Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujiuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Magazeti yanayopata ruzuku toka Lumumba !! kweli njaa imekuwa kali sana ndugu zangu.
 
Mbowe ameonyesha udhaifu mkubwa sana kipindi hichi..sichelei kusema kuwa walambisha asali wameshamlambisha asali.

Tusitegemee jipya tena kutoka kwake katika mapambano haya ya kumwondoa mkoloni mweusi.

Katiba mpya ni sasa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wampige chini huyo mlamba asali.
kwa namna mwamba anavowasumbua Lumumba, aisee itatakuwa sherehe ya siku 7 endapo ataamua kupumzika siasa.

Ila kwa taarifa yenu ni kwamba Mwamba hapumziki hadi lengo la kuipa Tanzania katiba mpya, demokrasia ya kweli na utawala wa sheria linafikiwa nchini. alutaaaaaaa... !!
 
Mbowe ameonyesha udhaifu mkubwa sana kipindi hichi..sichelei kusema kuwa walambisha asali wameshamlambisha asali.

Tusitegemee jipya tena kutoka kwake katika mapambano haya ya kumwondoa mkoloni mweusi.

Katiba mpya ni sasa.

#MaendeleoHayanaChama
How?
 
Mbowe ameonyesha udhaifu mkubwa sana kipindi hichi..sichelei kusema kuwa walambisha asali wameshamlambisha asali.

Tusitegemee jipya tena kutoka kwake katika mapambano haya ya kumwondoa mkoloni mweusi.

Katiba mpya ni sasa.

#MaendeleoHayanaChama
Sana mkubwa
 
Umuhimu wa Mbowe kuiongoza CHADEMA umefikia mahali kuwa siyo wa lazima.
Apewe heshima yake kuu ya kuhimiri na kusimama imara wakati chama kilipopitia katika majaribu makubwa sana enzi za Magufuli, na hata wakati wa Kikwete., enzi za kina Zitto.

Uongozi wa Mbowe, wakati huu kwenye siasa za kupuliza za Samia, ni 'liability', kubwa. Inatakiwa apatikane kiongozi anayeelewa hizi mbinu mpya za kukidhoofisha CHADEMA na kupoteza mweekeo wake.
Upo sahihi kabisa amekiongoza chama katika wakati mgumu kupindukia wakati wa DICTATOR uchwara, amenusurika kwa mengi mno japo alifilisiwa lakini alisimama kiume, chadema imtengenezee sanamu.
 
Chadema bila mbowe na wachangiaji wa pesa wengi watokeao Kilimanjaro, hakitadumu. Tunajua kuna like genge linalo mtaka Tundu Lissu achukue mikoba yake, wajue kama ni KELELE na UROPIKAJI tuu, wataupata kwa TL, lakini Busara, Maendeleo na michango hawataipata kutoka kwa TL
 
vipeperushi vya mashoga na mashoga ya ccm mnafikir mbowe ni mbatia jaribuni kama hamjaongeza umarlarufu wa mbowe mlishindwa kwenye kesi ya ugaidi mje muweze leo lumumba bana wajinga kweli.
Kesi ya ugaidi hakushinda
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujiuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujiuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Vifungashio hivyo unavisoma wewe
 
Back
Top Bottom