Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Kwa akina Mbowe hakuna jipya tena kwa michezo tuliyoiona hv karibuni tutarajie siasa za ujanja ujanja tu kutoka kwa akina mbowe na akina Tundu Lisu,yaan kwa sasa hawa jamaa wataongea na kufanya vitu ambavyo hawavimaashi zitakuwa ni Chenga tu na kuwahadaa watanzania.Walishajilambia Asali yao zamani.

Unaongea tu, wewe ukitupiwa mkaa wa Moto utapiga mayowe mpaka kesho. Mwenzako Kalimwa risasi kumi na sita halfu unajiona mjanja. Mbowe kakaa mahabusu karibia mwaka, unataka wafanye Nini kingine?.

Wakianzisha maandamano mnawaita wapenda vurugu wakitulia mnasema wamenunuliwa. Kweli CCM ni wanafiki Sana.
 
Kama CHADEMA watafanikiwa ktk hili Basi watakuwa wamejitambua kwa kina,hawa akina Mbowe hakuna wanachoweza kuongea kwa sasa,hawa ni madalali wa Siasa za kipumbavu na zilizojaa deal tu.Hakuna mtu anayekera kama mtu uliyekuwa unamuona anajielewa kumbe ni mpuuzi tu.
Vipo vyama zaidi ya 22, si uende mkainunue Umoja Party.
 
Kwa akina Mbowe hakuna jipya tena kwa michezo tuliyoiona hv karibuni tutarajie siasa za ujanja ujanja tu kutoka kwa akina mbowe na akina Tundu Lisu,yaan kwa sasa hawa jamaa wataongea na kufanya vitu ambavyo hawavimaashi zitakuwa ni Chenga tu na kuwahadaa watanzania.Walishajilambia Asali yao zamani.
Kuna vyama zaidi ya 22, nenda katafute chama huko uwe Mwenyekiti/Mkuu wa chama au zaidi
 
Na yule PM aliyetuongopea kuwa President Magufuri yupo na afya na anaendelea na majukumu yake wakati yupo ICU fighting for his life,atajiuzuru lini?au ameshajiuzuru kwa kuliongopea Taifa!
Ni kiraza tu kama wewe ndio unaweza ukadhani alifanya kosa lakini kwa watu wanaojua protocol za uongozi PM alikuwa sahihi kwa 100%

Hata viongozi wa chama ngazi ya matawi wana siri zao ambazo wanachama hawapaswi kujua hadi utakapo fika muda sahihi sembuse ikuru ya nchi we jamaa kiraza sana
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Kumbe bado vigazeti vya kipumbavu bado vipo?
 
Acheni kupotosha mbowe kwa hiyari yake binafsi yupo mbioni kuuachia uwenyekiti, ili apate muda zaidi wa kuiimarisha miradi yake na ya kifamilia inayotetereka, hivyo atabaki ndani ya chama lakini huenda haraka za kichama akazipunguza na huenda akagombea ubunge wake na akabakia kama mbunge na endapo chama kama kitakuwa kinahitaji nasaha zake basi atasaidia katika shughuli za namna hii, binafsi nimpongeze mbowe kwa hili, ALUTA CONTINUA.
Umuhimu wa Mbowe kuiongoza CHADEMA umefikia mahali kuwa siyo wa lazima.
Apewe heshima yake kuu ya kuhimiri na kusimama imara wakati chama kilipopitia katika majaribu makubwa sana enzi za Magufuli, na hata wakati wa Kikwete., enzi za kina Zitto.

Uongozi wa Mbowe, wakati huu kwenye siasa za kupuliza za Samia, ni 'liability', kubwa. Inatakiwa apatikane kiongozi anayeelewa hizi mbinu mpya za kukidhoofisha CHADEMA na kupoteza mweekeo wake.
 
Yeye ni takataka ya nani?
Ya huyu hapa[emoji116]
1656925921276.jpg
 
Hizi ni propaganda za kilevi dhidi ya CHADEMA. Mbowe ndiye mwenyekiti shupavu tangu chama hichi kianzishwe. Sasa aking'olewa kwa staili Boris Johnson ni nani atakiongoza chama katika nyakati ngumu? Mbowe aongoze tu mpaka atakapoamua kuacha mwenyewe
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Mbona kitambo sana,sema hilo gazeti la kufungia vitafunwa limechelewa kupata habari..shaka hamidu shaka tumekusikia,acha kutumia mkorogo
IMG_20220309_083547.jpeg
 
Kwa kumbukumbu zangu chadema ilipata wabunge wengi baada Dr Slaa kuondoka. Na kupata asilimia 40 ya kura za urais pamoja na wizi uliofanyika.
Sasa hivi chadema ina wabunge wangapi?
 
Na yule PM aliyetuongopea kuwa President Magufuri yupo na afya na anaendelea na majukumu yake wakati yupo ICU fighting for his life,atajiuzuru lini?au ameshajiuzuru kwa kuliongopea Taifa!

Wewe nae huna akili,kwani nyerere alipofariki huko London titumia siku ngapi kujua kwamba kafariki?,misiba uwa ina utaratibu wake wa kuiandaa ili Watu wajipange,Muulize mama yako au mzee wako mtu akifa kwenu utaratibu upi uwa unatumia kabla ya kutoa taharifa za msiba kwa majirani.
 
Wewe nae huna akili,kwani nyerere alipofariki huko London titumia siku ngapi kujua kwamba kafariki?,misiba uwa ina utaratibu wake wa kuiandaa ili Watu wajipange,Muulize mama yako au mzee wako mtu akifa kwenu utaratibu upi uwa unatumia kabla ya kutoa taharifa za msiba kwa majirani.
Upumbavu at its best!
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujiuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
vipeperushi vya mashoga na mashoga ya ccm mnafikir mbowe ni mbatia jaribuni kama hamjaongeza umarlarufu wa mbowe mlishindwa kwenye kesi ya ugaidi mje muweze leo lumumba bana wajinga kweli.
 
Back
Top Bottom