Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
maridhiano ndio yamefanya pesa haramu ipokelewe.Hatujakataa uchaguzi halamu haujaisha mana tangu 2020 hatujafanya uchaguzi tena ila tunaye raisi anayemalizia huo uchaguzi halam wanaousema CHADEMA,Je kipi kimewafanya kupokea hela inayotokana na uchaguzi halamu?