Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wa uchafuzi ndio mnapanga kumng'oa au?Alafu chama kimeshindwa sana
Huyu ni sukuma gang masalia ya mwisho mwisho yale yuko na vi ID vyake vingine viwili haamini kama Magufuli amekufa na udikteta wake na zama zao zimepita.Chawa wa uchafuzi ndio mnapanga kumng'oa au?
Imebaki alama ya uchafuziHuyu ni sukuma gang masalia ya mwisho mwisho yale yuko na vi ID vyake vingine viwili haamini kama Magufuli amekufa na udikteta wake na zama zao zimepita.
Huo nao unaita ulikua uchaguzi?Uchaguzi wa serikali za mitaa vipi
Hivi kumbe magazeti Bado yapo Tanzania!!! Na Kuna watu Bado wanayasoma??!!! Na je Bado tuna wandishi credible wa magazeti Tanzania?🤔🤔[emoji38][emoji38]
Hayo humkosi,Etweege,Mwashambwa,johnthebaptist na marafiki zaoHivi kumbe magazeti Bado yapo Tanzania!!! Na Kuna watu Bado wanayasoma??!!! Na je Bado tuna wandishi credible wa magazeti Tanzania?🤔🤔
Mti wenye matunda hurushiwa mawe.Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujiuzuru.
Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Tukubaliane pia kuwa hakuna cha fomu moja ya ugombea Urais ndani ya CCM.Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujiuzuru.
Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487