Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Mbowe mbioni kung'olewa CHADEMA

Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Leo siku ya Kiswahili, unaandika KUJIHUZURU
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Leo siku ya kimataifa ya kiswahili, unaandika KUJIHUZURU kweli?
Nimeishia hapo nimeona its nonsense.
 
Leo siku ya Kiswahili, unaandika KUJIHUZURU

Leo siku ya kimataifa ya kiswahili, unaandika KUJIHUZURU kweli?
Nimeishia hapo nimeona its nonsense.
Ebu andika wewe neno sahihi
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
DJ anatafuta sababu ya kukaa pembeni
 
Leo siku ya Kiswahili, unaandika KUJIHUZURU

Leo siku ya kimataifa ya kiswahili, unaandika KUJIHUZURU kweli?
Nimeishia hapo nimeona its nonsense.
Kweli siku ya kiswahili umeandika nonsense ,dah!
 
Kwa mujibu wa machadema Mbowe akiondoka chama kitakufa,

Sasa sijui itakuwaje
 
Wangekuwa na hiyo plan wangefanya wakati ule Jamaa yupo Mahabusu, lakini Kwasasa ni ngumu akiwa Uraiani.

Hata hivyo kama walishindwa kuwang'oa wenyeviti wa TLP/NCCR ndiyo iwe CDM. Huyo kuondoka hapo ni mpaka apende mwenyewe.
Na ndio hawezi kupenda wanae huyo mpk kifo.
 
Kama CHADEMA watafanikiwa ktk hili Basi watakuwa wamejitambua kwa kina,hawa akina Mbowe hakuna wanachoweza kuongea kwa sasa,hawa ni madalali wa Siasa za kipumbavu na zilizojaa deal tu.Hakuna mtu anayekera kama mtu uliyekuwa unamuona anajielewa kumbe ni mpuuzi tu.
 
Kwa akina Mbowe hakuna jipya tena kwa michezo tuliyoiona hv karibuni tutarajie siasa za ujanja ujanja tu kutoka kwa akina mbowe na akina Tundu Lisu,yaan kwa sasa hawa jamaa wataongea na kufanya vitu ambavyo hawavimaashi zitakuwa ni Chenga tu na kuwahadaa watanzania.Walishajilambia Asali yao zamani.
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487
Yaonekana unahangaika sana kupata wa kukisoma kigazeti chako.
 
Mwambie
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487

Hilo gazeti lijifunze kwa Musiba, aliandika uongo leo kapotea. Kajificha kwa aibu.
 
Gazeti la Tanganyika toleo la leo limekuja na mkakati mzima unaosukwa kumng'oa Mbowe Chadema kupitia kumlazimisha kujihuzuru uenyekiti mwenyewe mithili ya waziri mkuu wa Uingereza bwana Boris Jonhson anavyolazimishwa kujihuzuru.

Wasuka njama hizo wanasema Chadema chini ya mwenyekiti Mbowe haiendi mbele imedumaa kwa kupoteza wanachama wengi na wabunge tangu ilipoachwa na Dk Slaa mwaka 2015, hivyo wanataka kumng'oa Mbowe ili wapate mwenyekiti mpya mwenye fikra mpya na nguvu mpya kwa kukifufua na kurejesha imani ya chama kwa watanzania walio wengi.View attachment 2283487

Kwa kumbukumbu zangu chadema ilipata wabunge wengi baada Dr Slaa kuondoka. Na kupata asilimia 40 ya kura za urais pamoja na wizi uliofanyika.
 
Back
Top Bottom