Mbowe: Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA

Taasisi FAKE imeingiliwa na VIRUS 🦠 ambavyo vimeweka mbele matumbo yao badala ya maslahi ya Nchi na ndiyo sababu nchi inayumba. Taasisi imejaa WANAFIKI mwanzo mwisho.
Kwahio sahizi haupigi mwingi au sio?🤣🤣🤣 Tatizo la watanzania ni ujuaji! Uraisi ni taasisi sio kama uwalimu wa twisheni za miembeni!
 
Angekuwa na hiyo nguvu hao waliohusika na huo uhuni wa kubambikia kesi FAKE mbona ameshindwa kuwafukuza kazi!? Mbona ameshindwa kuwafungulia mashtaka kwa tuhuma zao za kuvunja sheria za Nchi? Tafakari kwa kina badala ya KUKURUPUKA!
Kama huoni nguvu ya Rais SSH kwenye kufutwa kwa mashtaka ya UAMSHO basi wewe ni kipofu wa ubongo
 
Jiongeze tumia akili yako inavyostahili badala ya kuandika UPUUZI!
lazima uone upuuzi maana sio katika yanayokufurahisha....ujifunze kuwa na fikra huru.
 
pamoja na hayo yoooote usitarajie kuja kuona hilo chama lenu la kihuni linagusa ikulu pale ni mahala patakatifu mwizi kama mbowe hawezi kuingia pale ndiyo maana panatafutwa sehemu yakukutana na nyie wapinzani uchwara siyo ikulu mtapatia nuksi tu
nuksi kama aliyoitia JOMBI wenu MEKO JIWE
 
Huyu naye Tumshtakie kwa MUNGU kama tulivyofanya kwa Magufuli hadi waishe wote Tanzania iwe Taifa lenye Demokrasia na ustawi wa haki kwa watu wake wote

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!

Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....

#KaziInaendelea
Wewe na wajinga wenzako Mataga platform msiojitambua,ndo mnajidanganya hivyo?kilichomkuta Magufuli naye kitamkuta tu,hadi Tanzania ibaki salama, nyambafu nyie....!

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
He's not in peace but in Hell.... muuaji mkubwa yule and he had no time for repentance

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
NAOMBA 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

mpeni jamani😀😀😀😀😀😀
 
Huyu naye Tumshtakie kwa MUNGU kama tulivyofanya kwa Magufuli hadi waishe wote Tanzania iwe Taifa lenye Demokrasia na ustawi wa haki kwa watu wake wote

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hata Wana wa Israel walipokosa Imani kwa Musa aliyewatoa Utumwani Misri kuna wakati walitamani kurudi kwa Farao utumwani.

Kweli kwa namna Rais SSH alivyotupeleka hizi siku 100 unadiriki kiumuombea afe kama Mwendazake? Mama hakakataa Katiba Mpya ameomba muda tu
 
Kashasema yatashughuliliwa mambo yanaenda kizamu hebu yeye apewe vyungu kumi apike kwa wakati mmoja Kama ataweza.
 
Sasa mbona hawakutoka kipindi cha Hayati?.
 
Kashasema yatashughuliliwa mambo yanaenda kizamu hebu yeye apewe vyungu kumi apike kwa wakati mmoja Kama ataweza.
Tatizo baadhi ya watu hawana shukran

chadema si walikua wanazungunka nchi nzima majuzi tu na Opereshi Dijitali sijui
Na hakuna aliewabugudhi.,ni nini kile kama sio mikutano?
Kipindi cha Hayati iliwezekana?.
 
Tatizo baadhi ya watu hawana shukran

chadema si walikua wanazungunka nchi nzima majuzi tu na Opereshi Dijitali sijui
Na hakuna aliewabugudhi.,ni nini kile kama sio mikutano?
Kipindi cha Hayati iliwezekana?.
Wamekariri upinzani maana yake ni kupinga tu
kila jambo wakati sio hivyo.
 
Kwani aliahidi ndani ya siku mia katiba itapatikana? Maana naona washaanza kumuona hafai ikiwa kasaidia mengi ndani ya hzo siku mia
 
Kwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!

Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....

#KaziInaendelea
Mbowe ni kiongozi wa wananchi na msemaji wao,hivyo anaongoza njia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…