukio. Endelea na maumivu ya kichwa, nyoka mumewafuga wenyewe
Ccm inawauma LISU kutamka wazi bila katiba chadema haitashiriki mchakoto na uchaguzi wenyeweKama sijakuelewa kabisa
Lissu anatusaidia snCcm inawauma LISU kutamka wazi bila katiba chadema haitashiriki mchakoto na uchaguzi wenyewe
Mara nyingi tuliwaonya sana kuhusu utovu wa nidhamu wa Mdude_Nyagali dhidi ya matusi na dharau kwa Rais Samia. Tuliwaambia viongozi wa CHADEMA wakapuuza na kuona kuwa Mdude ana haki ya kusema anayo yasema.
Sasa Mdude anawageukia nyinyi wenyewe CHADEMA na kuanza kuwatafuna
Inasikitisha kwa kweli Waziri kuwa na matusi badala ya kujibu hoja za msingi.
Hawa jamaa wanalindwa na dola.
KAZI ipo WallahHiyo ni mwanachama mtiifu wa tawi hilo la CCM chini ya kina Joni
Hawa jamaa wanalindwa na dola.
Na ukweli ndiyo huo.Div 0 anapokuwa waziri kwa weledi upi?
Na ukweli ndiyo huo.
🤨Hongereni kwa kurejea kwa nidhamu chamani.
"Mbowe, Lissu chukueni hatua kurejesha nidhamu kwenye chama"
Kwamba hii ni kwa maelekezo yenu au ni kwa heshima au kuhofiwa kwa majina yenu? Hilo wala si la msingi tena:
"The end justifies the means."
Kuhusiana na "heshima," huu ni ushauri mwingine wa bure kwenu ukilenga kwenye kuwafunda wafuasi kuzingatia:
"Heshima ni kitu cha bure na kuwa hutokana na umri, hekima, mchango wa mtu katika jamii au kutokea katika mafanikio yake, yakiwamo u nguli."
Ni muhimu wafuasi wakaelekezwa na wakafahamu:
1. Tofauti zilizipo baina watu au baina ya viongozi na wanachama katika chama.
2. Mbowe au Lissu hawawezi kuwa sawa na mwanachama yeyote.
3. Kauli ya Mbowe au Lissu haiwezi kuwa sawa na kauli ya mwanachama au mfuasi yeyote (na eti kwa sababu tu ana mdomo).
4. Kauli ya Mbowe au Lissu ni kauli za chama, lakini si za kila mwanachama, mjumbe au mfuasi mwingine (na hasa inapokuwa bila ridhaa ya chama).
5. Kauli ya nguli mheshimika katika jamii haiwezi kubezwa kireja reja kwa niaba ya chama na hasa bila ridhaa ya chama.
6. Ni muhimu ikawa wazi kuwa wajumbe, wanachama au wafuasi wenye sharubu jamii ya kambale hawawezi kuvumiliwa.
Heshima ni nguzo kuu kuelekea kwenye nidhamu ya kudumu katika chama ambayo umuhimu wake hauwezi kupuuzwa.
Kama ile iliyomuua Akwirina halafu kesi wakapewa ambao hawakuta triggerSahihi CHADEMA wamekuwa kama stray bullets.