Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dikteta,MBOWE YUPO HATOKI NG"OOO
Wampige chini huyo mlamba asali.
Pole ndugu, ukijiruhusu kupata usingizi wa kutosha utaweza kupata nafuu. Matatizo yakizidi utahitaji kuonana na dakitari wa afya ya akili.wachaga watalia sana kutatokea chadema A na B
HajajajaMbowe toka alipomuangukia mama kama na safari za Ikulu ikawa hazitindiki na kutolewa jela kwa vipande 30 hakurudi tena kama Mbowe, ameacha kudai katiba mpya na kila kitu, nilidhani mbowe atakuwa mtu wa mwisho kununuliwa na CCM lakini miezi 8 aliyokaa jela tu, uzalendo ukamshinda na kusarenda ambapo break ya kwanza baada ya kutoka akatinga Ikulu
Sukuma gang sasa hivi mmebakia kuwewesekaWachaga na saccos yao ya chadema
Bado hajang'olewa tuu? Kama ulikuwa unaota na bado umelala angalia usije kujisaidia haja kuuWachaga na saccos yao ya chadema
Yule nyamitako siyo,mtajuana wenyewe huko .Paul Makonda ndani ya nyumba