Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Aondoke aende wapi wakati chama ni chake?. Kama ni kuondoka, wataondoka watu wa kuja na kuwaachia chama wenyewe wenye chama chao!. Utaondoka wewe na yeye utamuacha!.Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka,
#MboweMustGo
Hoja ndo hiyo?? Mnampotosha; Mbowe must goKama CCM, imekuwepo zaidi ya Mika 60 Toka TANU-CCM, wizi ufisadi, na mambo mengi hovyo, Leo mnahangaika na CHADEMA na Umwenyeki wa Mbowe.
Mbowe kamanda wa kikosi Cha anga ,Bado yupo sana, CHADEMA ipo sana, JIWE kambale alishindwa kuimaliza, KIZIMKAZI na MBOGAMBOGA wote hakuna wa kumuondoa Mbowe,.
Kazi mnayo sana 2025 .
Hizo siyo sababu za kumfanya asipumzike ili kurejesha uhai wa chama.Punguza unafiki, wakati Mbowe anavunjiwa bilcanas , na kuharibiwa mashamba yake mlimcheka, alipopewa kesi ya ugaidi mkamuita gaidi, alipofungua akaunti zake mlimfanyis dhihaka. Leo unamwita Kibaraka, kisa akasamehe na kupiga picha na Viongozi wa CCM waliompitisha kwenye matatizo. Haya endeleeni tu.
Kwamba hizo ndo sababu?Mbowe must go.
Umeme ghali,unakatika katika Mbowe ni sababu.Mbowe must go.
Msafara wa Bi Tozo magari ya kufahari V8 147.Mbowe ndiye mnunuzi mkuu wa magari ya serekali [ Procurement Commissioner].Mbowe must go.
Ukosefu wa ajira,vijana wetu wamemaliza vyuo vikuu Medical Doctors, Nurses,Accountants,Marketing consultants,Financial consultants,Logistics management consultants......... wote hawana ajira tatizo ni Mbowe.Mbowe must go.
Reports mbaya za matumizi mabaya ya walipa kodi yamebainishwa na ofisi ya CAG hakuna aliyefungwa,hakuna aliyeshtakiwa,hakuna hatua za maana za kinidhamu zilizochukuliwa.Ukienda mbali Mbowe ndiye mtetezi mkuu wa wabadhirifu wa mali ya umma.Mbowe must go.
Mbowe kauza Ngorongoro,Kilimanjaro International Airport,Bandari,Misitu.........Mbowe must go.
Mbowe katuletea tozo za miamala ya simu,bill za Tanesco.....Mbowe must go.
Hali ya uchumi ni mbaya fedha za kigeni ni haba usd hazionekani mitaani.Usd zote Mbowe kazificha huko kwao Machame.Mbowe must go.
Maendeleo hakuna kwasababu ya Mbowe.Mbowe must go.
Aliyetuloga Watanganyika kazikwa wapi,tumfukue labda ataturejeshea akili na maarifa.
Kakuchosha umembeba mgongoni? Au Yuko CCM anakuharibia chama? Hebu mfukuze kwanza Nape kaiharibia CCM pakubwa. Katoa Siri ya CCM. Mbowe hajatoka jana, hatoki leo, kesho Wala kesho kutwa. Mbowe kamatia hapohapo wameanza kuomba PO!Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Moshi wa Mwenge! Tumebaki nao Tanzania tu wengine wameweka kwenye majumba yao ya makumbusho ya mataifa yao. Ndiyo maana nikisikia tu mwenge unapita huku Mimi napita kule. Ndiyo maana pia nina akili timamu mpaka leo. La sivyo ningekuwa kama mtoa mada!Mbowe must go.
Umeme ghali,unakatika katika Mbowe ni sababu.Mbowe must go.
Msafara wa Bi Tozo magari ya kufahari V8 147.Mbowe ndiye mnunuzi mkuu wa magari ya serekali [ Procurement Commissioner].Mbowe must go.
Ukosefu wa ajira,vijana wetu wamemaliza vyuo vikuu Medical Doctors, Nurses,Accountants,Marketing consultants,Financial consultants,Logistics management consultants......... wote hawana ajira tatizo ni Mbowe.Mbowe must go.
Reports mbaya za matumizi mabaya ya walipa kodi yamebainishwa na ofisi ya CAG hakuna aliyefungwa,hakuna aliyeshtakiwa,hakuna hatua za maana za kinidhamu zilizochukuliwa.Ukienda mbali Mbowe ndiye mtetezi mkuu wa wabadhirifu wa mali ya umma.Mbowe must go.
Mbowe kauza Ngorongoro,Kilimanjaro International Airport,Bandari,Misitu.........Mbowe must go.
Mbowe katuletea tozo za miamala ya simu,bill za Tanesco.....Mbowe must go.
Hali ya uchumi ni mbaya fedha za kigeni ni haba usd hazionekani mitaani.Usd zote Mbowe kazificha huko kwao Machame.Mbowe must go.
Maendeleo hakuna kwasababu ya Mbowe.Mbowe must go.
Aliyetuloga Watanganyika kazikwa wapi,tumfukue labda ataturejeshea akili na maarifa.
Mbowe amelisababishia Taifa hasara kubwa sana.Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Mbowe ni mkubwa kuliko ccm na serikali.Mbowe na CCM nani mzee?...nani wa kuondoka...Kama kweli nchi ina matatizo, nani kashindwa kuyaondoa? ni MBOWE au CCM....Tunapojadili DIRA ya nchi hii, ka-MBOWE ni kamtu kadogo sana, lakini CCM ni lidude likubwa lililotufikisha hapa; kama ni pazuri hewaraaa, kama ni pabaya basi wapokee lawama!
Ataanza kujiita kamanda mchovu si muda.Naona wewe kapuku mjinga umekuja kasi sana, Ngoja tuone utafika wapi, Masikini wengi waliokuja spidi kama wewe hatujui walikoishia
Alikuahidi wewe na nani na mlijifungia wapi wakati mnaahidiwa?Pamoja na kupiga ruzuku, lakini pia ni muongo. Alituahidi kuwa 2023 ndio ilikuwa mwisho wake, anaachia ngazi, lakini mpaka sasa jamaa yupo tu na hata dalili za kuondoka hazipo!
Mbowe must go
Slaa ni nani hadi aamue mambo ambayo hayamuhusu?CHADEMA imeanza kumuhusu lini?Ndani ya sauti ya watanzania.Jadilini masuala ya kitaifa. sikilizeni hekima za dr Slaa,mzoefu wa siasa.
Ninakubaliana nawe kabisa. Mbowe alipitishwa kwenye tanuru kwelikweli na akafuzu.Punguza unafiki, wakati Mbowe anavunjiwa bilcanas , na kuharibiwa mashamba yake mlimcheka, alipopewa kesi ya ugaidi mkamuita gaidi, alipofungua akaunti zake mlimfanyis dhihaka. Leo unamwita Kibaraka, kisa akasamehe na kupiga picha na Viongozi wa CCM waliompitisha kwenye matatizo. Haya endeleeni tu.
Hilo dhahiri ni jukumu la wana CDM wenyewe.Lakini,si mlevi mmoja tu ambaye hana hata uanachama wa CDM kuja JF na kuandika kwa "kelele" tu.Aende chamani aanzishe hilo suala la kumtoa Mbowe.Ninakubaliana nawe kabisa. Mbowe alipitishwa kwenye tanuru kwelikweli na akafuzu.
Ni bahati mbaya sana kwake na sisi sote tunao heshimu uongozi wake, kwamba sasa anaweza kuwa anawafanyia kazi mahasimu wakubwa si kwa chama chake pekee, bali kwa waTanzania kwa ujumla.
Mbowe anaweza kuwa anashindwa kutambua kwamba wakati huu wa mapambano na adui, si wakati wake tena. Heshima kwake ni kupisha viongozi wengine ambao atakuwa amewaandaa yeye mwenyewe waendeleze mapambano hayo.
Mbowe kwa sasa ni turufu kwa CCM; hasa chini ya huyu 'Chura Kiziwi'.
Ninakubaliana nawe bila ya shaka kuhusu hili.Hilo dhahiri ni jukumu la wana CDM wenyewe.Lakini,si mlevi mmoja tu ambaye hana hata uanachama wa CDM kuja JF na kuandika kwa "kelele" tu.Aende chamani aanzishe hilo suala la kumtoa Mbowe.
Siungi mkono mbowe ku overstayNilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Sie wanachadema tunampenda aendelee kuwa mwenyekitiKama CCM, imekuwepo zaidi ya Mika 60 Toka TANU-CCM, wizi ufisadi, na mambo mengi hovyo, Leo mnahangaika na CHADEMA na Umwenyeki wa Mbowe.
Mbowe kamanda wa kikosi Cha anga ,Bado yupo sana, CHADEMA ipo sana, JIWE kambale alishindwa kuimaliza, KIZIMKAZI na MBOGAMBOGA wote hakuna wa kumuondoa Mbowe,.
Kazi mnayo sana 2025 .
Na wewe Pascal unaamini hao wanaotaka Mbowe atoke ni wanachadema? Najua unajua ukweli ila unautendea haki uccm wako kama alivyo mleta uzi huu.Aondoke aende wapi wakati chama ni chake?. Kama ni kuondoka, wataondoka watu wa kuja na kuwaachia chama wenyewe wenye chama chao!. Utaondoka wewe na yeye utamuacha!.
P
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa
Kwani mwenyekiti si anapatikana kwa kupigiwa kura? Kama ndio Sasa yeye anamakosa gani? Kwa maana kama ni kugombea ni haki ya kila mwanachama na yeye ni mwanachama kwahiyo anagombea ili kutimiza haki yake ya kikatiba ila kinachotokea ni kwamba ninyi wenyewe ndio mnaempa kura zenu zinazomfanya aendelee kuwa pale alipo.Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo