Pre GE2025 Mbowe: Magufuli aliniambia niachane na CHADEMA, na atanirudishia kila kitu changu kilichopotea au cheo chochote

Pre GE2025 Mbowe: Magufuli aliniambia niachane na CHADEMA, na atanirudishia kila kitu changu kilichopotea au cheo chochote

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona hatuambii amepewa nini na mama Abdul hadi makada wote wa CCM wanampigia debe. Amemtengenezea kesi ya uhaini ambayo adhabu yake ni kifo au kiungo cha maisha, baada ya kushindwa kutengeneza ushahidi wa kumtia hatiani kaibukia ikulu kwa mama Abdul na sasa wamejiunga kumpiga vitu Tundu Lissu
 
Taifa zima linamhitaji Freeman Mbowe kuwaongoza hatutaki mtu mwingine. Halafu Mbowe sio mtu wa kuwek kwenye mizani moja na Lissu!
Umeafanya hiyo research lini na wapi na kwa method gani na publication yake iko wapi?
 
Lissu siyo mzima. Athari za risasi anayoishi nayo mwilini inafika mpaka kwenye ubongo
Lisu amekuwa anasema ukweli hata kabla ya kupigwa risasi. Naona mnatumia shambulio lake la risasi kama kichaka cha kuonyesha hayuko sawa kiakili. Ukweli ni kuwa hiyo ni tabia ya Lisu kabla hata ya shambulizi la risasi.
 
View attachment 3197184

"Akaniambia Mbowe achana na CHADEMA, kwa sababu alinisukuma sana nihamie CCM nikamwambia hilo katu sitaweza kwenye maisha yangu"

"Akinipelekea ujumbe nikiwa gerezani akaniambia achana na Chadema nitakurudishia mali zako zote zolizochukuliwa na utake biashara au cheo chochote nitakupa" - Freeman Mbowe
Wewe ni mwamba
 
Lisu amekuwa anasema ukweli hata kabla ya kupigwa risasi. Naona mnatumia shambulio lake la risasi kama kichaka cha kuonyesha hayuko sawa kiakili. Ukweli ni kuwa hiyo ni tabia ya Lisu kabla hata ya shambulizi la risasi.
Hasemi ukweli bali anaropoka tu
 
Back
Top Bottom