Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Habari wana Jamvi

Naweka record vizuri, Freeman Aikaeli Mbowe, Form 6 alipata Div 0, hivyo mtu wa Div 0 asije akasumbua kutaka mikusanyiko ya siasa wakati hakuna kampeni. Only indoors meeting ya vyama vya siasa haina shida, ila mikutano ya hadhara na kampeni zilishaisha hii haifai na haikubaliki hadi wakati wa kampeni kisheria ukifika. Hii ndio akili ya Mbowe, yaani kuwe na mikutano ya hadhara siku zote, nchi nzima, hii ndio madhara au matokeo ya Div 0. Nchi gani itakuwa kila kukicha mikutano ya hadhara? Hilo kamwe haliwezekani, vikao vya ndani hakuna tatizo. Uchumi gani utajengwa, au Mbowe kwa akili ya Div 0 anadhani kila siku kuwe na mikutano ya siasa, hiyo nchi ya wapi? That is rubbish. Div 0 outcome yake mnaona sasa.

Mh. Rais wetu, Mama Samia, umefanya uamuzi sahihi kabisa, tujenge uchumi kwanza, kwa sasa mikutano ya hadhara big Noooo, muda wa kampeni ukifika mikutano ya hadhara ruksa.. Mbowe wala asikusumbue ana div 0 kubwa.

Have a great day.
Vipi yule mwenye madigiriii yuko wapi?
 
Hili ndiyo Tatizo kubwa tulilonalo Watanzani. Badala ya kujenga hoja inayoweza kuwashawishi watu waelewe au wakubaliane na hoja zako sisi tunamshambulia mtu personally. Vijana lazima tubadilike tujifunze kujenga hoja.
Kwanamna vijana tunavyoenda ndiyo maana tukiitwa kuelezea matatizo yetu tunabaki kuongea pumbatuuu.

Mtoa hoja hebu tuambia elimu ya Mbowe na takwa la katiba mpwa vinamahusiano gani? Tupunguzeni kujipendekeza.

Humphrey alijulika na kuonekana kwa kujenga hoja alipopewa platform akabadilika yanii kikizazi hiki ndiyo tungekuwa enzi za mwalimu Nchi yeru isingepata Uhuru. Tumekuwa wanjinga sana.
 
Mababu zetu ambao hawakusoma kabisa ina maana wasingesikilizwa ?
 
Elimu inaweza kukubeba na inaweza kukushusha pia. Div 0 yake kaitumia vizuri hasa pale alipokubali kuoa binti wa mwenye chama ni bonge la ngekewa
Kama wewe ulivyoolewa na jiwe
 
Kwahiyo kipindi cha JK nchi ilisimama na kila siku ikawa mikutano ya kisiasa?Akili ndogo hizi!
Hata hiyo mikutano ikiruhusiwa,unadhani kuna chama kina uwezo wa kufanya hiyo mikutano kila siku?Acheni uvivu wa kufikiri unaowapelekea kuwa wajinga wajinga!
 
Division 0 ya mwenyekiti wa chama kikubwa cha siasa nchini vinahusiana vipi mikusanyiko ya kisiasa ambayo imeainishwa kikatiba ambayo mtawala ameapa kuilinda........

Njia rahisi na ya kudumu ni kuvifuta kabisa hivyo vyama vya siasa.....ili tujue kuwa nchi ni ya chama kimoja.......
 
Kule Misri kuna RAIS aiitwaye EL SISI....huyo asingechezewa na hawa akina MBOWE.....

EL SISI amewaweza nduguze MUSLIM BROTHERHOOD....Leo akina MBOWE NA TUNDU LISSU wanamshambulia mh.Rais Samia Suluhu kiasi hiki ?!!!! Khaaaaa 🤣🤣🤣🤣

REST IN PEACE OUR BELOVED JOHN POMBE MAGUFULI ,AMEN!!!

#KaziInaendelea
#StaunchSupporterOfSSH
Dikteta alikuwa hataki kukosolewa, Samia ameruhusu watu wamkosoe, Ni viwili tofauti,

Rest in hell JPM
 
Tumuache mama achape kazi ,Yeye mwenyewe kasema tumuache achape kazi ili uchumi uwe vizuri ndio atashughulikia katiba ,tuwe wavumilivu
 
Back
Top Bottom