Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

Muhimu tusichanganye kati ya ukosefu wa nidhamu na uhuru wa kutoa maoni, vinginevyo tunaweza kufurahia unatibu tatizo moja, kumbe tunaenda kutengeneza tatizo lingine la chama kuwa makondoo na chawa tupu, wawe watu wa kuwasifia viongozi tu hata pale watapoona mambo hayaendi vizuri.
 
Hakuna mlengwa ndugu mkaanga mbuyu. Mada iko wazi. Hoja hupingwa kwa hoja.

Habari ndiyo hiyo.
Hakuna hoja inayokuja toka hewani bila tukio. Endelea na maumivu ya kichwa, nyoka mumewafuga wenyewe
 

1. Nidhamu na uhuru wa kutoa maoni ni muhimu sana na mawili hayo hayapaswi kuchanganywa.

2. Hata hivyo kwa niaba ya chama wasemaji ni viongozi na wenye dhamana hiyo.

3. Wakati kauli za viongozi ni kauli za chama si hivyo kwa wasiokuwa na dhamana ya kukisemea chama.

4. Kauli za wajumbe, wanachama bila ridhaa ya chama hizo ni maoni yaani ni kauli binafsi kama za yeyote katika chama.

5. Tofauti za wanachama na viongozi ziko bayana hapo kwenye kukisemea chama kuepuka mikanganyiko.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hakuna hoja inayokuja toka hewani bila tukio. Endelea na maumivu ya kichwa, nyoka mumewafuga wenyewe

Kama kwenu kusema jambo ni mpaka mpigwe tukio kama hivi:



Kwetu hujipanga uzuri kwa ajili ya kesho na kabla ya hatari.

Habari ndiyo hiyo.
 

Mdude kamtafuna CHADEMA wapi ndugu? Huyu si mdude:



Cc: WALOLA VUNZYA
 
🤨
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…