Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Acheni kupotosha Mbowe kwa hiyari yake binafsi yupo mbioni kuuachia uwenyekiti, ili apate muda zaidi wa kuiimarisha miradi yake na ya kifamilia inayotetereka, hivyo atabaki ndani ya chama lakini huenda harakati za kichama akazipunguza na huenda akagombea ubunge wake na akabakia kama mbunge na endapo chama kama kitakuwa kinahitaji nasaha zake basi atasaidia katika shughuli za namna hii, binafsi nimpongeze Mbowe kwa hili, ALUTA CONTINUA.
Hilo sukuma gang hawalioni
 
Leo siku ya Kiswahili, unaandika KUJIHUZURU

Leo siku ya kimataifa ya kiswahili, unaandika KUJIHUZURU kweli?
Nimeishia hapo nimeona its nonsense.
Unategemea mrundi atajua kiswahili kweli?
 
Chadema ni mali ya CCM kwa kificho, anayefahamu ni Mbowe na wengine ambao sio hata wanasiasa.
CDM ni compromise agent kati ya watu fulani vs CCM na serikali.

Wengine ni kokoro tu linavutwa.
 
Chadema ni mali ya CCM kwa kificho, anayefahamu ni Mbowe na wengine ambao sio hata wanasiasa.
CDM ni compromise agent kati ya watu fulani vs CCM na serikali.

Wengine ni kokoro tu linavutwa.
Uko sahihi.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,kwa hiyo kiongozi wa ngazi ile kusema uongo tena ndani ya msikiti unadhn ni sahihi????
Ni kiraza tu kama wewe ndio unaweza ukadhani alifanya kosa lakini kwa watu wanaojua protocol za uongozi PM alikuwa sahihi kwa 100%

Hata viongozi wa chama ngazi ya matawi wana siri zao ambazo wanachama hawapaswi kujua hadi utakapo fika muda sahihi sembuse ikuru ya nchi we jamaa kiraza sana
 
Umuhimu wa Mbowe kuiongoza CHADEMA umefikia mahali kuwa siyo wa lazima.
Apewe heshima yake kuu ya kuhimiri na kusimama imara wakati chama kilipopitia katika majaribu makubwa sana enzi za Magufuli, na hata wakati wa Kikwete., enzi za kina Zitto.

Uongozi wa Mbowe, wakati huu kwenye siasa za kupuliza za Samia, ni 'liability', kubwa. Inatakiwa apatikane kiongozi anayeelewa hizi mbinu mpya za kukidhoofisha CHADEMA na kupoteza mweekeo wake.
Akiendelea kubaki ataondoka kwa aibu kama Profesa au chama kinaweza kumfia. Aachie ngazi. Kila siku tunasema lakini mnaona kama tunawaletea nongwa. Mwenyekiti kuhudumu isizidi vipindi viwili
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,kwa hiyo kiongozi wa ngazi ile kusema uongo tena ndani ya msikiti unadhn ni sahihi????
We ndio mjinga kwa hiyo kama wewe ndio ungekuwa PM ungesemaje ? Ungesema raisi amezidiwa yupo ICU? Hi nchi ina viraza wengi sana
 
Acheni kupotosha Mbowe kwa hiyari yake binafsi yupo mbioni kuuachia uwenyekiti, ili apate muda zaidi wa kuiimarisha miradi yake na ya kifamilia inayotetereka, hivyo atabaki ndani ya chama lakini huenda harakati za kichama akazipunguza na huenda akagombea ubunge wake na akabakia kama mbunge na endapo chama kama kitakuwa kinahitaji nasaha zake basi atasaidia katika shughuli za namna hii, binafsi nimpongeze Mbowe kwa hili, ALUTA CONTINUA.
Wajulishe hawa Magulizetion kuwa Mbowe alishasema 2023 anaachia ngazi
 
Ukweli hastahili tena na hii ni baada ya kulamba asali. Tuangalie mwenyekiti toka kanda nyingine.
'
20220604_164240.jpg
 
Back
Top Bottom