Kwahio sahizi haupigi mwingi au sio?🤣🤣🤣 Tatizo la watanzania ni ujuaji! Uraisi ni taasisi sio kama uwalimu wa twisheni za miembeni!
Kama huoni nguvu ya Rais SSH kwenye kufutwa kwa mashtaka ya UAMSHO basi wewe ni kipofu wa ubongo
kwa hiyo akikupa katiba mpya atakuwa sio dikteta...?
lazima uone upuuzi maana sio katika yanayokufurahisha....ujifunze kuwa na fikra huru.Jiongeze tumia akili yako inavyostahili badala ya kuandika UPUUZI!
kumbeHawakuwekwa ndani kwa sababu ya Uislam.
Wamewekwa ndani kwa sababu ya HARAKATI KALI NA ZA OVYO kutumia MAJUKWAA YA DINI kunadi SIASA HATARISHI.......
nuksi kama aliyoitia JOMBI wenu MEKO JIWEpamoja na hayo yoooote usitarajie kuja kuona hilo chama lenu la kihuni linagusa ikulu pale ni mahala patakatifu mwizi kama mbowe hawezi kuingia pale ndiyo maana panatafutwa sehemu yakukutana na nyie wapinzani uchwara siyo ikulu mtapatia nuksi tu
AMAZON !! 🙄Hii ni kumchokoza Mama. Jana pia alisema tuangalie maneno. Tusimpe amri ya kutenda jambo. Tukumbuke Amazon amri akizitoa tu aaaaa. Wee kwisha
Huyu naye Tumshtakie kwa MUNGU kama tulivyofanya kwa Magufuli hadi waishe wote Tanzania iwe Taifa lenye Demokrasia na ustawi wa haki kwa watu wake wote"Mama! Mama! Mama! Kwenye hili HAPANA. Yawezekana, wewe na washauri wako hamjaelewa maumivu tuliyopitia kwa miaka 5 ya mtangulizi wako!! Na ndiyo sababu tulikuomba sana utusikilize mapema!! Kauli hii leo inatulaza na machozi!! Very very sad!!"-Freeman Mbowe
Wewe na wajinga wenzako Mataga platform msiojitambua,ndo mnajidanganya hivyo?kilichomkuta Magufuli naye kitamkuta tu,hadi Tanzania ibaki salama, nyambafu nyie....!Kwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!
Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....
#KaziInaendelea
He's not in peace but in Hell.... muuaji mkubwa yule and he had no time for repentanceKule Misri kuna RAIS aiitwaye EL SISI....huyo asingechezewa na hawa akina MBOWE.....
EL SISI amewaweza nduguze MUSLIM BROTHERHOOD....Leo akina MBOWE NA TUNDU LISSU wanamshambulia mh.Rais Samia Suluhu kiasi hiki ?!!!! Khaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
REST IN PEACE OUR BELOVED JOHN POMBE MAGUFULI ,AMEN!!!
#KaziInaendelea
#StaunchSupporterOfSSH
Hata Wana wa Israel walipokosa Imani kwa Musa aliyewatoa Utumwani Misri kuna wakati walitamani kurudi kwa Farao utumwani.Huyu naye Tumshtakie kwa MUNGU kama tulivyofanya kwa Magufuli hadi waishe wote Tanzania iwe Taifa lenye Demokrasia na ustawi wa haki kwa watu wake wote
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Sasa mbona hawakutoka kipindi cha Hayati?.Acha kuandika ujinga wewe! Eti ametoka kwa huruma ya mama wakati hukumu inasema kwamba hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani. Kwanini unaandika uongo kiasi hili kama vile wengine hatukusikia hukumu husika?
Na nani aliyekudanganya huruma ya mama ndiyo iliwatoa masheikh wa uamsho!? Uwe unasikiliza kwa makini badala ya kuja hapa na kupindisha ukweli husika.
Tatizo baadhi ya watu hawana shukranKashasema yatashughuliliwa mambo yanaenda kizamu hebu yeye apewe vyungu kumi apike kwa wakati mmoja Kama ataweza.
Wamekariri upinzani maana yake ni kupinga tuTatizo baadhi ya watu hawana shukran
chadema si walikua wanazungunka nchi nzima majuzi tu na Opereshi Dijitali sijui
Na hakuna aliewabugudhi.,ni nini kile kama sio mikutano?
Kipindi cha Hayati iliwezekana?.
Mbowe ni kiongozi wa wananchi na msemaji wao,hivyo anaongoza njiaKwa hiyo MBOWE akisema HAPANA ndio anawasemea WATANZANIA WOTE?!!!
Hapana yake ni ya KIJINGA TU.....walisema HAPANA....na hawakutokea pale UBUNGO.....asimbabaishe mtu bana....
#KaziInaendelea
Mama kawamaliza hawana Ajenda mpyaWamekariri upinzani maana yake ni kupinga tu
kila jambo wakati sio hivyo.
Mama mzingatilifu Sana yule anawajua akina yatima adeki mpaka wanaojifanya watoto wa baba mwenyenyumba.Mama kawamaliza hawana Ajenda mpya