Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Amesema lini hiyo na wapi? Acha uongo na unafiki. Mungu kwenye amri yake ya 9 ( kati ya 10) amesema usimshuhudie jirani yako uongoLkn Mbowe ameshakubali kwamba Katiba is off the table, kuhusu hiyo inayoitwa Tume huru CCM hawata compromise hata iweje, wakati huo huo muda unakwenda unachaguzi unakaribia, upinzani wanataka au wanategemea kupata nini ?