Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Shoga wa UbeligijiChadema bhana, mnategem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shoga wa UbeligijiChadema bhana, mnategem
"Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA. Yawezekana, wewe na washauri wako hamjaelewa maumivu tuliyopitia kwa miaka 5 ya mtangulizi wako!! Na ndiyo sababu tulikuomba sana utusikilize mapema!! Kauli hii leo inatulaza na machozi!! Very very sad!!"-Freeman Mbowe
Ndio kilichotokea Na ndio kinachokwenda kutokea soon. Waache tuHahahahah kwani kilichomfanya mzee wa chato kuwapiga spana ni kitu gani? Imagine unafundisha darasa mbele halafu kuna wajinga kadhaa back benchaz wameanzisha kilinge wanapigishana story kiasi kwamba kunakosekana kusikilizana😂😂😂 wanavuruga utaratibu halafu wao kazi yao ni kusema tuna haki ya kuongea!
Sisi waluther tuna kitu tunaita ahadi,huwa kila muumini anajiwekea ahadi ya kila mwaka!Hiyo ni nje na sadaka ya kawaida,kwahiyo kwasasa hata hilo fungu nimelipunguza kuendana na mabadiliko ya uchumi!!Mambo yakitengemaa nitarudi kwenye maisha yangu ya awali!Fungu la kumi hilo nalo achana nalo bana😅😅😅 yani unampelekea hela Mc Pilipili au Masanja mchekeshaji?
I would advise you to take the sum to orphanage centres!
Unajitambua kweli wewe? La hasha eti huruma ya rais shame on you, kwa kifupi vyombo vyote vya serikali na visivyo vya serikali vili paralyse kwa sababu ya udikteka wa mshenzi yule mwendazake sasa vimeanza kujisimamia ina maana naye bi Mkubwa akileta akili kama za mwendazake vita paralyse tena ndio maana tunasisitiza katiba mpya ili kuweka mipaka.Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh.Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
mmelowa kama mmenyeshewa na mvua mlidhani mama anayumbishwa kitoto kwa akili zenu mbovu?
Hahahahah unakula ngumu kumeza 😂😂😂 chupa 5 uko level!Sisi waluther tuna kitu tunaita ahadi,huwa kila muumini anajiwekea ahadi ya kila mwaka!Hiyo ni nje na sadaka ya kawaida,kwahiyo kwasasa hata hilo fungu nimelipunguza kuendana na mabadiliko ya uchumi!!Mambo yakitengemaa nitarudi kwenye maisha yangu ya awali!
Hata bia,kwa sasa nakunywa safari au castle larger na si serengeti light!Maana vilight mpaka zinishike lazima nipige kuanzia 12!
haisaidii mnapoteza muda wenu bure kafanyeni kazi mlishe familia zenu tu huo ushenzxi mnaoutaka haukubaliki na mtu yoyoteUnajitambua kweli wewe? La hasha eti huruma ya rais shame on you, kwa kifupi vyombo vyote vya serikali na visivyo vya serikali vili paralyse kwa sababu ya udikteka wa mshenzi yule mwendazake sasa vimeanza kujisimamia ina maana naye bi Mkubwa akileta akili kama za mwendazake vita paralyse tena ndio maana tunasisitiza katiba mpya ili kuweka mipaka.
Ni swala la muda tu na uzuri bi mkubwa yeye atamuachia maagizo CDF tu 😂😂😂 afanye kuongea na vijana wakeNdio kilichotokea Na ndio kinachokwenda kutokea soon. Waache tu
Kama inshu ni mzunguko wa pesa basi tuwe nchi wauza madawa ya kulevya, ya wakwepa kodi, ya wachuuzi wa bidhaa kutoka China, ya wajilipa posho pesa ya umma. Ndiyo nchi ilivyokuwa awamu ya nne, mwambie na Samia aifanye hivyo. Kama inshu ni pesa kuna namna nyingi za kupata pesa za bwerere kabisa.Hebu tuambie,kipindi cha JK nchi ilikaribiaje kuwa a failed state?
Kwa kumbukumbu zangu hali ilikuwa shwari,pesa mifukoni ikawepo na ajira uhakika!
Sijui unazungumzia nchi gani hapa?
Hahahah Chadema wanataka kuendeleza siasa zao za kiasi katika nchi ambayo ina taratibu zake na misingi toka ilipopata uhuru! Wameshaanza upuuzi kama zama za UKAWA [emoji23][emoji23][emoji23] sasa Samia aendelee kuwachekea aone kama ni rahisi ku deal na Psychs! Wa Msoga alijikita kwenye upigaji na vacations ndio maana alikuwa haathiriki sana na ujinga wao wkizidisha kelele wanapigwa vibahasha wanatulia! Magu yeye hakuwa na ujinga huo...
Aah tumuache bana anaupiga mwingi sana mama [emoji23][emoji23][emoji23] tuone kama kuna gari inaendeshwaga na madereva wawili wanaogombania usukani na ikafika salama. Mkiambiwa amiri jeshi ni mmoja ama kamanda ni mmoja always muwe mnaelewa!
Sasa ngoja tuone kama maneno pekee huwa yanatosha bila vitendo!
Nakuonaga mpolee kumbe unajua kudemka namna hii!. jana usiku ulikunywa nini ukaamka nacho kichwani?!Yale yale tu, sahizi washaanza kumgeuka wapuuzi wale walioanza kwa mbwembwe...Mama anaupiga mwingi, mama mitano tena, mama tumpe umalikia yani Chadema ni kama watoto wadogo ukimnyima biskuti asioze meno anakuona adui!
Halafu ndio wataelewa hawaNi swala la muda tu na uzuri bi mkubwa yeye atamuachia maagizo CDF tu 😂😂😂 afanye kuongea na vijana wake
K Vant Baridi 😂😂😂Nakuonaga mpolee kumbe unajua kudemka namna hii!. jana usiku ulikunywa nini ukaamka nacho kichwani?!
Wala hataropoka kitu kwenye midia ila shughuli ikianza vilio vitatawala tu 😂😂😂Halafu ndio wataelewa hawa
Ulikula au ulikunywa kavu?K Vant Baridi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kavu mzee ili nipate mistari ya kudondoka JeiEfuUlikula au ulikunywa kavu?
Kwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!
Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....
#KaziInaendelea