Mbowe, maridhiano yako bila kuwasamehe wale wabunge 19 yatakuwa hayana maana

Mbowe, maridhiano yako bila kuwasamehe wale wabunge 19 yatakuwa hayana maana

Hatujakataa uchaguzi halamu haujaisha mana tangu 2020 hatujafanya uchaguzi tena ila tunaye raisi anayemalizia huo uchaguzi halam wanaousema CHADEMA,Je kipi kimewafanya kupokea hela inayotokana na uchaguzi halamu?
maridhiano ndio yamefanya pesa haramu ipokelewe.
 
Chadema walisema hawawezi kuchukua ruzuku inayotokana na uchaguzi feki. Sasa lini uchaguzi ule umegeuka sawasawa ili waichukue hiyo ruzuku?

Au maridhiano yanalenga kuhalalisha haramu?
maridhiano ndio yamefanya pesa ipokelewe na itaendelea kupokelewa kama tunavyomtambua Samia kuwa ni Rais pia ni kupitia maridhiano, sukuma gang itakuwa ngumu kuelewa.
 
Haya mambo ya maridhiano yasingekuwepo lakini kwa ushamba wa mtu yule ndo tulifika huku kama nchi
 
Sema tamaa na njaa ndo imefanya pesa kupokelewa,Basi wakumbushe kujenga na ofc ile ya Ufipa ishakuwa sclaper.
kwamba wewe unafahamu kuhusu njaa za wanachadema kuliko chadema wenyewe are you mentally fit or imbecile. Ofis wewe inakuhusu nin, nyie sukuma gang lini mmejenga ofis mbali na kuuwa watu tuambie ofis ya sukuma gang mahala ilipo.
 
kwamba wewe unafahamu kuhusu njaa za wanachadema kuliko chadema wenyewe are you mentally fit or imbecile. Ofis wewe inakuhusu nin, nyie sukuma gang lini mmejenga ofis mbali na kuuwa watu tuambie ofis ya sukuma gang mahala ilipo.
Sasa unachobisha nini si wamepokea 800+ alafu wanakuja kwenye Kongamano la BAWACHA wanasema hawajapokea, ni njaa mzee inaleta shida kwenye chama chako,ww kama haujapewa ni ujinga wako na unabwatuka humu bure.
Ofsi za ccm zinajengwa na chama mzee sio sukuma gang,msoga gang au sjui maridhiano kamp, zipo nyingi tu kila mahali....Dar ipo Lumumba pale nenda kashangae ghorafa pale alafu ukalinganishe na mghahawa wenu pale ufipa kinondoni.
 
Sasa unachobisha nini si wamepokea 800+ alafu wanakuja kwenye Kongamano la BAWACHA wanasema hawajapokea, ni njaa mzee inaleta shida kwenye chama chako,ww kama haujapewa ni ujinga wako na unabwatuka humu bure.
Ofsi za ccm zinajengwa na chama mzee sio sukuma gang,msoga gang au sjui maridhiano kamp, zipo nyingi tu kila mahali....Dar ipo Lumumba pale nenda kashangae ghorafa pale alafu ukalinganishe na mghahawa wenu pale ufipa kinondoni.
Mwendazake alitutengenezea watu wa ajabu sana. Alaaniwe aliko na asitokee tena mtu namna ile.
 
Sasa unachobisha nini si wamepokea 800+ alafu wanakuja kwenye Kongamano la BAWACHA wanasema hawajapokea, ni njaa mzee inaleta shida kwenye chama chako,ww kama haujapewa ni ujinga wako na unabwatuka humu bure.
Ofsi za ccm zinajengwa na chama mzee sio sukuma gang,msoga gang au sjui maridhiano kamp, zipo nyingi tu kila mahali....Dar ipo Lumumba pale nenda kashangae ghorafa pale alafu ukalinganishe na mghahawa wenu pale ufipa kinondoni.
Ni wapi kwenye Mkutano wa BAWACHA walisema hawajapokea ruzuku?
 
Back
Top Bottom