Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan....
Ndugu,
Kwani movement hizi zinazotaka kuanzishwa ni kwa ajili ya nini haswa?? Kwa mfano hii movement wanayoifanya chadema na watu wao wa Twitter ni kwa ajili ya nini???
Tujadiliane
Acha upotoshaji Mdude na Mbowe et al., kilichowafanya wawe huru ni Mahakama kufanya kazi yake sio huruma ya RaisMdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan..
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan...
Niki jenga imani kubwa sana kwa Mh Mama Samia lakini kwa kauli yake ya jana, ana nilazimisha kumuona kweli yeye na Magu ni kitu kimoja. Sikuwahi kufikiri ataweza kutoa maamuzi kinyume na katiba.She has declared: "Mimi na Magufuli ni kitu moja". So, there is no surprise at all. "ninapayuka tena: KATIBA MPYA!!!?"
Fikra za kijinga kabisa hizi, so mtu anaejenga uchumi ni lazima aumize watu?
Baada ya uchaguzi kurudiwa, mpinzani alishinda?Wacha story za uchumi na kifikra,swali ni je mama Yuko tayari kuleta Katiba mpya ambako jaji mkuu anaweza kusema uchaguzi huu ni batili na urudiwe?Jaji Maraga wa Kenya unamjua...
Baada ya maongezi ya RJMT na wahariri wa vyombo vya habari jana Juni 28, 2021 naona CHADEMA wamedemka kweli kweli. Lakini kwa maneno yao wenyewe wametuambia sasa wanaenda kidigitali kwa maana kuwa hawana haja ya siasa za uso kwa uso au ana kwa ana. Lakini kwa kudemka huku ina maana moja tu CHADEMA bado wako kwenye siasa za mikutano ya hadhara tena kwenye kona sawa sawa na wale wechezesha karata za kekundu na keusi. Bado wana mwendo mrefu
Unataka kuwa mhuni???
Basi Nenda Chadema..!
Kiila ukifanya upumbavu, utaambiwa wewe ni Mandela wa pili Africa,
Ukivuta bange ukabahatika kumtukana Raisi, basi hapo wewe ni shujaa kama Mandela
..mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa ni haki ambayo imebainishwa ktk katiba na sheria zetu.
..sasa Mama Samia ametoa kauli kwamba anasimamisha utekelezaji wa haki ambayo wananchi wamepewa na katiba yao....
Ooh Poor Mbowe, alipokuwa Mbunge wa Hai, hakufanya mikutano Hai, akakimbilia Kawe na tundulissu, au Usukumani kwa Mawazo. Haki ya kufanya mikutano jimboni kwako aliizeleu kwa vile Jimboni kwake eti akij8danganya kuwa wametosheka. Ukaja uchaguzi kaangushwa chini puu na katoto kadogo. Sasa hata Ubunge hana sasa atakuwa mgeni wa nani?"Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA. Yawezekana, wewe na washauri wako hamjaelewa maumivu tuliyopitia kwa miaka 5 ya mtangulizi wako!! Na ndiyo sababu tulikuomba sana utusikilize mapema!! Kauli hii leo inatulaza na machozi!! Very very sad!!"-Freeman Mbowe
Kusubiri kwa kuendelea kukiuka katiba si sawa. Katiba iliyopo ifuatwe na mchakato wa katiba mpya urejeshwe.
Mbowe kaanza na hizo 'yeyeyeeeeee yeyeyeeeeeee haya ingieniii' zake tena. Mama anataka nchi iwe 'calm and cool' ili kazi iendelee kukuza uchumi wa nchi na wa mtu mmoja mmoja na kuwezesha watu wengi zaidi wapate ajira. Hizo kelele za akina Mbowe za lengo la kuwaingiza ikulu hazina tija yo yote na ni fujo tu za kuvuruga nchi."Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA. Yawezekana, wewe na washauri wako hamjaelewa maumivu tuliyopitia kwa miaka 5 ya mtangulizi wako!! Na ndiyo sababu tulikuomba sana utusikilize mapema!! Kauli hii leo inatulaza na machozi!! Very very sad!!"-Freeman Mbowe
Ndio,alishinda Sugu.Baada ya uchaguzi kurudiwa, mpinzani alishinda?
"Askari wetu wamefundishwa vizuri kulenga shabaha. Huwa wakipoteza risasi tatu lazima watoe maelezo." Mnakumbuka wakati wa kampeni nani kinywa chake kilitamka maneno hayo?
Unataka katiba mpya?.Kwani hujui kwamba tulikuwa na DIKTETA? Kwanini Kikwete alikubali wahamishiwe Bara kwa tuhuma za Visiwani? Jaribu kutumia akili japo kiduchu. Unadhani huyo Samia alikuwa hajui kuhusu dhuluma na udhalimu uliokuwa unafanywa na dhalimu magufuli!? Si ALIUFYATA ili kitumbua chake kisiingie mchanga? Kama ni political will kwanini hakumpinga hadharani? Kwanini hakujiuzulu!?
Hakuna ukweli wowote wakati huyo mama alikuwa amekumbatia maovu yote ya dhalimu kwa miaka mitano leo anataka kujifanya eti ana usafi!!!!
Ningemuheshimu sana kama angepinga maovu hadharani au kujiuzulu vinginevyo ni mnafiki tu ambaye anataka kujisafisha na kujiweka mbali na dhalimu mwendazake wakati kwa miaka mitano hayo maovu anayoyaona leo hii HAKUYAONA.
Kwani unagombea nafasi ipi mkuuNdoto zake za kisiasa kwa kukumbatia maovu? Uliwahi kusikia kuhusu Mzee RUKHSA kujiuzulu kuhusu mauaji ya Shinyanga akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani? Unadhani yeye hakuwa na ndoto za kisiasa? Acha kuonyesha ujuha wako hadharani wewe!
Nani alikudanganya mie niko Marekani? Na Marekani na huu upuuzi wa Samia unahusiana nini!? [emoji15][emoji15][emoji15]
Nimetaka kipengele ambacho Mbowe alibadilisha ili atawele milele lkn naona jamaa amekula Kona.Mbowe kwanini haachii uwenyekiti chadema? Aanze yeye
Kwa hiyo ni kweli kwamba wote hao walifikiwa na hayo kwa utashi wa rais dikteta aliyefariki na kama ni kuachiliwa pia ni kwa majaliwa ya rais wa sasa.!Mdude Nyagali ametoka RUMANDE kwa huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......
Masheikh wa UAMSHO wanakula biriani mtaani kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......
Mbowe amefutiwa kesi yake na kurudishiwa milioni zake 300 kwa sababu ya huruma ya mh. Rais Samia Suluhu Hassan......
Kwani MDUDE NA WENZAKE wangeendelea kukaa RUMANDE kingebadilika KIPI huku mitaani ?!!!!!!
#ChademaWameanzaKubeep
Uwe na heshima na adabu kabla hujaliandika jina la raisHuyo mama si alikuwa mmoja wa timu magufuli kama aliona maovu kwanini hakusema hadharani? Kitumbua chake alikiona muhimu sana kuliko haki za Watanzania kudhulumiwa?
Unakuwaje shukrani na dikteta anayetaka eti atengeneze uchumi kwanza kisha ndiyo katiba mpya. Uchumi atautengeneza kwa miaka miaka mingapi? 10, 20 au 30!?