Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Mama alikuwa sehemu ya mfumo hivyo anachofanya sasa ni kuuma na kupuliza ili kutengeneza reputation yake vizuri ila kwa wenye maono huyu Mama ni wale wale.Kitu ambacho si sawa hata kidogo hao ni wahalifu wanastahili kufukuzwa kazi mara moja na kufunguliwa mashtaka kwa uhuni walioufanya lakini mama anahofia anajua litakuwa balaa ambalo litamgusa na yeye moja kwa moja. Mbona ulikuwa kimya ulipokuwa VP? Hii miezi mitatu ya wewe kuwa madarakani umewezaje kujua kesi zote hizo zilikuwa ni FAKE hivyo umeamua kuzifuta ndani ya miezi mitatu tu?
Huyu anaweza hata kumpa "Shikamoo Mama".Funny they are roughly the same age 🤣
pamoja na hayo yoooote usitarajie kuja kuona hilo chama lenu la kihuni linagusa ikulu pale ni mahala patakatifu mwizi kama mbowe hawezi kuingia pale ndiyo maana panatafutwa sehemu yakukutana na nyie wapinzani uchwara siyo ikulu mtapatia nuksi tuunawashwa wapi vilee...
mambo za CDM hazikuhusu we pambana na huko lumumba na MEKO mliekuwa mnamtegemea ndio harudi kabisaaa na mama kesha sema anasafisha taka zote za MEKO wenu ili mambo yawe muruaaa. ...mae
Kwanza umeelewa nilichokiandika ?Hao waliohusika kuwabambikia kesi mbona kapiga kimya? Wametumia nyadhifa zao vibaya kubambikia watu kesi. Kwanini waendelee kuajiriwa na Serikali? Kwanini hawafunguliwi mashtaka?
sasa kama unampangia mama siufanye huo mkutano wako?unapiga kelele nyuma ya keyboard tu chizi kweli weweRais SSH ,mikutano ya hadhara sio hisani yako wala ya chama chako. Na hauna mamlaka ya kuamua tufanye ama tusifanye. Labda kama unataka kutuambia kuwa unataka kuongoza taifa kiimla kama mlivyofanya na mtangulizi wako. Magufuli alianza vizuri akavuruga baadaye kama wewe.
Huyo mama si alikuwa mmoja wa timu magufuli kama aliona maovu kwanini hakusema hadharani? Kitumbua chake alikiona muhimu sana kuliko haki za Watanzania kudhulumiwa?
Unakuwaje shukrani na dikteta anayetaka eti atengeneze uchumi kwanza kisha ndiyo katiba mpya. Uchumi atautengeneza kwa miaka miaka mingapi? 10, 20 au 30!?
Haya gombea wewe tukuchague[emoji16][emoji16]
Mama alikuwa sehemu ya mfumo hivyo anachofanya sasa ni kuuma na kupuliza ili kutengeneza reputation yake vizuri ila kwa wenye maono huyu Mama ni wale wale.
siku za mwanadamu haziishii hapa duniani tunapita yeye kamaliza kila mtu atapita hakuna adumuye,wewe hutokufa kwa sababu hujaweka watu ndani au?Aliyewaweka ndani wenzake leo Yuko wapi mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na nakawapigia wingi kwenye hiyo KatibaSi mnasemaga mama anaupiga mwingi.,..
endeleeni kusema......
Mumeo na mamakoNani anawataka CHADEMA ?
[emoji3][emoji3]hivi unawajua wapinzani vizuri lakini!hawajawahi kua na jema,walimdhika JK na kawaita kufanya nao mazungumzo ikulu wakamwita dhaifu.Baada ya miaka 60 ya uhuru, ni kweli hatuna chochote cha kujivunia? Muwe mnamuogopa hata Mungu basi.
Ni kwa vile upunzani hawajawahi kuongoza nchi au una lingine? Unadhani nchi ikiongozwa na upinzani kutakuwa na maajabu yoyote?
Sijui kwanini huwa natamani mpewe nchi hata miaka mi5 tu ili nishuhudie maajabu yenu.
Akili yako ndiyo ilipoishia hapo, wapi nilipoandika kwamba nataka kugombea!? [emoji15][emoji15][emoji15]
Sasa wote si wabaya labda wewe utakua mzuri au[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sawa boss mkubwaFanyeni kazi nyinyi, acheni porojo. Uchumi kwanza.
Na huu ndo unafiki ambao miaka yote unalitafuna hili taifa watu wanapenda kuona fisadi kwenda kuhojiwa kwenye kamati ya maadili ya chama badala ya kupelekwa mahakamani.Sawa sawa kabisa Mkuu. Polisi na wanasheria wa Serikali walioshiriki kwenye uhuni huu wa kubambikia kesi ni wengi sana, kwa maoni yangu wahusika wote wanastahili kufukuzwa kazi na kufunguliwa mashtaka, lakini mama anajua athari zake. Hivyo ndiyo kaamua kuuma na kupuliza ili kubalance mambo.