unawashwa wapi vilee...we ndiyo chizi kabisa unaleta ubishi wa kitoto kumbe
Shughuli za kisiasa ni wazi hazina madhara yyte kwenye uchumi, ni vile tu anamuonea aibu marehemuSijasema Katiba,nimemaanisha shughuli nyingine za kisiasa ambazo ni haki za kikatiba!Tujenge uchumi lakini pia na mbo mengine yaendelee!
Lisu na Lema wanapakatwa na Amsterdam ili tu aendelee kuishi kwa raha uzunguniWewe ulipata div 0 form four,na zaidi ya yote uliingia form one ukiwa na marinda lakini umeondoka form four ukiwa umefumuliwa marinda,tena siyo kwa kubakwa lakini kwa tamaa zako ukitaka kuishi kama mtoto wa kishua kumbe kwenu unalala chuma kimoja na mifugo. Yule jamaa wa kiarabu alikupatia kweli kweli maana alikufanya mkewe kabisa. Bora aliyepata div 0 kuliko wewe uliyegeuka shoga kwa tamaa ya viwalo tu.
Lakini kwanini hukumu kama hizo zinatoka awamu hii?mbona awamu iliyopita hazikutoka kwani ushahidi kama huo haukuepo au majaji hawakuwepo?Acha kuandika ujinga wewe! Eti ametoka kwa huruma ya mama wakati hukumu inasema kwamba hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani. Kwanini unaandika uongo kiasi hili kama vile wengine hatukusikia hukumu husika? Na nani aliyekudanganya huruma ya mama ndiyo iliwatoa masheikh wa uamsho!? Uwe unasikiliza kwa makini badala ya kuja hapa na kupindisha ukweli husika.
Rais SSH ,mikutano ya hadhara sio hisani yako wala ya chama chako. Na hauna mamlaka ya kuamua tufanye ama tusifanye. Labda kama unataka kutuambia kuwa unataka kuongoza taifa kiimla kama mlivyofanya na mtangulizi wako. Magufuli alianza vizuri akavuruga baadaye kama wewe.
Unataka kuwa mhuni?Baada ya maongezi ya RJMT na wahariri wa vyombo vya habari jana Juni 28, 2021 naona CHADEMA wamedemka kweli kweli. Lakini kwa maneno yao wenyewe wametuambia sasa wanaenda kidigitali kwa maana kuwa hawana haja ya siasa za uso kwa uso au ana kwa ana. Lakini kwa kudemka huku ina maana moja tu CHADEMA bado wako kwenye siasa za mikutano ya hadhara tena kwenye kona sawa sawa na wale wechezesha karata za kekundu na keusi. Bado wana mwendo mrefu
Kama alivyokuwa akifanya musiba na nyie mkamlinda au?Unataka kuwa mhuni?
Basi Nenda Chadema...
Mkuu kama una remote unatokaje kwenye kiti kwenda kubadirisha channel?Wewe ndio huelewi, mambo makubwa kama haya yanahitaji akili kubwa kuyaelewa.
Salama lakini mkuu??Kama alivyokuwa akifanya musiba na nyie mkamlinda au?
Waliposhindwa kumuua Ethiopia, aliwanyoosha mpaka wameita pooo. Hawa waja sio wakuwaendekeza. Watanzania tunataka maendeleo. Tunataka fursa sawa kwa wananchi wote. Wao wanataka madaraka tuKule Misri kuna RAIS aiitwaye EL SISI....huyo asingechezewa na hawa akina Mbowe.
EL SISI amewaweza nduguze MUSLIM BROTHERHOOD.
She has declared: "Mimi na Magufuli ni kitu moja". So, there is no surprise at all. "ninapayuka tena: KATIBA MPYA!!!?""Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA. Yawezekana, wewe na washauri wako hamjaelewa maumivu tuliyopitia kwa miaka 5 ya mtangulizi wako!! Na ndiyo sababu tulikuomba sana utusikilize mapema!! Kauli hii leo inatulaza na machozi!! Very very sad!!"-Freeman Mbowe...
Ati kateleza [emoji15][emoji15][emoji15]