Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Nani aliweza kuzuia hisia za mdomo wake?Lisu sio presidential material kwa kweli bora Mbowe mara million moja! Hawezi kuzia hisia na mdomo wake.
Who are you by the way ?Ofcoz .... Anadhalilisha chama ....nilikuwa timu lisu lkn kwa
UTOPOLO WA LISU .......... HATA JAMII ITATUCHEKA KUWA NA RAIS KAMA HUYU
Wewe unawajua wabaya wa Lissu?Wabaya wake wpte wkishapikutila basi atakaa kimya. Mbona wewe umeshindwa kumvumilia??
Mlimwambia kitu Gwajimu kwa kauli zake baada ya kifo cha Seif Sharif?Umeongea point ila mashabiki na uharakati maandazi hawatakuelewa
Kwani michango ya pesa ilikuwa shilingi ngapi na ilipelekwa wapi? Usanii tu!Huu uchungu mlionao leo, mbona hamkuuonyesha wakati watu wanazuiwa kumchangia damu, less na hata kumubea ??!!. Kumbe mkuki daima ni wa nguruwe !!
Sasa hapo anamnyoosha Nani wakati Magufuli ameshakufa? Hapo naona zaidi ajiaribia yeyetulieni Lisu awanyooshe na yeye ni binadamu atoe machungu yake moyoni,huu msiba usiwafanye mnahuruma sana
Mzee wenu alilewa madaraka,akatumia majeshi anavyotaka. Mlikuwa mnachelelea mwenzenu alipokuwa akiuguza majeraha yake ya risasi.Sema huu msiba umefanya tumewafaham kwenye hilo kundi nani kiongozi na anaefaa japo kuaminiwa, yaani kama mtu anapambana mpaka na maiti jiulize akipewa majeshi na vifaru kama hataua mpaka kuku wa jirani, mi huwa nasema kila siku pamoja na kwamba sio mfuasi wa Upinzania ila MBOWE ana hekma za kiuongozi ( leadership Ethics) jamaa yuko smart sana na no Wonder wenye akili wanakomaa nae awe tu mwenyekiti, haongei kila saa mpaka muda ukifika lkn kuna mbuzi zingine jaman yaani unashangaa kafikaje alikofika
CHADEMA hawatampa nafasi hiyo tena huyu mropokaji.Anajipiga spana mwenyewe! Sisi watanzania tutampiga spana nyingine 2025 chini ya Jemedari mama samia!