Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Freeman Mbowe huwa anahubiri mambo ya kusema kweli na maridhiano wakati yeye si mkweli na hatabiriki misimamo yake kwani anauwezo wa kubadili gia angani haraka sana ili mradi kuwe na pesa mbele yake.
Alifanya hivyo wakati anauza chama kwa Lowasa na amefanya hivyo tena wakati anaanza kupokea ruzuku ya chama aliyoikataa kwamba inatokana na uchaguzi haramu wa 2020.
Mbowe anasimama mbele ya Rais na kuwakataa wabunge 19 huku akijua bila hao wabunge hawezi kupokea hiyo ruzuku ya milioni 900 kwa mwezi.
Haya maridhiano ili yawe na maana lazima yawe ya kufaidisha watu wote na siyo kufaidisha Mbowe na genge lake tu.
Alifanya hivyo wakati anauza chama kwa Lowasa na amefanya hivyo tena wakati anaanza kupokea ruzuku ya chama aliyoikataa kwamba inatokana na uchaguzi haramu wa 2020.
Mbowe anasimama mbele ya Rais na kuwakataa wabunge 19 huku akijua bila hao wabunge hawezi kupokea hiyo ruzuku ya milioni 900 kwa mwezi.
Haya maridhiano ili yawe na maana lazima yawe ya kufaidisha watu wote na siyo kufaidisha Mbowe na genge lake tu.