Mbowe, mkanye Lissu

Mbowe, mkanye Lissu

Kwa nini akanywe Lissu?
Akina Musiba hamkuwaona na kuwasikia wakisema watavunja watu miguu bla bla
Lissu ana machungu
Risasi alipigwa yeye
Maisha yake yamebadilika
Msilazimishe jambo
Zungukeni mkimaliza maisha yataendelea
Vijiwe vitaongezeka
hakuna aliye msapoti musiba ila ukweli ni kwamba lissu na musiba hawafanani ki hadhi ila wanafananu upumbavu tuuu
 
Popote ulipo mwenyekiti wa chama,

Tunakufikishia salamu hizi sisi watanzania tusio na chama na wanachama wa CHADEMA.

Mwambie Tundu Lissu akae kimya wakati huu, aache tabia za kuropoka ropoka na kujibishana asiye jibishane naye.

Mwambie kwenye msiba tamaduni zetu ni kuungana na kua wamoja huo utofauti anaoulazimisha utazidi kumuumbua na kukiumbua chama chenu.

Mwambie atakama anauchungu na kisasi kwa Yale aliyofanyiwa mwambie kwa nafasi take hastahili kufanya anayoyafanya labda Kama Hana mpango wakugombea.

Mwambie anaharibu image ya chama, kama anajua hatarudi Wala kugombea mwambie anawaponza wenzake. Mbona wewe (Mbowe) hupost post au anadhani huna bando au smartphone?

Mwambie au mumkanye adharani au mumfute uanachama. Tundu Lisu behave like gentalman .
Anabihevu kama mwendawazimu
 
Lissu yuko sahihi kutoa ya moyoni zile risasi hazikuwa za mchezo na hii ndio fursa haitarudi tena, wazungu wanasema "Strike while the Iron is hot". Mnalalama nini wakati wanampiga risasi walikuwa wanawaza nini.

Mungu aliyepanga Magufuli ndio afe kwanza kabla ya Lissu ndiye mwenye akili na nyie wengine wote ni mbumbumbu tu hakuna mnachokijua.

Lissu asitishwe sijui na uchaguzi wa 2025 kwani Tanzania mshindi wa uchaguzi haamuliwi na sanduku la kura.
 
Lawama hizi ungewapa waliompiga risasi 16 na bado hakufa,kinyume na hapo mwacheni tu afanye analoliona sahihi kama vile waliompiga riasi nao walivyoona sahihi kufanya hivyo...
 
Pamoja na kwamba tupo msibani kuomboleza kifo cha mwanaAfrika na Mwanamajumui Hayati John Pombe Magufuli, imenilazimu kuhoji huyu ndiye Mh Lisu Wakili msomi aliyetaka kuwa Rais wetu 2020?

Nimesoma Twitter zake na maandiko yake mbalimbali baada ya msiba wa JPM. Nikajiuliza hivi huyu ndiye alipaswa kuwa Rais? Kwa tamaduni, mila na desturi za kitanzania na Afrika kwa ujumla si sawa kushangilia kifo hata Kama mtu alikuwa humpendi kwa kiwango chochote. Haturuhusu kumhukumu Marehemu, Mungu ndiye mwenye uwezo huo.

Tusiandike kama hatujawahi kufiwa au Kama sisi hatutakufa. Kila mtu duniani atakufa na atakufa kwa stahili yake. Kipindi hiki ambacho ndugu jamaa na rafiki wanapopitia kipindi kigumu sisi sote tunapaswa kuwafariji kwa kuwa hakuna anayejua kesho yake.

Nimpongeze Mh Mbowe ambaye statement yake inaonesha namna alivyoiva na anavyothamini uhai. Mh Mbowe ameonyesha nguvu yake ya maarifa na uhodari wa kuchambua maneno kulingana na mkutadha. Kwa mazingira haya simuoni mtu wa kuvaa viatu vya Mh Mbowe Kama mh Lisu ambaye nilidhani ni matured naye anaweza kuandika vitu vya kitoto ambavyo walau vingeandikwa na BAVICHA.

Tunatambua Lisu alipigwa na kuumizwa, lakini tunamshukuru Mungu mwingi wa rehema alimponya na sasa yupo hai, lakini kitendo cha kupona kwake hakiondoi ubinadamu na kupandikiza umbumbumbu kwenye argument na reasoning.

Lakini pia hii ni indicator kwenu CHADEMA Kama munadhani Lissu will be a good candidate for 2025, basi aingie darasani kwa mzee Mbowe kujifunza hekima na kuchambua mambo kabla ya pablicity.
Mbona unafokafoka kwani shida ni nini? Mbona hukumkemea huyo aliyempiga risasi na huyo aliyemnyima huduma ya matibabu. Hivi mtu anayekunyima huduma ya matibabu anakutakia uhai au kifo? Ukimuumiza mwenzako usishangae na wewe kuumizwa. Tuheshimiane na kutakiana mema tu, Duniani tunapita hata ukijiita Chuma awe Jiwe.
 
Pamoja na kwamba tupo msibani kuomboleza kifo cha mwanaAfrika na Mwanamajumui Hayati John Pombe Magufuli, imenilazimu kuhoji huyu ndiye Mh Lisu Wakili msomi aliyetaka kuwa Rais wetu 2020?

Nimesoma Twitter zake na maandiko yake mbalimbali baada ya msiba wa JPM. Nikajiuliza hivi huyu ndiye alipaswa kuwa Rais? Kwa tamaduni, mila na desturi za kitanzania na Afrika kwa ujumla si sawa kushangilia kifo hata Kama mtu alikuwa humpendi kwa kiwango chochote. Haturuhusu kumhukumu Marehemu, Mungu ndiye mwenye uwezo huo.

Tusiandike kama hatujawahi kufiwa au Kama sisi hatutakufa. Kila mtu duniani atakufa na atakufa kwa stahili yake. Kipindi hiki ambacho ndugu jamaa na rafiki wanapopitia kipindi kigumu sisi sote tunapaswa kuwafariji kwa kuwa hakuna anayejua kesho yake.

Nimpongeze Mh Mbowe ambaye statement yake inaonesha namna alivyoiva na anavyothamini uhai. Mh Mbowe ameonyesha nguvu yake ya maarifa na uhodari wa kuchambua maneno kulingana na mkutadha. Kwa mazingira haya simuoni mtu wa kuvaa viatu vya Mh Mbowe Kama mh Lisu ambaye nilidhani ni matured naye anaweza kuandika vitu vya kitoto ambavyo walau vingeandikwa na BAVICHA.

Tunatambua Lisu alipigwa na kuumizwa, lakini tunamshukuru Mungu mwingi wa rehema alimponya na sasa yupo hai, lakini kitendo cha kupona kwake hakiondoi ubinadamu na kupandikiza umbumbumbu kwenye argument na reasoning.

Lakini pia hii ni indicator kwenu CHADEMA Kama munadhani Lissu will be a good candidate for 2025, basi aingie darasani kwa mzee Mbowe kujifunza hekima na kuchambua mambo kabla ya pablicity.

Kaa na mavi yako bwana,
 
Haijalishi alipigwa ma bomu kiasi Gani
Muhimu kwake ilikua Ni kushukuru kMungu kwa kumponya na
 
Lisu sio presidential material kwa kweli bora Mbowe mara million moja! Hawezi kuzia hisia na mdomo wake.
Hahahaha magu ndo presidential material? Unajua presidential material ww au unaongea 2?magu mwenyew alikuwa hawezi kufika hata nusu ya lissu,sema magu alijua kufanya propaganda 2 akawin mind za watz,wachache wenye uelewe magu hata kwny uenyekit wa kijiji hafai
 
Reaction ya Watanzania kwenye huu msiba unamvuruga akili kabisa ameongeza tu uropokaji.
Angekaa kimya kipindi hiki angejenga walau taswira nzuri kidogo,but hey ni Lissu yuleyule mkurupukaji na anaejua kiiiila kitu.Acha ajipoteze zaidi
 
Pamoja na kwamba tupo msibani kuomboleza kifo cha mwanaAfrika na Mwanamajumui Hayati John Pombe Magufuli, imenilazimu kuhoji huyu ndiye Mh Lisu Wakili msomi aliyetaka kuwa Rais wetu 2020?

Nimesoma Twitter zake na maandiko yake mbalimbali baada ya msiba wa JPM. Nikajiuliza hivi huyu ndiye alipaswa kuwa Rais? Kwa tamaduni, mila na desturi za kitanzania na Afrika kwa ujumla si sawa kushangilia kifo hata Kama mtu alikuwa humpendi kwa kiwango chochote. Haturuhusu kumhukumu Marehemu, Mungu ndiye mwenye uwezo huo.

Tusiandike kama hatujawahi kufiwa au Kama sisi hatutakufa. Kila mtu duniani atakufa na atakufa kwa stahili yake. Kipindi hiki ambacho ndugu jamaa na rafiki wanapopitia kipindi kigumu sisi sote tunapaswa kuwafariji kwa kuwa hakuna anayejua kesho yake.

Nimpongeze Mh Mbowe ambaye statement yake inaonesha namna alivyoiva na anavyothamini uhai. Mh Mbowe ameonyesha nguvu yake ya maarifa na uhodari wa kuchambua maneno kulingana na mkutadha. Kwa mazingira haya simuoni mtu wa kuvaa viatu vya Mh Mbowe Kama mh Lisu ambaye nilidhani ni matured naye anaweza kuandika vitu vya kitoto ambavyo walau vingeandikwa na BAVICHA.

Tunatambua Lisu alipigwa na kuumizwa, lakini tunamshukuru Mungu mwingi wa rehema alimponya na sasa yupo hai, lakini kitendo cha kupona kwake hakiondoi ubinadamu na kupandikiza umbumbumbu kwenye argument na reasoning.

Lakini pia hii ni indicator kwenu CHADEMA Kama munadhani Lissu will be a good candidate for 2025, basi aingie darasani kwa mzee Mbowe kujifunza hekima na kuchambua mambo kabla ya pablicity.
Umesoma wewe hizo twitter zake na maandiko,lakini sisi hatujazisoma. Tujadili maelezo yako yasiokuwa na chembe ya ushahidi!!??
Hivi hata kuandika tuu,"nanukuu" umeshindwa!!? Mtanzania acha ujuha,uvivu na ujinga. CCM imewafukarisha sana kiakili wafuasi wake.
 
Back
Top Bottom