Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Ni wakumuacha alivyo Mungu ajue.

Kwa maaana mungu ndiye mweny mamlaka kwa mwanadamu yeyote anayehishi chini ya jua

Cha msingi tushikamae tuijenge nchi yetu na tuhimarishe mshikamano kwa kuondoa tofauti zetu zikiwemo za kidini, kikabila, kikanda pia na kisiasa kwa maana wote ni wanadamu na akuna mkamilifu.

Ila nisiwe msabato sana.. lisuu katukosea sanaa tena sana ila mungu ndio anajua yupi mwenye haki.

Mungu azidi kuilaza roho ya shujaa wetu mahali pema.

Amina.
 
Huu utawala sio wa Magufuli, acheni kuishi kwa kukariri, shauri yenu sheria itachukua mkondo wake na mtafungwa. Kaeni kuhamasishana upuuzi upuuzi tu mkifikiri Magufuli atawakingia kifua.

Subirini waanziwe Ole Sabaaya na Makonda kwanza, ndio mjue Madame President hana ushosti na wajinga wajinga wanajiona nchi ya baba yao.

Na kaa ukijua, Lissu akirudi tanzania halafu akashambuliwa hata na kibaka atakaetaka kumpora wallet au hata akigongwa na baiskeli, tutajua ni wewe uliefanya hivo kwasababu dhamira yako ni ovu. Maswala ya wewe kuwa na hatia au kutokua na hatia yatajulikana mbele ya safari kisutu baada ya kusota rumande.
 
1616620036929.png
 
Kiongozi umeandika upuuzi..ungechambua andiko lake..sio ushamba uleule wa kutishia kumpiga risasi..nafikiri mambo ya kishamba na kijima ya ubabe na kupigana risasi badala ya majadiliano tuyaache Sasa tuanze upya..
Lazima tuweke wazi yaliyotokea kabla ya kendelea na safari. Inaitwa forgive and forget and not bury and forget.
 
Mnataka kuanzisha vita aisee?...mmesahau kabisa utawala washeria siyo? mmejimilikisha nchi kabisa,haya yetu macho,kumbukeni kina Musiba walifanya zaidi ya hayo na hakuna aliyewapiga wala kuwashtaki, iweje leo mkuki unaonekana mchungu,Mungu ataendelea kulipa kwa kila baya,hawahi na wala hachelewi.
 
Wanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake....
Hoja (dhihaka) ya tundu kaiweka hewani hapa Tundu Lissu: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

Ktk nchi ya mfumo wa demokrasia wa vyama vyingi hoja hujibiwa kwa hoja. Ukishindwa wewe peleka kwa katibu mwenezi wako... Hiyo ndio kazi take kuu. Mbona nape aliweza?
 
Wanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake...
Mwacheni Tundu Lissu aponye majeraha yake kwa kusherehekea kifo cha MFITINI wake, zile mvua za risasi alizonyeshewa halikuwa jambo la kiubinadamu kabisa. MATAGA, hapa duniani tunapita tu. Kibuli, Dharau, Mabavu na UHALIFU mwingineo msivipe nafasi katika maisha haya.
 
Wanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake...
Kwa risasi zile yuko huru kusema yote. By the way yuko full informed of each and everything@!@@!!!!!@. Shangaaa sasa. Maana hata updates zote za ugonjwa mpaka kifo alikuwa nazo. Wewe ulikuwa nazo?

Hii ndiyo Tanzania na siyo UVCCM ambao hata sijui mna manufaa gani nchini zaidi ya kusubiri uchaguzi mfanye fujo. Tanzania hatujazoea fujo na udikteta.

Hivi unajua utakuwa hai mpaka umfanyizie huyo Lissu. Wale waliomfanyizia Lissu unajua leo hii hali zao zikoje? Pua yako imetizama chini kukuonya.
 
Wanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake....
Huyo ameshageuka kuwa udongo/mavumbi maana huko ndiko alikotoka..

Subiri, anazikwa kesho...

Akishazikwa na mawazo yenu haya ya kijinga, kipuuzi na kipumbavu na yenyewe yatakuwa yameshazikwa rasmi..

Yaani nakuhakikishia usiku huu wa leo tarehe 25/03/2021 saa 00:42 hakuna kiongozi aliyewahi kuiongoza Tanzania hii atakayesahaulika haraka na mapema huku akikosolewa kuliko kawaida kama Hayati John P. Magufuli...

Unaabudu sanamu wewe. Unaabudu mzimu wa Magufuli. Achana na hayo ndugu...!!
 
Tumekusoma "Mnyonge" Kabende Msakila. You will be nicely rewarded by the ghost of JIWE. Kilangila.
 
Back
Top Bottom