Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Kitu ambacho si sawa hata kidogo hao ni wahalifu wanastahili kufukuzwa kazi mara moja na kufunguliwa mashtaka kwa uhuni walioufanya lakini mama anahofia anajua litakuwa balaa ambalo litamgusa na yeye moja kwa moja. Mbona ulikuwa kimya ulipokuwa VP? Hii miezi mitatu ya wewe kuwa madarakani umewezaje kujua kesi zote hizo zilikuwa ni FAKE hivyo umeamua kuzifuta ndani ya miezi mitatu tu?
Mama alikuwa sehemu ya mfumo hivyo anachofanya sasa ni kuuma na kupuliza ili kutengeneza reputation yake vizuri ila kwa wenye maono huyu Mama ni wale wale.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
unawashwa wapi vilee...
mambo za CDM hazikuhusu we pambana na huko lumumba na MEKO mliekuwa mnamtegemea ndio harudi kabisaaa na mama kesha sema anasafisha taka zote za MEKO wenu ili mambo yawe muruaaa. ...mae
pamoja na hayo yoooote usitarajie kuja kuona hilo chama lenu la kihuni linagusa ikulu pale ni mahala patakatifu mwizi kama mbowe hawezi kuingia pale ndiyo maana panatafutwa sehemu yakukutana na nyie wapinzani uchwara siyo ikulu mtapatia nuksi tu
 
Hao waliohusika kuwabambikia kesi mbona kapiga kimya? Wametumia nyadhifa zao vibaya kubambikia watu kesi. Kwanini waendelee kuajiriwa na Serikali? Kwanini hawafunguliwi mashtaka?
Kwanza umeelewa nilichokiandika ?

Unao ushahidi kwamba wamebambikiwa kesi ?
 
Rais SSH ,mikutano ya hadhara sio hisani yako wala ya chama chako. Na hauna mamlaka ya kuamua tufanye ama tusifanye. Labda kama unataka kutuambia kuwa unataka kuongoza taifa kiimla kama mlivyofanya na mtangulizi wako. Magufuli alianza vizuri akavuruga baadaye kama wewe.
sasa kama unampangia mama siufanye huo mkutano wako?unapiga kelele nyuma ya keyboard tu chizi kweli wewe
 
Huyo mama si alikuwa mmoja wa timu magufuli kama aliona maovu kwanini hakusema hadharani? Kitumbua chake alikiona muhimu sana kuliko haki za Watanzania kudhulumiwa?
Unakuwaje shukrani na dikteta anayetaka eti atengeneze uchumi kwanza kisha ndiyo katiba mpya. Uchumi atautengeneza kwa miaka miaka mingapi? 10, 20 au 30!?

Haya gombea wewe tukuchague[emoji16][emoji16]
 
Katiba Mpya ni Muhimu Sana maana awamu ya 5 imefundisha umuhimu wa kuwa na katiba mpya.

-Separation of power ni muhimu sana kwenye katiba mpya.
-yyeo vya hisani viondolewe kwenye katiba Mpya.
 
Sawa sawa kabisa Mkuu. Polisi na wanasheria wa Serikali walioshiriki kwenye uhuni huu wa kubambikia kesi ni wengi sana, kwa maoni yangu wahusika wote wanastahili kufukuzwa kazi na kufunguliwa mashtaka, lakini mama anajua athari zake. Hivyo ndiyo kaamua kuuma na kupuliza ili kubalance mambo.
Mama alikuwa sehemu ya mfumo hivyo anachofanya sasa ni kuuma na kupuliza ili kutengeneza reputation yake vizuri ila kwa wenye maono huyu Mama ni wale wale.
 
We jamaa wa ajabu kweli. Uliwai kumsikia mbowe akidai hizo mi 300! Unafahamu hayo yote yametokea kutokana na ubovu wa katiba? Na isitoshe suala la katiba mpya si la mbowe pekee.
 
MATAGA bana, mama akiruhusu mikutano yatakuja tena hapa kushangilia
 
Baada ya miaka 60 ya uhuru, ni kweli hatuna chochote cha kujivunia? Muwe mnamuogopa hata Mungu basi.
Ni kwa vile upunzani hawajawahi kuongoza nchi au una lingine? Unadhani nchi ikiongozwa na upinzani kutakuwa na maajabu yoyote?
Sijui kwanini huwa natamani mpewe nchi hata miaka mi5 tu ili nishuhudie maajabu yenu.
[emoji3][emoji3]hivi unawajua wapinzani vizuri lakini!hawajawahi kua na jema,walimdhika JK na kawaita kufanya nao mazungumzo ikulu wakamwita dhaifu.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Akili yako ndiyo ilipoishia hapo, wapi nilipoandika kwamba nataka kugombea!? [emoji15][emoji15][emoji15]

Sasa wote si wabaya labda wewe utakua mzuri au[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wacha ujinga rudi shule kajifunze elimu ya uraia badala ya kuja kuandika upuuzi wako.
Sasa wote si wabaya labda wewe utakua mzuri au[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii ni kumchokoza Mama. Jana pia alisema tuangalie maneno. Tusimpe amri ya kutenda jambo. Tukumbuke Amazon amri akizitoa tu aaaaa. Wee kwisha
 
Sawa sawa kabisa Mkuu. Polisi na wanasheria wa Serikali walioshiriki kwenye uhuni huu wa kubambikia kesi ni wengi sana, kwa maoni yangu wahusika wote wanastahili kufukuzwa kazi na kufunguliwa mashtaka, lakini mama anajua athari zake. Hivyo ndiyo kaamua kuuma na kupuliza ili kubalance mambo.
Na huu ndo unafiki ambao miaka yote unalitafuna hili taifa watu wanapenda kuona fisadi kwenda kuhojiwa kwenye kamati ya maadili ya chama badala ya kupelekwa mahakamani.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom