Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Hilo gazeti ni sawa na Tanzanite la yule fala na anayelotia maanani naye ni fala pia
 
Ndiyo maana ameenda kuaga kwa waziri mkuu?
 
Kanda ya ziwa ndiyo kuna watu wenye akili na uzalendo, kanda zingine ni uvivu na wizi ndiyo vimejaa
 
Wampige chini huyo mlamba asali.
1664963031725.png
 
Mbowe toka alipomuangukia mama kama na safari za Ikulu ikawa hazitindiki na kutolewa jela kwa vipande 30 hakurudi tena kama Mbowe, ameacha kudai katiba mpya na kila kitu, nilidhani mbowe atakuwa mtu wa mwisho kununuliwa na CCM lakini miezi 8 aliyokaa jela tu, uzalendo ukamshinda na kusarenda ambapo break ya kwanza baada ya kutoka akatinga Ikulu
 
Mbowe toka alipomuangukia mama kama na safari za Ikulu ikawa hazitindiki na kutolewa jela kwa vipande 30 hakurudi tena kama Mbowe, ameacha kudai katiba mpya na kila kitu, nilidhani mbowe atakuwa mtu wa mwisho kununuliwa na CCM lakini miezi 8 aliyokaa jela tu, uzalendo ukamshinda na kusarenda ambapo break ya kwanza baada ya kutoka akatinga Ikulu
Hajajaja
 
Back
Top Bottom